Waliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwaBBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Usituchoshe na dini zenu za kitapeli, endeleeni kuoigani 🖕🖕🌈🌈Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,
4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,
7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc
#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Usiwadanganye watu kisa umeshikwa Tako. Aljazeera unajua kama ni media ya Qatar ambayo ni uislamu. Utasemaje media kubwa ni mazayuni?Media zote kubwa duniani zipo chini ya wayahudi mazayunist wa kifreemasoni wao ndio uamua propaganda ipi ipite
Tueleze elimu yako, umewahi kutembelea nchi ngapi, umewahi kufanya tafiti ngapi na unajua kuongea vizuri sana lugha ngapi za kimataifa, hii itatusaidia kuuamini utafiti wako.Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,
4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,
7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc
#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Aljazeera ni tone TU ndani media kubwaUsiwadanganye watu kisa umeshikwa Tako. Aljazeera unajua kama ni media ya Qatar ambayo ni uislamu. Utasemaje media kubwa ni mazayuni?
BBC wamesema kipi tofauti na alichosema Papa kuhusu ushoga??Hata mimi naona BBC na ushoga damudamu na kwa sasa wamegeuka kuwa wasemaji wa Kanisa Katoliki hata kuliko sources of information of Kanisa Katoliki kama vile Vatican News, CNA (Catholic News Agency) au EWTN. Na hasa wanaweka mlengo wao mbele zaidi kuliko ukweli wa habari husika. Mfano, wachangiaji wengi wanaochangia kuhusu Papa alichosema kuhusu ushoga na ndoa za mashoga wanachukua maoni ya BBC zaidi kuliko Declaration (Fiducia Supplicans). Na pia document imeongelea watu walio katika 'irregular marriage", lakini hawa BBC haijawagusa kabisa kwa sababu mlengo wao ni ushoga (sijui ni kampeni pia?).
Kwani hata hao maaskofu walisema kipi ambacho kilikuwa kimeandikwa kwenye Declaration? Hata walichosema maaskofu si BBC ndio waliosema maaskofu wampinga Papa? Au kama una waraka wa maaskofu wowote ambao wamepinga waraka uweke hapa tuone kama walichokisema ni kile kilichoandikwa kwenye Declaration. Nasubiri uweke waraka wa baraza lolote la Maaskofu Afrika ambao wamepinga hiyo Declaration. Maani ni vizuri tukaongea kwa data (facts) kuliko mambo ya kubuni kichwani au mihemko.BBC wamesema kipi tofauti na alichosema Papa kuhusu ushoga??
Kama BBC wamepotosha Maaskofu mbalimbali wa Nchi za Africa kwa nini walitokwa na povu kuhusu waraka wa Papa??
Pengine hata wewe ndiye.wakiristo masho..gaaaaaaaaaaaa mbarikiweeeeeeeee
Sio rahisi BBC kutoa kashifa za uongo because of the legal consequences. Hii ni habari imetoka after thorough investigation, na kubaini TB Joshua alikuwa tapeli, mwizi, mbakaji, muuza ndaga na muuaji.
Ogopa sana matapeli wa Nigeria
BBC walishawahi kuripoti kwamba wachina wamepewa kibari kufungua vituo vya polisi TanzaniaSio rahisi BBC kutoa kashifa za uongo because of the legal consequences. Hii ni habari imetoka after thorough investigation, na kubaini TB Joshua alikuwa tapeli, mwizi, mbakaji, muuza ndaga na muuaji.
Ogopa sana matapeli wa Nigeria
kula konyagi kubwa braza!Hapo umewasingizia bure! BBC wanajitahidi kuripoti taarifa za Uhakika!
Na hawafichi taarifa!
Taarifa ambazo BBC walizitoa juu ya Papa kuruhusu kubarikiwa kwa ndoa za Mashoga ni za kweli, vinginevyo Maaskofu katika nchi mbali mbali hususani Afrika wasingepinga maagzo ya Papa! Sasa wangepingaje kama kauli aliyotoa Papa siyo ya Kweli?
Kuhusu TB Joshua, wameripoti taarifa zake kutoka kwa watu ambao walijua uovu wa TB Joshua!
Mimi sina mda wa hayaWaliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwa