The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuu.Audi Q5 first choice
VW Toureg second choice...
Naomba kujua kwa nini umependekeza hivyo.
Ahsante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu.Audi Q5 first choice
VW Toureg second choice...
bila kupoteza muda, chukua FortunerJF magari, habari?
Heri ya mwaka mpya wakuu...
Mkuu hii ni gari gani?!Chukua Toutage
Tiguan 2011 andaa kuanzia 32M+JF magari, habari?
Heri ya mwaka mpya wakuu...
Hapo Gari ni Fortuner tu. resale value yake inajieleza.Tiguan 2011 andaa kuanzia 32M+
Toureg 2011 andaa kuanzia 50M+
Q5 2011 andaa kuanzia 55M+
Fortuner 2011 andaa kuanzia 85M+
naelewa Toureg V8.. kisahani 320kmh, cc 4600Tiguan 2011 andaa kuanzia 32M+
Toureg 2011 andaa kuanzia 50M+
Q5 2011 andaa kuanzia 55M+
Fortuner 2011 andaa kuanzia 85M+
MKUU karibu Mitsubishi Pajero. HutajutaYes, lengo langu ni SUV, siwezi kununua sedan kwa sababu ya body size yangu.
Nilikua nataka WV ila naona Audi imevuta hisia zangu ghafla.
Hii mashine naizimia sana yaani sana nikiwa na ngapi naweza agiza na kumalizana na TRA hadi kuiweka ndani?
Gari ya kindezi sana hii😂😂😂 moja wapo ya SUV ambazo sijawahi kuzielewa toka napata akili
Shipa hilo!
Hiyo gharama uliyoweka kwa 2011 fortuner ni kubwa sana maana ya kuanzia 2017 kuja miaka ya karibuni ni kuanzia Rand 400,000 mpaka Rand 600,000 sawa na 72m kuendelea na hiyo ni 2.4 GD 6 diesel hizi auto au manual...fortuner ni moja ya gari ikiwa ya muda mrefu kidogo thamani yake huko kwenye manunuzi inashuka sana ukizunguka Johannesburg unaweza ukapata ya rand 100,000 sawa na 16m za kitanzania ikiwa ya SADC unalipa kodi tofauti na Japan itapungua zaidi...Tiguan 2011 andaa kuanzia 32M+
Toureg 2011 andaa kuanzia 50M+
Q5 2011 andaa kuanzia 55M+
Fortuner 2011 andaa kuanzia 85M+
Ina shida gani mkuu?Gari ya kindezi sana hii😂😂😂 moja wapo ya SUV ambazo sijawahi kuzielewa toka napata akili
Siipendi tu hio gari af nyingi ni problematic kwa historia tu hasa ile generation ya piliIna shida gani mkuu?