mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Lakini mleta mada amesema tu mwanaume kulala uchi hajasema aliyeoa au laaMzee mkeo/demu wako flatscreen nini?? Kama umeoa zigo utaelewa maana ya kulala uchi!!
Maana utajikuta saa mbili tu unamshawishi mkeo mkalale na hapo si ishu ya kubanjuka ila ile kukumbatia lile dubwana tuu.
Mungu atukuzwe na kupewa sifa zote!!