Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?

Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]

Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]

Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.

RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE

View attachment 2291079
hongera mkuu kwa kutuanesha kuwa unagar japo ni mkangafu
 
Ivi wakuu kati ya gx-100 exceed yenye 2jz-GE na superlucent yenye 1jz-GE ipi ipo na uwezo,bei kwa ujumla nikicheki superlucent ina bhp200 rpm6000 exceed ina 220bhp rpm 5600.
 
140MPH Motorway BMW 5
220KPH Mombo-Same
Hizi 180kph siku nikiamua kutoa carbon napiga humu humu Dar

NB: Speed kills
Mkuu pale mombo baada ya kuzimaliza zile kona na kuanza kuitafuta hedaru nimewahi kugusa 180kph na ki IST.

Ila ule mwendo kwa kile kigari ni kama kilikuwa kinaelea. Sijawahi kurudia tena. Ile barabara imenyooka vizuri sana.
 
Mkuu kipindi flani nilitafutaga Sana gari ya mkononi kwa mtu either cresta/ grande mark 2 yenye 1jz/2jz-gte lkn nilikosaga.Ni gari Chache Sana zilibahatika kupata hio engine.Niliwahi kuendesha Verossa VR25 yenye 1jz-gte Nilikua namwaga Moto tu njia nzima.
Ongea na watu vizuri zipo.... ila uwe na mkwanja mrefu

Mark II - 1JZ
 
Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?

Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]

Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]

Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.

RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE

View attachment 2291079
Gari 160km/h.....
 
Mleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai😀😀😀
Mwenye range alikukuashia huenda 😆😆😆
 
Speed kubwa kabisa ni 250kmh.. 180kmh ya kawaida kabisa kwangu [emoji38][emoji38][emoji38] hizi nazikata sana Barbara ya tabora nzega, au tabora manyoni.. au dodoma to singida Kuna vipande mafuta hii
Harafu watu hawajaijua hii njia ya Manyoni to nzega via Tabora ni karibu kuliko kupitia singida na haina matuta na tochi za kijinga
 
Back
Top Bottom