Je, ninaweza kumtengua msimamizi wa mirathi?

Je, ninaweza kumtengua msimamizi wa mirathi?

Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.

Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.

Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.

Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.

Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.

Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.

Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
Milembe inakuhusu
 
Hadi sasa hajasema sababu ya msingi, pengine anayosababu ya msingi ya kugomea nyumba ya familia kuuzwa labda alikuwa na mkakati ambao ungesaidia kila mwanafamilia ila shida sasa hasemi tatizo ni nini kuuzwa nyumba na alitaka ibakie kwaajiri ipi nadhani swala la kuhoji hapa ni wewe kama kaka wa familia unatoa maamuzi gani ya mwisho kwa faida ya wanafamilia wenzako na kwako pia.
Watu wa aina hii huwa ni wakorofi na wala hawana sababu za msingi bali wanataka wenzao wasipate haki yao.

Huyu yupo kama kaka yetu sisi, alijirithisha mali zote, akauza nyumba moja kati ya mbili alizojenga baba yetu na moja akawa anaishi yeye. Kila tukimuambia habari ya mirathi alikuwa anatukana watu. Baada ya kifo ndiyo tulitambua kumbe alimwambia mwanawe kuwa ile nyumba sio yake bali ni ya ndugu zake (sisi).
 
Kwenye hiyo nyumba umeshaondoka au bado umeng'ang'ania kwasababu we ni baunsa? Alafu We tangu 2006 hadi leo imepita miaka 17 bado unapambana na migogoro ya urithi tu au ndo umeshaamua maisha yako yote yaliyobaki kazi yako iwe ni kufungua kesi na kushindwa?
 
Nashangaa hivi alitaka wenzake wasipate urithi wao na yeye aendelee kuishi kwenye nyumba?

Kwa nini asingeinunua mambo yakaisha?

Huko ni kuhangaishana tu na roho mbaya aliyonayo. Achukuwe hizo pesa za urithi wake asonge mbele au akizikataa zipelekwe wakfu zifanye mambo mengine.

Atakuja kujuta umri umeshapita. Kuna siku atakuja kuondolewa na polisi bila huruma.
Na huenda yeye ndiye aliyekuwa akiongoza mgomo wa kwenda shule,kujishughurisha badala yake akawa anaenda kwenye vijiwe vya kuvutia bangi na kutanua kifua eti ili awe baunsa akitegemea vya urithi.
 
The grounds for revoking the grant are listed under Section 49 (1) of Probate and Administration of Estates Act, Cap 352 R.E 20023which stipulates that the grant of probate and letters of administration may be revoked or annulled for any of the following reasons:"
(a) that the proceedings to obtain the grant were defective in substance;
(b) that the grant was obtained fraudulently by making a false suggestion, or by concealing from the court something material to the case;
(c) that the grant was obtained by means of an untrue allegation of a fact essential in point of law to justify the grant, though such the allegation was made in ignorance or inadvertently;
(d) that the grant has become useless and inoperative;
(e) that the person to whom the grant was made has wilfully and without reasonable cause omitted to exhibit an inventory or account in accordance with the provisions of Part XI or has exhibited under that Part an inventory or account which is untrue in a material respect."
Mkuu hii case kwa ninavyoiona imeshatoka kwenye probate..

Hapa nahisi tuizungumie kwenye Contract Breach..

Mlalamikaji anamtuhumu Msimamizi wa mirathi kwa Statute of Frauds wakati yeye mwenyew alikuwepo kwenye kikao na aliridhia na yeye ndo alipresent hiyo mada...

Japo angeweza Kubebwa legally na kipengele cha doctrine of promissory estoppel japo yeye mwenyewe alichelewa mpaka upande mmoja ukaanza kufanya process so hata kama angeshinda Kipindi cha mwaka Nyumba inauzwa ilipaswa alipe promisory Demage of contract..

Kama wangeweka kikao mapema wangekuabliana na ndugu zake kwanza kabla ya kumuhusisha Msimamizi na wangekuwa bora..
Ila hapa atakuwa anapiga kelele tu maana yeye ndo kasababisha demage
 
Vigezo, moja, nimedai Msimamizi si ndugu yetu.
Pili, nimedai kuwa katika kikao Cha mirathi sikuwepo na walifoji sahihi yangu
Mkuu Hoja zako na mapingamizi yako hayana mashiko kabisa..

KWa mujibu wa Sheria tulizo adapt za mirathi..
Msimamizi sio lazma awe ndugu wa karibu..
Tena ni vizuri kwa sababu hakuwa ndugu kwahyo hana Interest kwenye hiyo mirathi (Na hicho ndo kinambeba kuonekana katenda haki)
 
Kwenye hiyo nyumba umeshaondoka au bado umeng'ang'ania kwasababu we ni baunsa? Alafu We tangu 2006 hadi leo imepita miaka 17 bado unapambana na migogoro ya urithi tu au ndo umeshaamua maisha yako yote yaliyobaki kazi yako iwe ni kufungua kesi na kushindwa?
Niling'ang'ania na kupangisha watu na Kodi nilikuwa napata hadi 2019 nikatolewa Kwa amri ya mahakama, msimamizi aliomba mahakama nikatolewa na nyumba akakabidhiwa mnunuzi na akaibomoa.
 
Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.

Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.

Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.

Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.

Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.

Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.

Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
Kwani mkuu wewe unataka nini hasa maana kote umeshindwa, nyumba ishauzwa sasa shida yako nini hasa? Unapoteza muda na kujenga uadui baina yenu na unapoteza ela pia.
 
Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.

Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.

Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.

Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.

Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.

Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.

Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
Anza kufuatilia mgawo wa kuuzwa nyumba ya wazazi wenu(pesa haipo) waliohangaika sanaa kuijenga wakati wewe unajifunza kula ndumu na sasa umekuwa mbobezi.

Nunua kiwanja chako kwa pesa yako kisha jenga,kenge wewe.
 
Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, Tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi.

Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu msimamizi wa mirathi alikuwa anaishi mbali, Lakini ugomvi wa mara Kwa mara kati yetu na kupelekana Polisi ulikuwa auishi na hatimaye Mimi nilimwita msimamizi wa mirathi aje, alipokuja tulikaa kikao kama ndugu, katika kikao hicho tulikuwa 4 tukakubaliana suluisho ni kuuza nyumba Ili Kila mmoja Apate haki yake aendelee na maisha yake.

Na wale 2 walipojulishwa wakaafiki nyumba kuuzwa, Mimi ni mtoto wa kiume nilipofikiri mara ya pili maamuzi tuliyofikia ya kuuza nyumba nikaamua kugeuka na kukataa. Msimamizi wa mirathi akaamua kwenda mahakamani na warithi wote tuliitwa, wenzangu 5 waliafiki kuuzwa nyumba ila Mimi pekee nilikataa na kutamka mahakamani kuwa ata wakiuza sitopokea hizo pesa. Mahakama ikakubaliana na warithi hao nyumba iuzwe.

Mimi nikazuia kuuzwa Kwa nyumba Kwani nilifungua kesi mahakamani kudai nyumba ni Mali yangu, kesi nikashindwa. Baadae nikafungua kesi nyingine kuwa Mirathi ni batili, nayo nikashindwa, na nikapewa muda wa kukata rufaa, sikukata rufaa ndani ya muda niliopewa.

Kwa kuwa sikukata rufaa na hakukuwa na kesi mahakamani, Msimamizi aliendelea na Zoezi akatangaza kuuzwa Kwa nyumba na ikauzwa kupitia Kwa mwanasheria mwaka 2014 nilikataa mgawo wangu na nikagomea kutoka katika nyumba, Kwa kuwa Mimi ni bouncer walikuwa wananiogopa kunigusa, hatimae msimamizi 2015 akarudi mahakamani kufunga usimamizi wa mirathi na tuliitwa wote na Mimi nilikataa pesa wananiona Mimi kama punguani.

Baada ya nyumba kuuzwa Nikarudi mahakamani kuomba kukata rufaa nje ya muda kuhusu kesi yangu ya Mirathi ni batili, mahakama ya wilaya nikashindwa, nikakata rufaa mahakama kuu Nako nikashindwa Mwaka 2020. Baada ya kushindwa mahakama kuu 2020 hiyo hiyo nikaenda Polisi kulalamika kuwa katika kile kikao cha mirathi 2006 mi sikuwepo na wameiga sahihi yangu. Polisi walifanya uchunguzi wao na wakamkata msimamizi na kumfungulia kesi ya forgery.

Lakini pia kesi imekwisha hivi majuzi na nimeshindwa. Na sasa nataka KUMTENGUA msimamizi wa mirathi, je imekaaje hii? Je, nitatoboa?
hutoboi, hauna hoja
 
Hadi sasa hajasema sababu ya msingi, pengine anayosababu ya msingi ya kugomea nyumba ya familia kuuzwa labda alikuwa na mkakati ambao ungesaidia kila mwanafamilia ila shida sasa hasemi tatizo ni nini kuuzwa nyumba na alitaka ibakie kwaajiri ipi nadhani swala la kuhoji hapa ni wewe kama kaka wa familia unatoa maamuzi gani ya mwisho kwa faida ya wanafamilia wenzako na kwako pia.
Kiufupi ukiona mpaka mawazo yako kama kaka mkubwa wa familia yanapuuzwa jua una changamoto kubwa mahaliii... huyu alikuwa anaishi kwenye nyumba ya urithi na wadogo zake kama ndo nyumba pekee walikuwa wanaishi sidhani kama wangeuzaa ila kuna kitu jamaa hasemii...!!
 
Na huenda yeye ndiye aliyekuwa akiongoza mgomo wa kwenda shule,kujishughurisha badala yake akawa anaenda kwenye vijiwe vya kuvutia bangi na kutanua kifua eti ili awe baunsa akitegemea vya urithi.
Wakati huo nyumba ilipangwa kuuzwa kutokana na migogoro isiyoisha wakaamua wauze wagawane. Mleta migogoro alikuwa ni huyu baunsa. Ukiona ndugu ameanza kubeba vyuma huku ni jobless ujue kuna hatari, kadri mwili unavyotanuka ndivyo utahahira unajaa kichwani.

Jambo lingine. Tumpe sifa msimamizi wa mirathi, ni mtu mwaminifu sana na mwenye hekima.
 
Hakika!
Wakati huo nyumba ilipangwa kuuzwa kutokana na migogoro isiyoisha wakaamua wauze wagawane. Mleta migogoro alikuwa ni huyu baunsa. Ukiona ndugu ameanza kubeba vyuma huku ni jobless ujue kuna hatari, kadri mwili unavyotanuka ndivyo utahahira unajaa kichwani.

Jambo lingine. Tumpe sifa msimamizi wa mirathi, ni mtu mwaminifu sana na mwenye hekima.
 
Back
Top Bottom