Kwahiyo huyu anataka ligi na Mimi kwenye freestyle eti... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ukiona anabebwa ujue anabebeka wangapi wamebebwa na wameshindwa kujishikilia.. Joh ajahit mawingu pekee nimeanza kumjua Joh Makini wakati ambao sijui Clouds maana ilikuwa haishiki kwetu Namtumbo.
Hii stail tofauti itell angalia pengone,,,
Flow zangu za moto kwa testa mwana usipime...
Naona kwenye game kuna dogo anaingia..
Sijui nani hata hodi da ajatupigia.
Acha wenge...🤓🤓🤓Poor Brain, hujaibu hii
Mjinga yulee😂🤣🤣, eti sogea tulale hapo😂🤣🤣.Mbona hiyo kawaida anakuona km me mwenzie tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nilikuwa na best yangu watu walikua wanahisi natoka nae, kumbe wala!! Akinitongoza najua tunaendeleza utani, mpk alivyooa huyo dem nilimkuwadia mwenyewe!!
Hapo upo sahihi, fid q ni master na legend was hip hop.Umtake Radhi Fid Q kumfananisha na Joh. Fid anaandika na ana flow kinyama. Na mistari ya Fid anafikiria Joh hamna kitu sema alipata sana promo kutoka ******
Mjinga yulee[emoji23][emoji1787][emoji1787], eti sogea tulale hapo[emoji23][emoji1787][emoji1787].
[emoji117]Kuna siku alikuwa Yuko duty night, aka nipigia simu, oya we kenge niletee blanketi lako Kuna baridi huku[emoji1787][emoji23][emoji23]
Nah nina marafiki kibao was kike, je unaweza Wala wote🤣🤣🤣.Ungemla kukazia urafiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Joh huwa sisikilizi nyimbo zake. Hazina akili. Ni nyimbo nyepesi sana. Sema anapewa promo na Arusha nzima. But level zake sure ni akina Langa. Hawezi simama na Fid Q hata kwa dk moja ulingoni. Ni weights tofauti. Fid ni heavy weight wakat Joh Makini ni Fly Weight.Hapo upo sahihi, fid q ni master na legend was hip hop.
👉Ukiwataja wakali, lazima fid awemo, ila huyo joh hata kwa langa hafiki
Nah nina marafiki kibao was kike, je unaweza Wala wote[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
[emoji117]iko hivi mwingine ana penda tu mkiwa marafiki, au ukaribu wako tu.
[emoji117]Na sio utake advantage, kisa Umeona Hapa nakubaliwa Sana[emoji848].
Dogo Hapa tuna zungumziwa- wazee was kukaza, sio hao waimba taarabu🤣😂Can't believe I really came home with a Grammy
I was in the mansion celebratin' with the family
You don't come from where I'm from, you may not understand me
Obviously I never cared about your understandin'
Got the biggest honor from Port Harcourt City
Whole time I was there, I was just looking at my daddy
Felt like nothin' else seeing him as proud as he can be
I get emotional when I talk about my daddy.....
burna boy ft polo g- want it all
Intelligent businessman
mi najua tu sarkodie😂Dogo Hapa tuna zungumziwa- wazee was kukaza, sio hao waimba taarabu🤣😂
mpe kijana elimu ya vibuyu😂Tatizo huyo anakutega sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anajizima data mno, inatakiwa umuwashie wiFi
Sarkodie ni mashine ya kivita f32, nasty c alimdiss sarko.mi najua tu sarkodie😂
Ahhh wapi, Mr single nituliee🤣😂mpe kijana elimu ya vibuyu😂
mpe kijana elimu ya vibuyu[emoji23]
Na nikizama mazima🤣😂😂😂😂Si unakaza nati iliolegea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]