Je, ni sahihi mwanaume kulala bila nguo kabisa?

Je, ni sahihi mwanaume kulala bila nguo kabisa?

[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hata aliyeweka uzi huu aliwalenga watu wa category fulani na kuna kitu behind his/her medulla alikuwa anakilenga! Thanks for absconding!
 
Hata aliyeweka uzi huu aliwalenga watu wa category fulani na kuna kitu behind his/her medulla alikuwa anakilenga! Thanks for absconding!
Japo kiuhalisia kabisa nilichangia kwa weledi nikimaanisha kuelimisha
 
Japo kiuhalisia kabisa nilichangia kwa weledi nikimaanisha kuelimisha
Naukubali weledi wako katika nyuzi unazoziweka humu. Huwa mara nyingi nakupongeza na watu wanachangia kwa weledi (ukiacha wale wa mrengo mwingine)
 
hata walioko kwenyendoa hawasemi tu ni wachache hulala uchi.

wengi wao naamini baada ya mechi kuna ile kujipelekesha maliwatoni wakirudi hakuna kuvua pensi/traki/boxa
kulala uchi mtihani
utasema chumba ni self...
 
Wakuu,

Hivi mnaona ni sawa kwa mwanaume kulala bila nguo kabisa? Yaani bila hata bukta wala boxer

Ikitokea dharura usiku utafanyaje? majambazi wamevamia au moto una waka.

Mi naona mwanaume anatakiwa awe anavaa boxer, bukta na jeans kabisa ili kujiepusha hii itasaidia kujiepusha hatari kubwa kuliko zote ya kuingiliwa na popo bawa
wewe nani kakukataza we vaa hata kombati
 
Japo kiuhalisia kabisa nilichangia kwa weledi nikimaanisha kuelimisha
Mkuu mshana

hao wazururaji wa usiku ( wanga) hawanaga hiyo tabia na wenye nayo, hawawezi shindwa fanya hilo kama wakitaka eti kisa umevaa boksa
 
Mkuu mshana

hao wazururaji wa usiku ( wanga) hawanaga hiyo tabia na wenye nayo, hawawezi shindwa fanya hilo kama wakitaka eti kisa umevaa boksa
Sasa kwanini uwarahisishie kazi? Kwanini uwatege? Yani ni sawa na kuacha mlango wazi kwa kisingizio kuwa jambazi akiamua atavunja tuu
 
Ajiri mlinzi au fuga mbwa kama unaogopa majambazi...ila kulala uchi kuna raha yake.

Nikiwa ugenini ndo nalala na nguo ikibidi
Naunga mkono hoja, mie mwenyewe nalalaga kama nilivyozaliwa hila sometime...naogopaga wanga usiku wasije kunichezea mapumb*
 
Ni sahihi ila vizur zaid ukalala na boxa hata kiafya IPO applicable na inamaana sana
 
Mzee mkeo/demu wako flatscreen nini?? Kama umeoa zigo utaelewa maana ya kulala uchi!!

Maana utajikuta saa mbili tu unamshawishi mkeo mkalale na hapo si ishu ya kubanjuka ila ile kukumbatia lile dubwana tuu.

Mungu atukuzwe na kupewa sifa zote!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom