Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajiri mlinzi au fuga mbwa kama unaogopa majambazi...ila kulala uchi kuna raha yake.
Nikiwa ugenini ndo nalala na nguo ikibidi
Hivi mwanaume unapataje ujasiri wa kulala uchi?
Unatakiwa uwe na angle unaweka nguo zako za dharura tuu!!
Likitokea tukio usiku sio uanze kupekua,
Verry true! hapa nilipo nimelala uchi, nguo pembeni ya mto tunguli yangu inapata upepo!
Thread 'Je kuna madhara kwa Wanaume kuzoea kulala na nguo ya ndani(boxer)?' Je kuna madhara kwa Wanaume kuzoea kulala na nguo ya ndani(boxer)?Wasaalam!.
Wakuu hivi mnawezaje kulala bila nguo yoyote( mtupu ) usiku mzima? Mimi hata nikilala na mwanamke nikimaliza tu lazma nitafte ka boxer nivae!.
Bila kuwa na mwanamke hapo lazima niwe na pensi ya Chelsea Sina mchezo kabisa.
Uzi tayari.
Aisee Mimi huwa siwezi kabisa naona na ww tuko pamoja kwenye hili swala.Majini mahaba yanawapenda walala uchi kinoma
Angalia isije kuwa wewe ni mchawi ila hujijui[emoji23]Upo na mwenzi wako bado unavaa boxer? Are you serious? Mi binafsi sipati usingiz nikiwa na mwenzangu bila kumbonyabonya kalioz[emoji3061]
😂😂😂Upo na mwenzi wako bado unavaa boxer? Are you serious? Mi binafsi sipati usingiz nikiwa na mwenzangu bila kumbonyabonya kalioz🥴
Afu badae akishanogewa akawa shoga munaanza kulalamika kumbe mazingira munayajenga wenyeweUpo na mwenzi wako bado unavaa boxer? Are you serious? Mi binafsi sipati usingiz nikiwa na mwenzangu bila kumbonyabonya kalioz🥴
🤣🤣🤣 Tulia wewe 🤒Afu badae akishanogewa akawa shoga munaanza kulalamika kumbe mazingira munayajenga wenyewe
🤣🤣🥴
Things you believe comes realityMajini mahaba yanawapenda walala uchi kinoma
kutokuamini kwa uwepo wa Shetani hakufanyi shetani awe hayupo.Things you believe comes reality