Sio kumkataa bali anatakiwa aweze kujisimamia, sikatai yeye kumsikiliza au kumhudumia mama. Ila kwa mwendo anaoenda hatokaa afanikiwe. Haiwezekani unakosa hela ya kumlipia mwanao ada, kisa mama anahitaji hzo hela kwa matumizi binafsi yasiyo na tija
Nashukuru kunielewa mana imebd nifungukeSasa hapa naanza kukuelewa... thanks
AlishafarikiBaba yake yuko wapi? Maana hawa wanaume wanaokuwa bila father figure kwenye maisha yao ni vichomi zaidi ya covid.
Mamas boysBaba yake yuko wapi? Maana hawa wanaume wanaokuwa bila father figure kwenye maisha yao ni vichomi zaidi ya covid.
Sijambo bestie......jua kali sanaHahaha we mutu hujambo?
Pole Mkuu!mimi mwenyewe inanipa wakati mgumu...
Habari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.
Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?
On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.
Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.
Je, nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea?
mi singo maza kitambo mkuuKumpenda unampenda kwenye yale majambo yetu anakupaisha sasa kabla ya kumuacha kwanini usiongee naye ili kusikia msimamo wake kwanza? Usije ukaishia usingo maza 😅
ukweli ulio mchungu rikiboy wetumwanaume anaeishi kwao anakwambia kuhusu ndoa na wewe unaingia mkengee tu kifalaa… huyo mama kashajua wew ni chuma uleteee yanii hapo kisa dudu tamu utatumika hasaaa mpaka uone dunia chungu
Ofcourse atakuuliza sababu... Mwambie UKWELI. Kuficha hakutakusaidia...Hili la kumwambia ahame nalifanyia kazi leo
unasema?Njoo kwetu sisi mdoa mada pesa hatuna na mapenzi hatuna
nakwambia kama sijaja na mrejesho ye ndo kanipiga kibuti baada ya kumchana sijuiOfcourse atakuuliza sababu... Mwambie UKWELI. Kuficha hakutakusaidia...
Asante sana rikiboyikifika kwenye ndoa dudu haina maana tena yani choose the best for ur children na Maisha yako ya keshoo hutakula wala kuishii ndani ya dudu
period!!!You are dating a mama's boy.