Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Harafu watu hawajaijua hii njia ya Manyoni to nzega via Tabora ni karibu kuliko kupitia singida na haina matuta na tochi za kijinga
Sijawahi kutana na tochi na Huwa mwendo wangu ni wa escort tu Ile njia hadi nafurahi mwenyewe nacheka tuuu
 
Muwe mnaacha na wosia kabisa maana tunasumbuka kugawa Mali zenu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi kuna jamaa yangu alikuwa na Kluger yake mbichi DYX katoka kupiga tungi huko kajiachia chuma si ikahama njia kaenda kupita na nguzo ya umeme kaondoka nayo kabisa. Nimekuja kuonana nae miguu imemvimba kama anaumwa matende, na gari haifai kabisa na engine ilipasuka palepale.
 
Hii gari uwe nayo makini sana, maaana unakwenda speed kubwa halafu hata huoni speed kubwa.

180 KPH. BMW X5. I-95.
Ila kutunguka kuna raha yake mkuu, tena haswa chuma iwe na pulling.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaah! Ukavuna mahindi shambani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…