Je, nikifungua akaunti Benki ya Standard nchini Bahamas, naweza kupata huduma kama mteja wa Benki hiyo nikiwa Tanzania?

Sasa maswala ya account yanahusiana vipi na biashara haramu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Franchising kuna Makampuni hutumia Jina la Makampuni yalio fanikiwa ili kufanya biashara zao, so unaweza kuta Wamiliki ni tofauti kabisa na kinacho fanana ni jina pekee yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada ambayo sijui kitu, Napenda kusoma michango ya wenye uelewa nayo. Inasikitisha unakuta taahira Fulani la Manzese linaingia na kuchangia upumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…