Je, ninaweza kumtengua msimamizi wa mirathi?

Kinachokusumbua mleta mada ni ubishi usionatija hapo huna haki na izo kesi huwezi kishinda
Najipa matumaini ya kushinda, kwasababu,
Kwanza, msimamizi anaishi Mikoani nikichukua summons Nimejenga mawasiliano na dada mjumbe mmoja wa serikali ya Mtaa anaoishi namtumia mjumbe anamvizia zikibaki siku 2 au 1 anampelekea, Kwa iyo inamfanya akose kuja mahakamani Kwa wakati.
Pili, Nimeshamchosha namburuza Kila siku mahakamani nauli na hata muda wa kufanya shughuli za uzalishaji Mali Hana, katepeta mwisho atashindwa kuja, na mahakama itahukumu upande mmoja, Kwa iyo nitashinda
 
We nyumba imeuzwa, chukua chako fanya mambo ya msingi, kikubwa kama hujakaa sawa kimaisha hilo ndio shuti lako la mwisho, tumia hela vizuri, utoke kimaisha.
 
Afya ya akili ni tatizo, kwaiyo unapambania ivo ili umkomeshe msimamizi, ili upate tena nyumba! Kwanza hata iyo nyumba ukiipata inabidi urudishe pesa ya kod ulokua unapata maana mali ya familia umeifanyia biashara na kwanini ukate kuuzwa? Sababu kwenye mali ya familia hata ukiwa 1st born haikupi hualali wa kua final say.
 
Huwezi kushinda kwa sababu hoja zako hazina mashiko hata kidogo.
 
Haya yote unayafanya ili ufaidike na nini? Ulitaka ule mali ya urithi peke yako bila ndugu?
 
Ati! miaka 17 kama ubaunsa wake angeutumia vizuri saa hizi angekuwepo kwake ametulia.
 
Nyumba ilishauzwa miaka 9 imepita. Mimi nilikuwa nadhani nina haki ya kumiliki hiyo nyumba maana mimi ni mtoto wa kwanza.
Vizuri ume sena ulikuwa unadhani.
Ila ukwel hapo nikwamba,hapo hivyo wote,mnahaki sawa.

Na kwann ulikuwa usomi arama za nyakati?yan unafungua kesi unashidwa ,unakata rufaa unashindwa na bado unakomaa? ?

Ulionekana kama unania,ovu Mala tuu ulipo fungua kesi kudai nyumba ni yako
 
Sasa mkuu kama nyumba ni ya familia ni kwann unakataaa makubaliano ya ndg zako ya kuuza ili kila mtu apate mgao wake kihalali.......
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€eti baunsa Ila wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…