Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Bmw x5 ya 2019 ina turbo kwanza ni ya mshikaji wangu, nilifika 190 utadhani gari haikanyagi chini na barabara ikawa nyembamba nikatuliza bangi zangu nisije tolewa figo maiti yangu kufidia gari ya watu,
kwa pikippiki ni ile honda x blade 160 speed nilifika 100 tu pikipiki zinatisha sana speed kubwa.

Sema speed kubwa tamu sana ila hatuna sehemu nzuri sana za kutembea nazo tukazifurahia ila ni hatari mno roho mkononi muda wote.
 
Kwa 170km/h uliiacha range rover either kwa sababu dereva alikuwa muoga au hakutaka ligi na wewe.
Wengne waoga, mie kuna siku nilikuwa nashuka mlima Sekenke ile kona ya mwsho kuna down kali nikakashindilia ka-IST hadi 170 nikai-overtake V8, [emoji23][emoji23] nikasema hapa ili anipite inabidi atembee 180 na kuendeleaa.
 
Naomba kujua kuhusu Hii engine ya 2JZ - GTE maana watu wengi wameisifia Sana kuanzia ulaya mpaka huku bongo,kuna jamaa yangu pale kariakoo anamiliki Toyota aristo 300 hii gari imekuja na hiyo engine ni balaa hiyo gari ni hatari Sana kwenye mbio.

Alafu Ile aristo imefanyiwa tunning
Series za 1jz-GTE na 2jz-GTE zinapatikana sana kwenye Aristo. Aristo ni waya wa umeme.
 
Mkuu uzoefu nao una mata, bongo hii sijawqhi kuzidi 150kph. So 220 kph was too much na siku-last kwa muda mrefu just for few minutes nikarudi zangu 130kph
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]
Huko mie naweza nikafa kwa kweli maana nitalazimisha nimalize 260 ya mjerumani.
 
Kuna aristo moja huko Arusha aisee iliikalisha 2GR GRS204 ilikua balaaa aiseee...fully moded twin turbo...[emoji23][emoji23][emoji23]
Zinasepa sio poa ila pia kwenye wese lazima ujipange maana unaweza ukapata kilometer 6 kwa lita 1.
 
bmw x5 ya 2019 ina turbo kwanza ni ya mshikaji wangu, nilifika 190 utadhani gari haikanyagi chini na barabara ikawa nyembamba nikatuliza bangi zangu nisije tolewa figo maiti yangu kufidia gari ya watu,
kwa pikippiki ni ile honda x blade 160 speed nilifika 100 tu pikipiki zinatisha sana speed kubwa .

sema speed kubwa tamu sana ila hatuna sehemu nzuri sana za kutembea nazo tukazifurahia ila ni hatari mno roho mkononi muda wote
Kweli mkuu, pikipiki ni hatar zaidi.
 
Back
Top Bottom