Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #21
Just nikatumia jeneza kwa showWana confuse confidence na ego
In my country me ni outcast
Some even think that am evil
Hatari
πππ, Dah chawa wa Kaka π€£πππ¨ NAKAZIA
Wanaleta ushabiki hawa.[emoji419][emoji375] NAKAZIA
Kaka hebu andika bars kumi, kwenye Nyimbo yake yoyoteππ€Wanaleta ushabiki hawa.
[emoji23][emoji23][emoji23], Dah chawa wa Kaka [emoji1787][emoji23]
Sio nyimbo yake yoyote, naweza kuandika kwenye nyimbo zake zote unazojua.Kaka hebu andika bars kumi, kwenye Nyimbo yake yoyote[emoji849][emoji848]
Wanaleta ushabiki hawa.
Dah Kaka ko una maanisha Davido alitaka kupushiwa na johπππ€£Sio nyimbo yake yoyote, naweza kuandika kwenye nyimbo zake zote unazojua.
Nimekuuliza kwa nni davido aliitafuta sana collabo na joh?
Alafu hizo nyimbo zilikua kubwa kuliko kawaida, zilipigwa na kila radio, clubs hadi uchochoroni.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kasikilize hizo nyimbo kwanza
Hakuna kitu hapo. Angalia list ya wadau. Huwezi mfananisha joh mimavi na hata fidq[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kasikilize hizo nyimbo kwanza
Unahisi kwa nini davido alimtafuna sana joh? Tena ilifikia kipindi alikua akimtafuta hadi dm kule InstagramDah Kaka ko una maanisha Davido alitaka kupushiwa na joh[emoji849][emoji23][emoji1787]
[emoji117]Ambaye Davido Huyo alitoka kuperfom uk show ya watu 80k
[emoji117]Alichukua tuzo ya na afrimaa
Hata fid akiona hii hawezi kukubali. Fid yupo vizuri yes nakubali, but amezidiwa na Joh kwenye flow, uandishi wanalinganaHakuna kitu hapo. Angalia list ya wadau. Huwezi mfananisha joh mimavi na hata fidq
Mbona khaligraph alimtafuta killer, thought Khali ni nembo ya Africa.Unahisi kwa nini davido alimtafuna sana joh? Tena ilifikia kipindi alikua akimtafuta hadi dm kule Instagram
makaveli10, Scars mna maoni gani juu ya maoni ya huyu chuga boyππ€£Hata fid akiona hii hawezi kukubali. Fid yupo vizuri yes nakubali, but amezidiwa na Joh kwenye flow, uandishi wanalingana
Level ya khaligraph unalinganisha na Davido? Upo sawa kweli?Mbona khaligraph alimtafuta killer, thought Khali ni nembo ya Africa.
Hakuna kitu hapo. Angalia list ya wadau. Huwezi mfananisha joh mimavi na hata fidq
Fid mzuri kwenye uandishi tu, na uandishi wake kwa sasa umepitwa na wakati. Lakini heshima yake nampa, he's good.makaveli10, Scars mna maoni gani juu ya maoni ya huyu chuga boy[emoji23][emoji1787]
Hiyo gere wala sijaigusia kwenye hit list ya Joh.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama una chuki, vaa miwani usione gere
Weusi hatuna kweree
Bro mbona kashfa tena?? Nini mbaya [emoji16][emoji16]