wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Mkuu ule ugali wa blueband uliokua una uulizia uliweza kuupika?Hpa mm ndio napenda yaani kila mtu ana gari ee tuendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ule ugali wa blueband uliokua una uulizia uliweza kuupika?Hpa mm ndio napenda yaani kila mtu ana gari ee tuendelee
hongera mkuu kwa kutuanesha kuwa unagar japo ni mkangafuKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Ndio nipo nafanya maandalizMkuu ule ugali wa blueband uliokua una uulizia uliweza kuupika?
Kweli?180km/h ...Dodoma to Kondoa
Hio Gari hapa Tz nzima hata 20 sijui Kama zinafika.Yes 20 nchi nzima.hongera mkuu kwa kutuanesha kuwa unagar japo ni mkangafu
Ile barabara inavutia sana speed. Nimewahi kutembea 170km/hr na ki IST.180km/h ...Dodoma to Kondoa
Pande za Germany hizo.. kuna vichaa kule wanakanyaga mpaka mwisho.Autobahn nikiwa na Audi SQ8 speed niliishia 220 kph.
Sio muda wote ni kwa vipindi kadhaa labda sehemu ipo fresh na sheria za barabara zinaruhusu basi ndani ya dk 5 unakuwa kwenye hiyo speed. Speedometer inasoma hadi mwishoKweli?
Mkuu pale mombo baada ya kuzimaliza zile kona na kuanza kuitafuta hedaru nimewahi kugusa 180kph na ki IST.140MPH Motorway BMW 5
220KPH Mombo-Same
Hizi 180kph siku nikiamua kutoa carbon napiga humu humu Dar
NB: Speed kills
Ongea na watu vizuri zipo.... ila uwe na mkwanja mrefuMkuu kipindi flani nilitafutaga Sana gari ya mkononi kwa mtu either cresta/ grande mark 2 yenye 1jz/2jz-gte lkn nilikosaga.Ni gari Chache Sana zilibahatika kupata hio engine.Niliwahi kuendesha Verossa VR25 yenye 1jz-gte Nilikua namwaga Moto tu njia nzima.
😄😄 Kitu inauzwa $33,531 mamamae,Kuna 1 nilishawahi kuona inauzwa $46,000 nikasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
Gari 160km/h.....Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Yaani mimi hii ndio naitumia sana kwenda mikoani. Ina spidi, inachanganya fasta, mafuta kidogo na iko stable.Ila hata IST zina balance nzuri tu.
Tutafute pesa tu mkuu Mjerumani ndo magariHayo magari ya mjerumani ni sayari nyingine kwenye performance
Mwenye range alikukuashia huenda 😆😆😆Mleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai😀😀😀
Harafu watu hawajaijua hii njia ya Manyoni to nzega via Tabora ni karibu kuliko kupitia singida na haina matuta na tochi za kijingaSpeed kubwa kabisa ni 250kmh.. 180kmh ya kawaida kabisa kwangu [emoji38][emoji38][emoji38] hizi nazikata sana Barbara ya tabora nzega, au tabora manyoni.. au dodoma to singida Kuna vipande mafuta hii