mubhwe geniesama
Member
- Sep 11, 2024
- 54
- 121
Hongera sana unafuraha nayo! Dunia imejaa majambazi, wezi sugu, wenye upendo uliopoa kwasababu ya wamama kuchukia mimba na kujisemea moyoni ni ya bahati mbaya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwezi January breed ilikua tarehe 10 mwezi February breed ilikua tarehe 11 lakini February nilikutana kimwili na mwezangu tarehe 22/2/2025 jana sijaona breed Wala juzi nimepima jana mstari ni mmoja tu je Nina mimba au?
Tutashikana mikono mithili ya mapacha waliofanana, kamwe milele vibakaa wala magari hayatatishaa!Huku mjini magari kutembea tembea siyo salama sana kuna vibaka wengi pia
Kumbe ndo najua leoTutashikana mikono mithili ya mapacha waliofanana, kamwe milele vibakaa wala magari hayatatishaa!
Au hujui kuwa, wawili ni wenye nguvu kuliko mmoja?
Kumbe ndo najua leo
Dah! Haya maandiko hatari😁😁Mhubiri 4:9-11
[9]Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja;
Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.
.
[10]Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
[11]Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?
Jasiri haachi asili, huwezi kupingana na asiliSiku ikitoka unaweza jiapiza hufanyi tena ,utaenda kutoa sadaka ya shukurani ...lakini wapi wallah kunjunjana rahaa 🐒
Hahahaha kwanini Binti sayuniiiiiDah! Haya maandiko hatari😁😁
Kwanza ulipotea wapi Siku hz tag zangu huzioni 🤔 ?Mwenyeji ni Bolotoba min -me Intelligent businessman na Monetary doctor
Mie mgeni, nimetokea Tanga, kisosora!
Hahahaha kwani we na Bolotoba nani mkubwa maake alisema amevuka third floor 😂? Mimi baba mdgNatarajia kupata mtoto my dyadyaaa Mshangazi dot com
Nawaletea mjomba ... Mjiandae atakuwa anakuja likizo kwenu, nyie si ndo wababa wadogo Bolotoba Monetary doctor
Huko chini sijayaelewaHahahaha kwanini Binti sayuniiiii
Lands third floor ya supu ya pwezaHahahaha kwani we na Bolotoba nani mkubwa maake alisema amevuka third floor 😂? Mimi baba mdg
Lands third floor ya supu ya pwezaHahahaha kwani we na Bolotoba nani mkubwa maake alisema amevuka third floor 😂? Mimi baba mdg
Mkuu majukumu tu mengiKwanza ulipotea wapi Siku hz tag zangu huzioni 🤔 ?
Chini wapiii 😂Huko chini sijayaelewa
Hapo kwenye kupashana motoChini wapiii 😂
Sijakuelewa kuweni serious 😂..... Mm nipo 25+ wewe una mingap ?Lands third floor ya supu ya pweza
Sikuoni st Joseph cathedral 😂Lands third floor ya supu ya pweza
Mkuu majukumu tu mengi