Je, ni zipi faida na hasara za Diapers kwa watoto?

Je, ni zipi faida na hasara za Diapers kwa watoto?

Mngemuuliza Pampas zimetengenezwa kwa materials zipi na madhara yake yanasababishwa na nini na kwanini?
Pamoja na hayo, kwa sababu za kiuchumi, na flexibility pampas siyo kitu cha kushindia kwa mtoto.
Pia Pampas inaweza kumchelewesha myoto kujitambua kwenye kwenda haja. Inabidi ajisaidie kwenye nguo ili hata ninyi mstuke mapema na kumbadirisha au hata yeye aanze kukereka mapema.
Pampas zinalemaza or ku slow down watoto katika kujitambua pia zinalemaza wazazi/waangalizi
mkuu hiki ndicho ninachokiamini na mimi kuhusu pampasi.
Atavaa tu Kwenye matukio maalumu ambayo kubadilibadili nepi inakuwa kwazo.
Lkn Mkuu kaswali kameniijia, mbona wazungu wanavaa tu na bado wanajitambua kuliko sisi wasomeshwaji namba?
 
mkuu mama kaoshwa ubongo na mume wake kuwa huyo mume '' kailfanyie ile wasomi wanaita TAFITI''.
mkuu hili ni tatizo pana, maana wengi wanahizi imani kichinichini. Wengine wanapinga hata mayumizi ya ''wipes'' eti nazo zinamadhara.

Weka elimu mkuu tukomboe jamii, nataka nimtakase ubongo huyo mbaba aliyemuosha ubongo mke wake, ila hakoswa nondo na ushawishi wa kutosha, maana huyo jamaa akiamini kitu unahitaji ushahidi na maelezo mazito kumsaidia aamini.

Mkuu, moto una madhara au hauna?

Gari lina madhara au halina?

Pombe je?

Chakula je?

Hewa unayoivuta ina madhara au haina?

Dunia ya leo mtu kuwa mhanga wa imani potofu ni suala la kujitakia tu.

Sioni kabisa uhusiano wa hizo nepi na uhanithi.

Kama upo, tuonyeshe/ tueleze kinagaubaga namna hizo nepi zinavyosababisha hiyo hali.
 
mkuu hiki ndicho ninachokiamini na mimi kuhusu pampasi.
Atavaa tu Kwenye matukio maalumu ambayo kubadilibadili nepi inakuwa kwazo.
Lkn Mkuu kaswali kameniijia, mbona wazungu wanavaa tu na bado wanajitambua kuliko sisi wasomeshwaji namba?

Na hao hao Wazungu wanazizidi nchi nyingi tu za Kiafrika kwa idadi ya watu!
 
Na hao hao Wazungu wanazizidi nchi nyingi tu za Kiafrika kwa idadi ya watu!
mkuu comment zako huwa zinafungua mipaka ya tanzania na kitutaka tuwe na uwanja mpana zaidi kifikiri.
tutofautishe ''myth'' na ''facts'' na '' Maoni au maamuzi au misimamo binasfi''
Mungu akubariki
 
Nyie wa kwenu wavalishe hayo madude! Mi wa kwangu HATATHUBUTU! Ni heri meoga aliyepona kuliko shujaa aliyekufa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Una uthibitisho gani kuwa pampers zina madhara kwa watoto? Kama Una scientific evidence basi share na Sisi ili tuweke kwenye mizani. Hakuna mzazi anayependa mwanawe aharibikiwe.
 
Mkuu, moto una madhara au hauna?

Gari lina madhara au halina?

Pombe je?

Chakula je?

Hewa unayoivuta ina madhara au haina?

Dunia ya leo mtu kuwa mhanga wa imani potofu ni suala la kujitakia tu.

Sioni kabisa uhusiano wa hizo nepi na uhanithi.

Kama upo, tuonyeshe/ tueleze kinagaubaga namna hizo nepi zinavyosababisha hiyo hali.
mkuu sio msimamo wangu huu, ni msimamo wa mshauri mtaani.
mawazo yako yatasaidia kutoa elimu ikiwa kunamaarifa ya zaida tutapeana.
 
Umofa kwenu!!!!!!

Wakuu mbalimbali nimetatizwa na elimu tata juu ya hizi nepi za kizungu kwa kina la ''pambasi''

Mama mmoja amenikuta niko na mama yoyoo tunambadilisha dogo ''pampasi'' akasema msinichukie jamani lkn mnielewe, mnamuharibu mtoto wenu mzuri wa kiume.Kuwa hizo zinamadhara, mala mtoto atakuja kuwa hanithi etc.
Pia kuna kakilipu kanatembea mitandaoni kakionyesha hiyo makitu ikiwa inatoa funza.

Tuliheshimu maoni yake lakini hatukiyatekeleza kwa wema tu maana ratiba ya huyu dogo kuvaa papasi ni kwenye matukio tu ila siku zote anakula nepi.



wazazi mbalimbali na wajuvi wa mambo haya karibu tutoane tongotongo za maisha.
Kuuliza ni Akili.
Tatizo ni TBS ni butu au niseme dhaifu sana.i Vitu tunavyotumia vipo chini kabisa ya viwango na tuna TBS.

Tanzania hii hawabadiliki hao mpaka Rais aende akawatumbue.

Namuonea huruma sana yeyote anae kuwa Rais wa Tanzania.
 
Tatizo ni TBS uko butu.

Vitu tunavyotumia vipo chini kabisa ya viwango na tuna TBS.

Tanzania hii hawabadiliki hao mpaka Rais aende akawatumbue.

Namuonea huruma sana yeyote anae kuwa Rais wa Tanzania.
mkuu sio wewe tu Hata Nyerere aliwaonea huruma.
mchina anaweza kubana tabata matumbi akaanza kufyatua softkea pampas wakati kiwanda halisi kipo mfano.

Karibu kwa Maoni, Ikiwa ni product ambayo imethibitishwa na TBS yenye makali (assumption) bado tuziogope kwa sababu hizohizo?. Maana wengi sababu zao hazina uhusiano na TBS.
 
mkuu hiki ndicho ninachokiamini na mimi kuhusu pampasi.
Atavaa tu Kwenye matukio maalumu ambayo kubadilibadili nepi inakuwa kwazo.
Lkn Mkuu kaswali kameniijia, mbona wazungu wanavaa tu na bado wanajitambua kuliko sisi wasomeshwaji namba?
Kwa kuongelea kujitambua sina maana ya kuwa wataishia kutojitambua, bali namaanisha huenda wakachelewa badala ya kuhisi tofauti katika mwaka 1.8 anaweza akaanza kuhisi tofauti katika umri miaka 2.5 hadi 3. Nguo ya kawaida itamfanya ahisi kero kuwa na kinyesi au mikojo, hivyo ataanza mapema kuhisi hali inayopelekea kero hiyo na hivyo kutoa ishara/taarifa mapema. Lakini ukimvalisha Pampas sababu ya protection na comfortability hatahisi kero hivyo ataendelea tu kujikojolea na hivyo kuchelewa ku control urine kila inapokuja.
 
Kwa kuongelea kujitambua sina maana ya kuwa wataishia kutojitambua, bali namaanisha huenda wakachelewa badala ya kuhisi tofauti katika mwaka 1.8 anaweza akaanza kuhisi yofauti katika umri miaka 2.5 hadi 3. Nguo ya kawaida itamfanya ahisi kero kuwa na kinyesi au mikojo, hivyo ataanza mapema kuhisi hali inayopelekea kero hiyo na hivyo kutoa ishara/taarifa mapema. Lakini ukimvalisha Pampas sababu ya protection na comfortability hatahisi kero hivyo ataendelea tu kujikojolea ma hivyo kuchelewa ku control urine kila inapokuja.
mkuu mimi na wewe katika hili tuko pamoja.
asante kwa maelezo shibishi.
 
Kwa kidogo ninachoelewa ni kuwa pampers zimetengenezwa kwa pamba + super absorbent materials zenye uwezo mkubwa Sana wa kuabsorb mkojo na kumuacha mtoto akiwa mkavu. Kwa maana nyingine, mtoto akijikojolea mara moja au mbili na asitokee mtu wa kumbadilisha hata kwa masaa mawili matatu, basi mtoto ataendelea kuwa mkavu. Madhara yanatofautiana kama frequency ya kumbadilisha haizingatiwi plus Hali ya hewa. Sehemu za joto kama Dar ni kweli pampers zinaweza zisiwe rafiki wa mtoto, hasa kama frequency ya kumbadilisha haizingatiwi. Kuna suala la brand pia, zipo zinazouzwa elfu 40 pieces 66 ( kwa Mbeya) na nyingine kwa idadi ya pieces hizo hizo zinauzwa 18,000 na difference yake utaiona kwenye matumizi. Mwisho, hata simu na laptop tunazotumia inasadikika zina madhara, ila kwa sasa hutosikia mtu anasema watoto wake hawatotumia electronic gadgets. TBS nao????
 
Kwa kidogo ninachoelewa ni kuwa pampers zimetengenezwa kwa pamba + super absorbent materials zenye uwezo mkubwa Sana wa kuabsorb mkojo na kumuacha mtoto akiwa mkavu. Kwa maana nyingine, mtoto akijikojolea mara moja au mbili na asitokee mtu wa kumbadilisha hata kwa masaa mawili matatu, basi mtoto ataendelea kuwa mkavu. Madhara yanatofautiana kama frequency ya kumbadilisha haizingatiwi plus Hali ya hewa. Sehemu za joto kama Dar ni kweli pampers zinaweza zisiwe rafiki wa mtoto, hasa kama frequency ya kumbadilisha haizingatiwi. Kuna suala la brand pia, zipo zinazouzwa elfu 40 pieces 66 ( kwa Mbeya) na nyingine kwa idadi ya pieces hizo hizo zinauzwa 18,000 na difference yake utaiona kwenye matumizi. Mwisho, hata simu na laptop tunazotumia inasadikika zina madhara, ila kwa sasa hutosikia mtu anasema watoto wake hawatotumia electronic gadgets. TBS nao????

Magari kila siku yanapinduka na kugongana na kuua watu na wengine kuwaacha na vilema vya maisha!

Na kutwa kucha hakuna anayefungua mdomo na kusema magari yana madhara kwa maisha ya binadamu!
 
Watoto wangu wawili 8yrs na 3 yrs walivaa pampas tangu siku waliyozaliwa hadi wakatoka stage hiyo.
Sijawahi kuwa na nepi wala kununua nepi.
Mnaenda dunia gani jamani?
Mnaokataa pampas nawashauri hata pedi za dukani msitumie bali mtumie vitambaa.
Ebo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wangu wawili 8yrs na 3 yrs walivaa pampas tangu siku waliyozaliwa hadi wakatoka stage hiyo.
Sijawahi kuwa na nepi wala kununua nepi.
Mnaenda dunia gani jamani?
Mnaokataa pampas nawashauri hata pedi za dukani msitumie bali mtumie vitambaa.
Ebo!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata vitambaa wasitumie maana navyo vimetengenezwa viwandani huko.

Watumie majani ya miti na nyasi!!
 
Back
Top Bottom