Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu zinasave sana, ila nikisharidhika nalo wengine wanakuona wa ajabuIla zina-save sana kwa mjini, kuna watu sasa hv wanateseka na mizigo ya CC2500+ ila wanaogopa kutumia IST na Passo kwa kuogopa kudharaulika.
Wengne waoga, mie kuna siku nilikuwa nashuka mlima Sekenke ile kona ya mwsho kuna down kali nikakashindilia ka-IST hadi 170 nikai-overtake V8, [emoji23][emoji23] nikasema hapa ili anipite inabidi atembee 180 na kuendeleaa.Kwa 170km/h uliiacha range rover either kwa sababu dereva alikuwa muoga au hakutaka ligi na wewe.
Series za 1jz-GTE na 2jz-GTE zinapatikana sana kwenye Aristo. Aristo ni waya wa umeme.Naomba kujua kuhusu Hii engine ya 2JZ - GTE maana watu wengi wameisifia Sana kuanzia ulaya mpaka huku bongo,kuna jamaa yangu pale kariakoo anamiliki Toyota aristo 300 hii gari imekuja na hiyo engine ni balaa hiyo gari ni hatari Sana kwenye mbio.
Alafu Ile aristo imefanyiwa tunning
Sometimes unajikuta tayar chuma ipo 160 kph.Huwa natamani sana niishie 120kph lakini nashindwa. Nikifikiria ninapoenda na gari inachoweza najikuta nasema 'JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala it lets go'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]Mkuu uzoefu nao una mata, bongo hii sijawqhi kuzidi 150kph. So 220 kph was too much na siku-last kwa muda mrefu just for few minutes nikarudi zangu 130kph
Barabara haziruhusu maana gari inakuwa kama inataka kupaa wakati mwingine bampa la nyuma linaburuza chiniUmetuangusha mkuu, huku si full kujiachia hadi umalize kabisa.
Mbezi mpaka kiluvya140MPH Motorway BMW 5
220KPH Mombo-Same
Hizi 180kph siku nikiamua kutoa carbon napiga humu humu Dar
NB: Speed kills
Zinasepa sio poa ila pia kwenye wese lazima ujipange maana unaweza ukapata kilometer 6 kwa lita 1.Kuna aristo moja huko Arusha aisee iliikalisha 2GR GRS204 ilikua balaaa aiseee...fully moded twin turbo...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu, pikipiki ni hatar zaidi.bmw x5 ya 2019 ina turbo kwanza ni ya mshikaji wangu, nilifika 190 utadhani gari haikanyagi chini na barabara ikawa nyembamba nikatuliza bangi zangu nisije tolewa figo maiti yangu kufidia gari ya watu,
kwa pikippiki ni ile honda x blade 160 speed nilifika 100 tu pikipiki zinatisha sana speed kubwa .
sema speed kubwa tamu sana ila hatuna sehemu nzuri sana za kutembea nazo tukazifurahia ila ni hatari mno roho mkononi muda wote
Ni chalii mmoja anaitwa Jason frisby,ilipigwa speed gun top speed yake ikasoma 300km/hKuna aristo moja huko Arusha aisee iliikalisha 2GR GRS204 ilikua balaaa aiseee...fully moded twin turbo...😂😂😂
ni aibu kubwa sanaKama ulikuwa mtu wa show off lazima ujistukie kukaa kwenye Passo, binafsi hata mimi Passo hapana.