Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Hayo mambo ya ushoga Yanasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mambo ya ushoga Yanasikitisha sana
Kuna some hidden agenda, let's wait and see....Hata mimi naona BBC na ushoga damudamu na kwa sasa wamegeuka kuwa wasemaji wa Kanisa Katoliki hata kuliko sources of information of Kanisa Katoliki kama vile Vatican News, CNA (Catholic News Agency) au EWTN. Na hasa wanaweka mlengo wao mbele zaidi kuliko ukweli wa habari husika. Mfano, wachangiaji wengi wanaochangia kuhusu Papa alichosema kuhusu ushoga na ndoa za mashoga wanachukua maoni ya BBC zaidi kuliko Declaration (Fiducia Supplicans). Na pia document imeongelea watu walio katika 'irregular marriage", lakini hawa BBC haijawagusa kabisa kwa sababu mlengo wao ni ushoga (sijui ni kampeni pia?).
BBC wahuni Sasa siku hiziBBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Ungelisusia na kanisa katoliki, maana papa anasema wabarikiwe.Hakuna kama Yehova,
1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,
2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%
3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,
4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,
7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc
#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
shaitwaaaaaniiiii weeeeeeeweeeeeeewakiristo masho..gaaaaaaaaaaaa mbarikiweeeeeeeee
Hii ya Tb Joshua kimetokea nini teana mbona naona hiz habar zimetapakaa?Madudu yenu ya uongo yanavuliwa nguo na BBC mnaanza kutokwa na majasho?
TB Joshua wenu kaumbuliwa huko
kula tano, umemaliza kila kitu, hicho chombo ni cha illuminati/freemasonMedia zote kubwa duniani zipo chini ya wayahudi mazayunist wa kifreemasoni wao ndio uamua propaganda ipi ipite
mpuuzi wewe, unashadidia bila kujua mwenendo wa ajenda umelenga wapi na utaishia wapi, hata kwenye dini yako wanakuja hamtapona kwenye ushoga na tayari nchi kinara wa dini yenu zimebugizwa ndoana yenye chambo na zimeibugiaBBC wanatoa habari za kweli hizi nguvu unazotumia ungetumia kupambana na Papa aliewaruhusu ushoga wanaume kwa wanaume muowane na muende kanisani mkabarikiwe
Kama Papa angekua amesingiziwa angekanusha hizo habari au kuwashtaki Bbc
acha ujinga, unajua hiyo media ni kina nani wamewekeza, au kwa vile inawapendelea wapalestina/waislam na iko qatar ndio uamini ni chombo cha kiislam?Usiwadanganye watu kisa umeshikwa Tako. Aljazeera unajua kama ni media ya Qatar ambayo ni uislamu. Utasemaje media kubwa ni mazayuni?
Unajifanya unaijuia kanisa Catholic kuliko papa? Papa ndo mwenye kanisa lake karuhusu muowane wanaume kwa wanaume alafu mnailaumu Bbc wa kulaumiwa ni papa na ajenda zake za ushogampuuzi wewe, unashadidia bila kujua mwenendo wa ajenda umelenga wapi na utaishia wapi, hata kwenye dini yako wanakuja hamtapona kwenye ushoga na tayari nchi kinara wa dini yenu zimebugizwa ndoana yenye chambo na zimeibugia
ulitaka uzi uanzishwe na mpagani?Uzi wa kipuuzi sana huu ulioanzishwa na mlevi mmoja wa dini mwenye akili kama kisoda.
hiyo habari ipo kwenye vyombo vya habari vya vatican?sawa ata kama nchi za kiislam zina mashoga wengi,lakini,taasisi ya kiislam ktk mamlaka yake ya juu,haijatoa TAMKO kwamba mashoga wanastaili kuhudumiwa{mimi ni mkristo msema kweli],lakini sisi wakristo,au wakatoliki,ata kama hamna mashoga,lakini mkuu we2 wa ngazi za juu kabisa PAPA sijui NYANGUMI kasema!!!"makasisi wawabariki MASHOGA"!!!
Alikuwa akiwatoaje mimba? Yeye ni daktari? Au kwa nguvu ya roho Mtakatifu?BBC ni WA kweli they call a spade spade siyo kama tbc ya kupaka Paka rangi. Ulitaka waseme uongo ili kukufurahisha na T.B Joshua wenu aliyekuwa anatoa Mimba watu ovyo ovyo
unajitoa ufahamu, subiri uone na huo uislam utakavyochalenjiwa. Tena tayari wameshatu ndoana zao kwenye kinara wa uislam duniani. Usije ukashangaa uislam kuonjeshwa shubiri na kikombe cha sifongo. Uislam ulivyo sleek ndio utavurugwa kirahisi afadhali ya ukristo watapata ugumu kuuharibuUngelisusia na kanisa katoliki, maana papa anasema wabarikiwe.
Mkristo wa kweli mwenye imani ya Mwenyezi Mungu mmoja, lazima awe Muislam. Nje ya hapo ni feki tu.
peleka ujinga wako kule, nani anamuamini papa?Unajifanya unaijuia kanisa Catholic kuliko papa? Papa ndo mwenye kanisa lake karuhusu muowane wanaume kwa wanaume alafu mnailaumu Bbc wa kulaumiwa ni papa na ajenda zake za ushoga
Wewe na papa nani mkatoliki?peleka ujinga wako kule, nani anamuamini papa?