Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe mlisave jana?? Kwani hiyo picha ina maajabu gani? Mimi najiona wa kawaida kumbe pisi kweli?!!

Sikiza bro huyo ni mimi [emoji817] percante na siwez kukulazimisha kukuaminisha sababu sio ni umuhimu huo!! Na sio shida zangu wewe uamini na account ya Countrywide sio yangu.
 
Sibishi ba mdogo.
Labda umefanya sajari yakubadilishwa uwe mwanamke.
 
Sasa namrudishia vipi na umesema id ya CW ya kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua kabisa jamaa ninayemuongelea sio hiyo ID yako nyingine.
Rudisha mambo za watu acha uhuni mjomba.
 
Byebye ni wimbo mkali mno ila unachukuliwa poa... Jo aliumizwa sana na virugu za Januari 5, 2011.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…