Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kinara wa Uislam duniani. Uislam ni kwa kila mtu. Ukijisalimisha kwa Muumba wako wewe ni Muislam.unajitoa ufahamu, subiri uone na huo uislam utakavyochalenjiwa. Tena tayari wameshatu ndoana zao kwenye kinara wa uislam duniani. Usije ukashangaa uislam kuonjeshwa shubiri na kikombe cha sifongo. Uislam ulivyo sleek ndio utavurugwa kirahisi afadhali ya ukristo watapata ugumu kuuharibu
Pole sana mkuu..Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,
4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,
7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc
#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
👍👍Hapo umewasingizia bure! BBC wanajitahidi kuripoti taarifa za Uhakika!
Na hawafichi taarifa!
Taarifa ambazo BBC walizitoa juu ya Papa kuruhusu kubarikiwa kwa ndoa za Mashoga ni za kweli, vinginevyo Maaskofu katika nchi mbali mbali hususani Afrika wasingepinga maagzo ya Papa! Sasa wangepingaje kama kauli aliyotoa Papa siyo ya Kweli?
Kuhusu TB Joshua, wameripoti taarifa zake kutoka kwa watu ambao walijua uovu wa TB Joshua!
Nilijua BBC kimlengo imekaa ki-liberal zaidi. Yaani inaendana hasa na mitazamo ya Labour Party na kukinzana na misimamo mikali ya Conservatives/Tories. Ndio maana wamekuwa na migongano na serikali Conservatives wakiwa madarakani. Hawatoi blanket support kwa serikali yoyote tu. I stand to be corrected/educated.BBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Kweli kabisa sio wale kabisaBBC wahuni Sasa siku hizi
Pambana na hali mshamba ,usitaje wengine ...Hiki chombo cha habari si kizuri kwa ukristo, kimekuwa kikusakama ukristo kikijua wakristo hawana munkari wa kuleta fujo kwenye ofisi zao popote duniani. Hebu wajaribu kuchalenji imani ya dini ile yenye jazba watashuhudia maandamano dunia nzima huku ofisi zao zikichomwa moto na waandamanaji wenye uchungu na dini yao kuchalenjiwa.
Wanapambana na Ukristo tuKweli kabisa sio wale kabisa
Wanafuata amri tu na sio habari za uhakika
Al Jazeera ni kipaza sauti cha kobazi duniani kote.Kitambo sana nilishaachana na kuifuatilia BBC, Habari ziko Al Jazeera,
Pale BBC Kila mtu ni shoga wanaupenda Ushoga balaa
Na BBC je?Al Jazeera ni kipaza sauti cha kobazi duniani kote.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Una uthibitisho upi kwamba kila mtu pale BBC ni shoga?Kitambo sana nilishaachana na kuifuatilia BBC, Habari ziko Al Jazeera,
Pale BBC Kila mtu ni shoga wanaupenda Ushoga balaa
wapuuzi sana! Mnashadidia kana kwamba mna sayari yenu peke yenu, kisanga kinakuja soon na kwenu jiandaeni kisaikolojiaPambana na hali mshamba ,usitaje wengine ...
Naeka kituo hapa nikasali kwanzaKama ni kweli huyo mchungaji aliyafanya na ushuhuda upo basi tusipambane na wao
Kweli BBC wana unafiki mwingi ila wakiamua kutuma watu kuchunguza wanaingia deep zaidi sio zetu za hearsay mpaka waandishi wetu yuko Dar anaandika ya Kigoma halafu anahitimisha kuwa eti Simu za fulani hazipatikani kila tukimpigia (hao ndio waandishi wetu) au zimegonga mwamba [emoji1]
Napenda Pamorama sana kwani huwa wanafuatilia mpaka Mexico
Kama ni Ushoga wamepania kila nyanja kuanzia Habari, mashuleni na kila sehemu
Mpaka Mabungeni wamejaa hawa jamaa
Na Israel ndio wanaongoza kwani kila mwaka wanakutana Tel Aviv Dunia yote
unajua hili wimbi haliwaachi salama hata ninyi? Mmejiandaaje kisaikolojia kukabiliana nalo?Hakuna kinara wa Uislam duniani. Uislam ni kwa kila mtu. Ukijisalimisha kwa Muumba wako wewe ni Muislam.
Usitafsiri Uislam kwa kutumia ukristo, ni vitu tofauti kabisa.
Wewe unangoja nini kujisalimisha kwa Muumba wako?
Hahahaha khaaa, Uisilamu,Mtoa mada unatakiwa upigwe makonzi upate na viji akili kidogo
Hoja yako namba 4 ni mfu kama walivyo hao BBC
Yaani leo mmeamua kusema BBC inaukaribu na waislam
Pia taja nchi tano za waislam ama zenye waislam wengi zilizopitisha sheria za ushoga rasmi kama kwenu
Europe Union yote kule wakristo wengi na karibu manchi yote huna lakuwaambia kuhusiana na ushoga(halali)
Amerka kusini na kaskazini kote kule wakristo wengi na manchi yao kama sio yote basi 90% ushoga halali kabisa kama nini sijui
Pale mashariki ya kati ambapo ndio kitovu cha Uislam hem tutajie taifa moja tu linaloutambua ushoga kama huko kwenu kwa Gaynations
Mkiambiwa Uislamu ndio njia sahihi ya maisha ya mwanaadam muufate mnakaakaa tu huko nakupoteza muda wenu nakuambatanisha chuki zenu eti BBC hawa hawa wawe jino kwa jino na uislamu na waislam
Mlivyokua muflis na hamna hoja mtakuja kusema papa nae muislam
Mtoa mada huna hoja ila tu nikupe hii kama faida kwasasa ushoga Unapigiea chapuo na mataifa makubwa wanataka iwe ni system kabisa ya mfumo wamaisha kuona mwanao me kaoa me ama kaolewa na me mwenzake uone kawaida sana na kinyume chake
Mtoa mada karibu kwenye Uislam nafasi bado zipo na hazijai ukifa kwenye ukristo (ukafiri) usije ukasema sikukukwambia kua uislam ndio dini ya haki
Hakika dini ya haki mbele ya mwenye enzi Mungu ni Uislam(hakuna sehem kwenye baibo nasikia waloutaja ukristo kama dini kama ipo nioneshe hem)
Hakuna mtu anashadadia ni wewe na akili zako ...Angali vita huko jinsi wanavyoleta propaganda.wapuuzi sana! Mnashadidia kana kwamba mna sayari yenu peke yenu, kisanga kinakuja soon na kwenu jiandaeni kisaikolojia
Akikujibu unitagBBC wanatoa habari za kweli hizi nguvu unazotumia ungetumia kupambana na Papa aliewaruhusu ushoga wanaume kwa wanaume muowane na muende kanisani mkabarikiwe
Kama Papa angekua amesingiziwa angekanusha hizo habari au kuwashtaki Bbc