Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Inaonekana mtoa mada ni aina ya watu ambao hawajiandai kimaisha kwa kutegemea vya urithi.
Utavuna ulichopanda.
Utavuna ulichopanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyPole sana kwa changamoto mkuu.
Kuhusu kesi ya kumtengua msimamizi wa mirathi huwezi kutoboa maana kwa sasa msimamizi alishamaliza kazi yake kwa kufunga mirathi, hana anachokisimamia tena. Yaani sio msimamizi wa mirathi yoyote. Ulipaswa kuomba kumtengua kabla hajafunga mirathi, ungeweza kufanikiwa.
Halafu hata ungefanikiwa kumtengua msimamizi wa mirathi kwa sasa na kuomba mwingine ateuliwe (hata wewe mwenyewe) bado mahakama isingeweza kuruhusu hilo maana hakuna kitu cha kusimamia. Mali za marehemu zimeshauzwa, sasa utateuliwa ili kusimamia nini??
Kuhusu nyumba, hata ungefanikiwa kuthibitisha kuwa mirathi ilipatikana kidanganyifu, bado usingeweza kuirejesha kwa kuwa mnunuzi analindwa na sheria. Yaani ungeambiwa umdai fedha muuzaji ila nyumba isingerudi kwenu.
Kuhusu mgao wako, kwa kuwa ulikataa mwenyewe kupokea pesa, pia huwezi kuzidai sasa, labda kama zipo kwenye akaunti ya mahakama. Ila kama zilikuwa kwa aliyekua msimamizi wa mirathi nako itakuwa ngumu kuzidai.
Na iwe hivyo.Pole sana kwa changamoto mkuu.
Kuhusu kesi ya kumtengua msimamizi wa mirathi huwezi kutoboa maana kwa sasa msimamizi alishamaliza kazi yake kwa kufunga mirathi, hana anachokisimamia tena. Yaani sio msimamizi wa mirathi yoyote. Ulipaswa kuomba kumtengua kabla hajafunga mirathi, ungeweza kufanikiwa.
Halafu hata ungefanikiwa kumtengua msimamizi wa mirathi kwa sasa na kuomba mwingine ateuliwe (hata wewe mwenyewe) bado mahakama isingeweza kuruhusu hilo maana hakuna kitu cha kusimamia. Mali za marehemu zimeshauzwa, sasa utateuliwa ili kusimamia nini??
Kuhusu nyumba, hata ungefanikiwa kuthibitisha kuwa mirathi ilipatikana kidanganyifu, bado usingeweza kuirejesha kwa kuwa mnunuzi analindwa na sheria. Yaani ungeambiwa umdai fedha muuzaji ila nyumba isingerudi kwenu.
Kuhusu mgao wako, kwa kuwa ulikataa mwenyewe kupokea pesa, pia huwezi kuzidai sasa, labda kama zipo kwenye akaunti ya mahakama. Ila kama zilikuwa kwa aliyekua msimamizi wa mirathi nako itakuwa ngumu kuzidai.
Hao warithi wenzio wakae kikao wakuue tu ili usiendelee kusumbua wenzio.Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.
Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.
Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.
Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.
Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.
Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.
Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
Acha kusumbua wenzio, kesho ni kubwa kuliko jana na leo.Nyumba ilishauzwa miaka 9 imepita. Mi nilikuwa nadhani ninahaki ya kumiliki iyo nyumba maana mi ni mtoto wa kwanza
🙆🙆🙆🙆🙆🙆 Kama kweli vile. Wamuwahi si ndio?Hao warithi wenzio wakae kikao wakuue tu ili usiendelee kusumbua wenzio.
Watu kama nyinyi hamfai kabisa kuwa ndugu wa watu.
Wewe kwanini hutaki nyumba iuzwe? Unataka mfanyeje na hiyo nyumba? Una plan yoyote inayoeleweka?Ukweli seriously!! Katika mahakama mara zote msimamizi amekuwa anatoa Rai Kwa mahakimu kuwa eti Mimi nikapimwe akili, lakini hakimu anasema mahakama inamsikiliza yeyote (si utani ni kweli kabisa)
Vigezo, moja, nimedai Msimamizi si ndugu yetu.Kwa kigezo kipi? kwa sasa.
Kabisa mkuu mkiwa na ndugu kichaa na kichaa anakifanyia majaribio ndani ya familia suluhisho ni moja tu kumtanguliza Akhera akamsumbue Mungu huko.[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Km kweli vile. Wamuwahi si ndio?
Imagine amesumbua wenzie kwa miaka 10 na bado anaanza chokochoko mpya[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] Km kweli vile. Wamuwahi si ndio?
Kwakuwa umekuja kuomba ushauri hapa JF,Vigezo, moja, nimedai Msimamizi si ndugu yetu.
Pili, nimedai kuwa katika kikao Cha mirathi sikuwepo na walifoji sahihi yangu
Huo ndio ukweli kuwa hutotoboa.Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
Wewe una Roho ya Uzurumati!Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.
Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.
Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.
Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.
Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.
Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.
Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
So ni kweli jamaa alifoji sahihi?Msimamizi alikamatwa na kufunguliwa kesi ya jinsi forgery na mahakama ikamkuta Hana hatia
Vikao na maamuzi ya kuuza vilijadiliwaje ukiwa kama mtoto wa kwanza si ulitakiwa kucoordinate kila kitu na wadogo zako, and how come madogo wanaamua vitu huku wewe kaka yao hauna moja wa mbili unalojua.Nyumba ilishauzwa miaka 9 imepita. Mi nilikuwa nadhani ninahaki ya kumiliki iyo nyumba maana mi ni mtoto wa kwanza
Mtoto wa kwanza anaacga kutafuta mali zako ujisimamie unagombania mali za urithiii...!! Kenge maji... wadogo zako warithi nin sasa???Nyumba ilishauzwa miaka 9 imepita. Mi nilikuwa nadhani ninahaki ya kumiliki iyo nyumba maana mi ni mtoto wa kwanza
Hajitambuii huyooo.. Mtoto wa kwanza kikao cha mirathi haupo alikuwa kuvutaa bhangii sijuiVikao na maamuzi ya kuuza vilijadiliwaje ukiwa kama mtoto wa kwanza si ulitakiwa kucoordinate kila kitu na wadogo zako, and how come madogo wanaamua vitu huku wewe kaka yao hauna moja wa mbili unalojua.