Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

[emoji23] hah huyu anapenda ligi
 
Kwanin mkuu hupendi speed?
Niliwahi kupata ajali kwenye spidi kali!
Ilinisababishia hali ya mshtuko gari inapokua spidi au breki zikifungwa ghafla.
Nmepona hiyo hali ya kushtuka ila nmejikuta spendi 'mabio'.
Ingawa kwenye mishe za kusaka ugali nalazimika kupiga 70-80 km/h kwa baadhi ya maeneo town.
Ila always mjini ni 25, na 45 kutegemea na speed limit husika.
"Nina familia inayonitegemea"
 
Pole sana kiongozi...... wanasema ukishagongwa na nyoka hata siku ukiguswa na majani ni lazima utasktuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…