Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Naona unadanganya raia kuwa wewe ndio huyu.
Wanaokuamini wakafanyiwe overhaul ya kichwa.
Demu aina hii masela hawawezi kumpa nafasi alale na kuamkia JF wewe!
Fanya urudishe mzigo wa jamaa sio poa.
Halafu tu fanya watu wajue ID ya CW ni yako pia.
Ba mdogo unazingua sana.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe mlisave jana?? Kwani hiyo picha ina maajabu gani? Mimi najiona wa kawaida kumbe pisi kweli?!!

Sikiza bro huyo ni mimi [emoji817] percante na siwez kukulazimisha kukuaminisha sababu sio ni umuhimu huo!! Na sio shida zangu wewe uamini na account ya Countrywide sio yangu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe mlisave jana?? Kwani hiyo picha ina maajabu gani? Mimi najiona wa kawaida kumbe pisi kweli?!!

Sikiza bro huyo ni mimi [emoji817] percante na siwez kukulazimisha kukuaminisha sababu sio ni umuhimu huo!! Na sio shida zangu wewe uamini na account ya Countrywide sio yangu.
Sibishi ba mdogo.
Labda umefanya sajari yakubadilishwa uwe mwanamke.
 
Sasa namrudishia vipi na umesema id ya CW ya kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajua kabisa jamaa ninayemuongelea sio hiyo ID yako nyingine.
Rudisha mambo za watu acha uhuni mjomba.
 
Muulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.

Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.

Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Byebye ni wimbo mkali mno ila unachukuliwa poa... Jo aliumizwa sana na virugu za Januari 5, 2011.
 
Back
Top Bottom