Je, ni sahihi Mwamposa kuimba wimbo wa taifa kanisani kwake?

Kuimba wimbo huo NI uzalendo wapi wamekataza usiimbwe makanisani
 
Thanks
 
Umeshindwa kujibu maswali yangu?
Wewe ndiye umeshindwa kuelewa majibu yangu. Wimbo wa faifa una namna yake ya kuimbwa na mahali pa kuimbwa. Huwezi kuimba wimbo wa taifa kama pambio kanisani. Hilo ni kosa kisheria. Mwamposa anapaswa kushitakiwa.
 
Kuimba wimbo huo NI uzalendo wapi wamekataza usiimbwe makanisani
Naomba uwe mwelewa mkuu. Umeimbwa kanisani kama pambio sio kama wimbo wa taifa unavyoimbwa kiheshima. Umeelewa sasa?
 
Mwamposa ni Tapeli Professional usishangae akaweka na bendera za dunia nzima
 
Wewe ndiye umeshindwa kuelewa majibu yangu. Wimbo wa faifa una namna yake ya kuimbwa na mahali pa kuimbwa. Huwezi kuimba wimbo wa taifa kama pambio kanisani. Hilo ni kosa kisheria. Mwamposa anapaswa kushitakiwa.
Kwa kosa gani? Kifungu gani cha sheria. Nyie madogo huwa mnasema tu x anapaswa kushtakiwa hujasema kosa na hujasema sheria iliyovunjwa. Msiwe na mihemko
 
Ukiwa na tapeli lazima upanue mitego ili kondoo wengi waingie
 
Wewe ndiye umeshindwa kuelewa majibu yangu. Wimbo wa faifa una namna yake ya kuimbwa na mahali pa kuimbwa. Huwezi kuimba wimbo wa taifa kama pambio kanisani. Hilo ni kosa kisheria. Mwamposa anapaswa kushitakiwa.
💩
 
Naomba uwe mwelewa mkuu. Umeimbwa kanisani kama pambio sio kama wimbo wa taifa unavyoimbwa kiheshima. Umeelewa sasa?
Since way back we jamaa niligundua una ujuaji wa ki.ku.ma aise. Kila kitu wewe ni mchambuzi. Nenda shambani ukazane na kilimo inawezekana maisha yamekupiga ndo maana una makasiriko na kila kitu
 
Since way back we jamaa niligundua una ujuaji wa ki.ku.ma aise. Kila kitu wewe ni mchambuzi. Nenda shambani ukazane na kilimo inawezekana maisha yamekupiga ndo maana una makasiriko na kila kitu
Wewe hapo upo shambani? Umelima eka ngapi leo? Kama huna hoja na kama huwezi kuchambua uzi wangu, nenda ukojoe ukalale. Acha makasiriko kwa mtu usiyemjua.
 
Nyie mnaona ni sahihi mtume wenu kudhalilisha nembo ya taifa? Imba wimbo wa taifa hadharani kama hujakamatwa na kutiwa ndani.
Wimbo wa Taifa kuimba na kikundi chochote mahali popote hata kiwe ni kikundi cha wachawi ruksa na sahihi. Hata mtu mmoja mmoja imba ni ruksa. Kwani wewe huoni ni kuutukuza? Bravo Mwamposa kwa kuupa heshima wimbo wetu wa Taifa.
 
Wimbo wa Taifa kuimba na kikundi chochote mahali popote hata kiwe ni kikundi cha wachawi ruksa na sahihi. Hata mtu mmoja mmoja imba ni ruksa. Kwani wewe huoni ni kuutukuza? Bravo Mwamposa kwa kuupa heshima wimbo wetu wa Taifa.
Yaani unashabikia mtume wako wa mchongo kutumia wimbo wa taifa kama pambio kanisani kwake? Huyo kibwetere wenu kawatoa akili sio bure.
 
Huo wimbo ni sala hata kijiweni kusanyikeni imbeni kwa kusimama ,heshima zote .Jambo lingine usidharau watu na kuwaita misukule ,hao unaowaita misukule kuna waliokuzidi kila kitu kuanzia shule ,pesa ,maisha ,ulichowazidi ni ujinga tu na ujuaji
 
Anaimba wimbo wa taifa then anakandamiza na sala nzito ya kuiombea nchi na viongozi wake! Hapo tatizo liko wapi?

Kama wimbo umeimbwa na mtumishi wa Mungu tena madhabahuni kwa dhamira nyeupe kabisa we wakasirika, je ulitamani wimbo uimbwe bar ndio ufurahi?

Wacha kukipanilisha kwa mawazo yako ya hovyo.

Mwamposa sio level yako wewe.
 
Kwa hiyo unaunga mkono huyo tapeli wenu kutumia wimbl wa taifa kama pambio kanisani kwenu? Mmelaaniwa nyie!
 
Serikali haina muda wa kumsikiliza mtu mmoja asiye na ufahamu hata wa wimbo wa Taifa lake .
 
Serikali haina muda wa kumsikiliza mtu mmoja asiye na ufahamu hata wa wimbo wa Taifa lake .
Kwa hiyo tumuache aendelee kuchezea wimbo wa taifa kanisani kwake?
 
Wewe ni mjinga ,na mpumbavu sana ..asa wimbo akiimba Kuna shida Gani.. hakuna neno zaidi linalokufaaa zaidi ya kukuita mpumbavu usiyejitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…