Kama kweli unampenda basi mueleze ukweli tu, kuwa ili mfikie malengo yenu lazima mfanye A, B, C. But don't put the fella in a situation that he either chooses you over his mom or his mom over you.period!!!
This is so hard as we know the guy can do nothing about it.Kama kweli unampenda basi mueleze ukweli tu, kuwa ili mfikie malengo yenu lazima mfanye A, B, C. But don't put the fella in a situation that he either chooses you over his mom or his mom over you.
So ulisepa ama upo na jamaa?Mfanye mwanaume wako awe mwanaume, mi nilijitoa mhanga kuchukiwa na mama mkwe ni kawaida hata ujipendekeze vp. Ikishindikana sepa
Bro ungeelewa kiundani sawa, ila nn sikulaumu mkuuCjaona kosa la huyo kijana.coz umesema anakupa unachotaka ..na pia anampa mama yake kile anachotaka ..kingine mama alinganishwi na mke wala baba yule ni mtu special .. hata ww ukiwa na wanao utataka wakupende kma unavyo wapenda ...nyie wanawake hua hamriziki hata mpewe nn.binafsi nikiona mke haelewani na mama mkwe napiga chini ctak kumkana maza kisa mke
Kama mzazi ananipoteza siwez msikiliza huwa nachuja vitu, nina mama pia sfany kila asemaloKwanza jiulize ww waeza kuacha kumsikiliza mama ako kisa boyfriend au mchumba ..kila mtu anayo nafasi yake ..mzazi cku zote yuko juu ...
Acha tu mama labda kuna mdada atawezaNadhani mapenzi ya mama kwa mwanae ndio husababisha mama kutompenda mkwe, ni kawaida..... Ila kuolewa na mtu wa hivo unahitaji kujitoa muhanga kwelikweli
Moms boyHabari wadau, ama kweli yakikufika huna namna utazungumza tu. Mwenzenu yamenifika shingoni na sijui kama nikichukua maamuzi ya kumuacha nitakua nakosea au lah.
Nikiri katika mahusiano yote niliyopitia sijawahi kuwa na mwanaume anayenifanya nijisikie furaha kama huyu kaka.Uhusiano wetu una mwaka sasa. Ni mkaka anayepambana sana, anajali, anahudumia pale anapoweza na kule 6*6 ndo usiseme. Hamna kitu ananificha. In short he is a man in every woman's dream mpaka nikawa naogopa kumpoteza bwana.
Mbembe ikaja baada ya kunitambulisha kwa mama yake mzazi (Eh Mungu). Mama alinipokea vizuri tu lakini siku ya kwanza tu akaniambia ukija niletee bia, mtoto wa kike nikapeleka. Baada ya hapo kila nikiona simu ya yule mama yeye ni kutaka hela tu kwangu. Nikajiuliza ni kisa kaniona na gari au ni nini?
On top of that mama yake hatak apange, kashikilia akae nyumbani eti asiharibu hela kwa kulipa kodi. Mshahara wake wote unatumika kwenye matumizi ya nyumbani, kama anabakiza ni kiasi kdg sana. Sasa kutokana na ukaribu huo kati yao naogopa hata kumshauri asije ona nawaingilia maisha yao.
Napata hofu kuwa ntakua adui kwa yule mama, maana akibadilika kimatumizi ataona mimi ndo kisababishi. Jamaa anapanga mipango ya ndoa lakini naogopa sana kuingia kwenye ile familia. Maana hata akiongea nae kwenye simu akiomba hela akimwambia hana anamwambia ahakikishe anaipata anampa na kijana anafanya hivyo.
Je, nikimuacha huyu kijana mapema nitakuwa nakosea?
Acha tu mama labda kuna mdada ataweza
Kuna mwana aliniambia huyo bi Sandra kabisa 🤣 🤣Kama namuona ambavyo anagandana na mamake kama diamond na bi Sandra.
Sa ukimchukia itakusaidia nini au itamuathiri nini?Alafu umwambie ukweli , usimwache dailema.
Mpaka sasa ni ushamuacha bado kumwambia tu.
Nawaza tu: mwamba akigundua kapigwa chini na mtu aliyekuwa anampenda/aliyekuwa na mipango ya kumueka ndani kabisa , kisa tu Bi mkubwa[emoji848]
Alafu we Dada ,Mimi kama mimi nshakuchukia tayari.[emoji41]
Wacha niendelee kulewa Mimi[emoji482][emoji481][emoji481][emoji481]
Nakomaa, nipoSo ulisepa ama upo na jamaa?
Mbona sasa na mimi unanilalamikia hapa na sijawahi kukuomba kitu?Kumtunza mama ktu gani ndgu, mimi naongelea mtu kutaka hela for anasa, bia zenyewe nilipeleka katoni akalalamika kwanini sijapeleka boxi zima, we unaona ni sawa? tena kwa binti ambae unajua ndo anapambana na maisha?