Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

Asante sana ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili
 
Iddi makengo nshawahi ongea nae, mshauri mzuri ila hajui kuongea na mtu, he has to go akasomee saikolojia. Yani anaweza kukukera umtukane
At least sikiliza anachokuambia alafu fanya upembuzi ya linalokufaa.
Najua unajua kwanini huwa anaongea kwa ukali.
 
Usimuache huyo,maana kukutana kwnu ni mpango wa Mungu tu ..unajua kwanini Sir God kakukutanisha nae?,unajua unachoenda kumsaidia Mungu kweny familia hiyo?,yawezekana wewe ndiye daraja?,unaweza kusitisha mipango ya ndoa kwa mapungufu ya 10%,are u asured kuna mahali yupo ambae ni mkamilifu 100%?

Unadhani huwezi malizia kumaliza mapungufu kidogo yaliyopo?,All in all mwisho wa siku mtaishi wawili tu wew na mumeo.Kumuona mama mkwe ni kikwazo hiyo ni short sight,far reaching sight mama mkwe ni just matter of time...

Nimechoka kuandika,umeniboa eti umemaind kuombwa bia,kunywa bia upate akili na madini kwa mama mkwe🥃🥃🥃😂😂😂 jokes
 
We Kimbioko wewe, am muslim sijihusihi na pombe, na anajua hilo kwangu kikwazo aisee
 
Kwanza kaa naye chini uongee naye kwa kina asipokuelewa na kubadilika achana naye.
 
Usahihi: Kusaidia wazazi siyo utamaduni ni wajibu! Na naomba nikusisitize,kamwe usije kutelekeza wazazi wako!
 
Tafuteni pesa . Kumtunza mama yenu bei gani kwani ndio unahisi hamutoendelea .
Haupungikiwi kwa ajili ya kutoa.
Mwambieni mama pesa ya kupanga tunayo
Kupanga sio kupoteza pesa ila tunapqnga tupate changamoto za kimaisha zaidi ile tuweze songa mbele sio sababu ya kupoteza pesa.
 
nimekuelewa mkuu
 
Duuh! Pole sana dada. Vipi ukiamua kuachana nae ukaolewa na mwanaume mwingine unaweza pata ujauzito au alikupiga pini mazima?
 
Dah love nmesoma mkasa wako umenisisimua hatari. Sema mi watoto wala sio muhimu nkipata haya nikkosa haya mana tayar mungu alishanjaalia. Ila nimeyachukua mawazo yako nina imani yataniongoza
Hao watoto ulionao ni mmezaa wote au wewe tayari ni single mother. Je huyo mchumba wako ana kazi na maisha mazuri isijekuwa amekupendea kufaidi pesa zako tu.
 
Wewe unataka hasimtunze mama yake acha roho mbaya. Jamaa ndio anapaswa akuskip mapema.
 
Inauma sana kusikia jamaa anakupelekea moto hadi unakojoa, bora muachane uje kwetu na sisi tupate huo utamu
 
Mkuu, i will try my level best, nitakunyonya matako, hahahaaha
 
Huwa nachukizwa sana kuona mchumba/mpenzi /mke wa mtu fulani kuji compare sana na mama mzazi wa mume/mchumba/ wake, mama ana nafasi yake kubwa tu mwanamke mwingine asiingilie
 
Huwa nachukizwa sana kuona mchumba/mpenzi /mke wa mtu fulani kuji compare sana na mama mzazi wa mume/mchumba/ wake, mama ana nafasi yake kubwa tu mwanamke mwingine asiingilie
ofcourse ila kuna vitu unaona vinawagharimu na unashindwa kufanya lolote ukiwaza ni mzazi. Bora hata wa kwangu akzngua naweza handle . wa mwenzio ishu
 
Watakugeuza wewe duka la Mangi kimbia haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…