Je, ninunue gari gani kati VW Tuareg, VW Tiguan, Audi Q5 ama Toyota Fortuner?

Je, ninunue gari gani kati VW Tuareg, VW Tiguan, Audi Q5 ama Toyota Fortuner?

Wakenya wengi sasa hivi wananunua magari South; yaani wamejua kutumia unafuu wa kodi kea kutumia SADC. Hebu tupe shule kidogo hapa.
Wakenya wananunua gari nyingi SA kwa sababu Nchi yao imepunguza miaka ya magari yanayohitajika kuingia na wakiangalia kutokana na wao wana kipato kikubwa wanaona SA gari zipo bei rahisi hata mimi wateja wangu wengi ni Wakenya na pia Nchi yao parts nyingi zipo na hawaulizani ulizani anunue gari gani kama kwetu kwa sababu ya kodi zipo juu sana..
 
SMD car sales smd.co.za hapo gari aina zote unachagua unayotaka ila hapo ni mnada sijajua ukiwasiliana nao ukiwa Tanzania wanafanyaje na City deep auto hao sio mnada utaangalia kwa brand pia ni vizuri kuwasiliana nao kwa namba za +2711 kwa Johannesburg namba za ofisi ndio wakupe namba za mkononi maana mitandao inachezewa ila hawachezei namba za simu za ofisi..gari unaweza ukalipia ikabebwa wabebaji wapo wengi hapo Kerk Street...wanachaji usd 1500 kuendelea inategemeana na aina ya gari...Smd wanauza gari nyingi sana ukiweza kununua mara moja ukapata uanachama unaweza kununua na kulipakia ukiwa Tanzania...
Mtu anaetaka kuliendesha toka S.A mpaka bongo, kuna changamoto yeyote? Au vitu anatakiwa awe navyo?
 
Hiyo ni kluger GX 2018

images (44).jpeg
 
No. Namaanisha mambo ya vibali au usajili wowote unaohitajika ili uweze pita hizo nchi.
Aah ok unalipia kwa agent ni road toll tuu kwa Botswana ni kama pula 500 mpaka 600 na SA kutoka agent unampa rand 500 pia ili arudishe taarifa za gari ministry of trade and export lionekane limetokea mpaka gani ingawaje watu wa Custom ndio kazi yao ila wao kufika taarifa zinachelewa kuliko Agent..Leseni unatumia hiyo hiyo kuendesha usumbuliwi upande wa Zambia wana Council levy na Toll ipo kwa 25 usd kwa gari ndogo na utamlipa Agent hela yake hapo kwa kazi hiyo basi hapo Kazungura boarder hakuna usumbufu wowote huko...ukiwa mwenyeji zaidi utapita Zimbabwe,Msumbiji kidogo kupitia Tete harafu Malawi kasumuru Mbeya mipaka yetu ipo vizuri sio wasumbufu kama unavyosikia hata ukiwa mgeni utaonyeshwa njia sahihi ila ukibeba truck ukaja Pombe habari yake utaisikia ingawaje ni biashara inayotoka haraka nadhani kuliko biashara nyingi sana...
 
SMD car sales smd.co.za hapo gari aina zote unachagua unayotaka ila hapo ni mnada sijajua ukiwasiliana nao ukiwa Tanzania wanafanyaje na City deep auto hao sio mnada utaangalia kwa brand pia ni vizuri kuwasiliana nao kwa namba za +2711 kwa Johannesburg namba za ofisi ndio wakupe namba za mkononi maana mitandao inachezewa ila hawachezei namba za simu za ofisi..gari unaweza ukalipia ikabebwa wabebaji wapo wengi hapo Kerk Street...wanachaji usd 1500 kuendelea inategemeana na aina ya gari...Smd wanauza gari nyingi sana ukiweza kununua mara moja ukapata uanachama unaweza kununua na kulipakia ukiwa Tanzania...

Shukrani sana
Nadhani nitakupa kazi one day uniletee chombo tz
 
Pia gharama ya kwenda south kwa basi ikoje ili kama vipi nasafiri kwa basi alafu tunarudi na magari
Ndege ndio gharama nafuu kusafiri na kulipia Corona Tanzania na Zambia bora upae tuu na pia muda na mambo ya kulala Zambia ili upime Corona nishasahau mambo ya bus kipindi hiki ni usumbufu mno wanaweza wanaobeba mizigo kutoka SA kwa bus..
 
Hiyo gharama uliyoweka kwa 2011 fortuner ni kubwa sana maana ya kuanzia 2017 kuja miaka ya karibuni ni kuanzia Rand 400,000 mpaka Rand 600,000 sawa na 72m kuendelea na hiyo ni 2.4 GD 6 diesel hizi auto au manual...fortuner ni moja ya gari ikiwa ya muda mrefu kidogo thamani yake huko kwenye manunuzi inashuka sana ukizunguka Johannesburg unaweza ukapata ya rand 100,000 sawa na 16m za kitanzania ikiwa ya SADC unalipa kodi tofauti na Japan itapungua zaidi...
Mkuu mtu anawezaje kununua hii gari kutoka south Afrika. Kweli kodi yake ni kidogo sana tofauti na kutoa Japan.
 
Mkuu mtu anawezaje kununua hii gari kutoka south Afrika. Kweli kodi yake ni kidogo sana tofauti na kutoa Japan.
Nashangaa hii ishu ni ya muda mrefu ila TRA wameweka password kitengo chao cha Elimu hawazungumzii hili kabisaa kuhusu unafuu wa kodi kwa Nchi wanachama wa SADC kuhusu manunuzi ntakuelekeza baadae Mkuu
 
JF magari, habari?

Heri ya mwaka mpya wakuu.

Mwaka umeanza, moja wapo ya malengo yangu ni kua na gari mpya(mpya kwangu ila wengine washaitumia)

Nafikiria kununua gari mojawapo ya hizi, VW Tuareg, VW Tiguan, Audi Q5 ama Toyota Fortuner.

Gari zote ni angalau kuanzia 2011.

Naomba maoni yenu wakuu, nivute chuma gani hapo?

Ahsante.
Toyota Fortuner Mnyama
 
Hawataki tuwe wajanja ili watukamue vizuri.
Wao wapo busy na upuuzi wa kukamatana risiti kwa vitu vya kwenye bahasha wakati bree unashusha Kontena hakuna hata anaekugusa anajua umelipa kodi na ukiuza nchi inapata mapato makubwa hapo Bongo wapo kwa ajili ya kukwamishana ndio maana bidhaa nyingi hakuna kama Nairobi ila sisi tuna bandari kubwa kuliko wenzetu sijui tumerogwa yaani Watanzania wanafata Nguo Uganda na mizigo imepita Transit kwenye Ardhi yetu....
 
Wao wapo busy na upuuzi wa kukamatana risiti kwa vitu vya kwenye bahasha wakati bree unashusha Kontena hakuna hata anaekugusa anajua umelipa kodi na ukiuza nchi inapata mapato makubwa hapo Bongo wapo kwa ajili ya kukwamishana ndio maana bidhaa nyingi hakuna kama Nairobi ila sisi tuna bandari kubwa kuliko wenzetu sijui tumerogwa yaani Watanzania wanafata Nguo Uganda na mizigo imepita Transit kwenye Ardhi yetu....
Suala la mitumba Uganda nadhani wao hawana makodi mengi kwenye mitumba ndo maana kule nguo ni bei rahisi sana.

Kutokuwa na vitu vingi vizuri tanzania ni ushamba na kukosa hela. Asilimia kubwa ya wabongo hawana kipato cha kuinfluence vitu vizuri kuja.
 
Suala la mitumba Uganda nadhani wao hawana makodi mengi kwenye mitumba ndo maana kule nguo ni bei rahisi sana.

Kutokuwa na vitu vingi vizuri tanzania ni ushamba na kukosa hela. Asilimia kubwa ya wabongo hawana kipato cha kuinfluence vitu vizuri kuja.
Hapana kutokua na vitu vingi ni lundo la kodi na pia kukomalia vitu vichache kuona tuna vitu angalia tuu hapo Nairobi bidhaa zilivyo za kutosha au Lusaka Zambia sasa Tanzania wana mfumo eti polisi sijui na TRA wanakimbizana na mifuko ya risiti ni Nchi gani huo upuuzi upo? Hao wakija Bree street wanaweza kufa maana watu wanauza jumatatu mpaka jumatatu kinachozingatiwa ni kodi ya kuingiza mzigo nayo huwezi kukwepa Tanzania bidhaa zinaingia kwa masharti kibao makodi ya kutosha kwenye kuuza muuzaji anatishiwa tena kamata kamata Nchi nzima wakati huku nimetumiwa ujumbe wa kunishukuru kulipa kodi ya mwaka jana na kama pana tatizo lolote niwaone...vitu vingi vipo madukani Tanzania hasa Tv unaiona mpya ila toleo la zamani hasa kwa haya majina makubwa...kuishi vizuri tunaona kama anasa sio watu wanatakiwa waishi vizuri kwa kutumia kipato kidogo kupata bidhaa nzuri..
 
Back
Top Bottom