Je, nyumba bado ni asset ya uhakika kuliko asset zingine zote?


Mkuu, kwani wewe umewahi kumiliki nyumba?

Naona tuanzie hapo.
 
Wasanii wetu wakiona hili bandiko hawatalikubali maana wao wanashindana kwa nyumba na magari
 
[QUOTE="wiseboy, post: So, mm binafsi huwa siamin kuchukua hela yako yote na kujenga nyumba eti asset....80milion unaweza fanya biashara kubwa na ukapata faida two times ndani ya miaka 2.
Otherwise kuwa na nyumba ya kuishi ni muhimu bt not kama ideology ilivyo kwa wabongo wengi kwamba ukiwa na nyumba ww ni tajiri..[/QUOTE]
Fikra positive..! Wewe kweli ni WISEBOY.
 

Hapo ndipo mtapochanganyana mkuu.

Nyumba ni asset yaani mali isiyohamishika.

Mahakama inatazama nyumba kama moja ya dhamana.

Benki wanatazama nyumba kama liability unapochukua mkopo ikiwa ni mali isiyohamishika.

Madalali wataitathmini nyumba dhidi ya madeni kama unayo.

Hivyo kwa mifano hii michache unaweza kusema nyumba ni moja ya mali anazoweza kuwa nazo mtu.
 
Mkuu, kwani wewe umewahi kumiliki nyumba?

Naona tuanzie hapo.
Nadhani nyumba kama nyumbatu zinaweza fika zaidi ya 20 kwenye miji 3 tanzania ikiwemo Dar, na ni mmojawapo ya watu wanao pata hasara kubwa kwa baadhi ya nyumba zangu hasa kabla ya kupata haya maarifa,

Shukran sana kwa swali lako zuri naomba uulize tena lingine kwa faida ya woote
 
Mkuu kweli ni asset lakini pasipo bima, ni kujidanganya tu.

Leo hii hakuna mabenki yaliyokuwa yanayotegemea nyumba zilizowekwa kama dhamana ya mikopo huko Bukoba na sasa hayaamini kilichotokea?
Bado ukweli utabaki pale pale ....Katika fixed assets zote nyumba inabaki kusimama kama most valuable asset.

Pamoja na natural calamities kusababisha destruction na wewe kutokuwa na bima, bado itaendelea kuwa appreciate asset.

Ni appreciate asset kwa sababu hilo eno ulilojenga nyumba kadri siku zinavyoenda na lenyewe thamani yake inapanda unless uwe umejenga kwenye disaster area mf. mtoni.

Unaweza leo ukajenga nyumba kwa Tsh.10mills kwenye kiwanja kilichokugharimu Tsh.5mills kukipata, alafu baada ya miaka 10 hicho kiwanja tu pekee ukakiuza kwa Tsh.60mills.
 
Mkuu msirukie gani ambazo hamzijui na kutaka kuchomekea definition zenu uchwara badala ya zile zilizotumika miaka nenda miaka rudi na zitaendelea kutumika kwa miaka chungu nzima ijayo.

Leo hii mwenye nyumba popote pale duniani alitaka mkopo kutoka bank na kutumia nyumba yake ambayo ni asset kama collateral bank KAMWE haiwezi kumletea longo longo zako hizi za inflation sijui na madudu mengine. Watamuevaluate uwezo wale wa kulipa na nyumba yake bank itaifanyia tathmini kama in hadhi ya kuitwa nyumba.

Wakiweza kuridhika wanampa mkopo kutokana na tathmini yao bila kujali hizo longo longo zako za inflation.

Unajua maana ya "INFLATION" ? okay toa hilo neno "mahindi 200 bags" badala yake iwe ni "MISHAHARA YAKE 100"
kwa maana ya 250k ilikuwa sawa na mishahara yake 100, na kwa sasa mishahara hiyo 100 ni 1500k ,
 

Sasa mimi similiki nyumba ishirini wala 10.

Nna nyumba tatu tu kwa sasa katika maeneo Prime.

Ila nyumba mbili kati ya hizo zimejengwa na hiyo nyumba ya kwanza na ni strategy yangu ya investment ndiyo imenifikisha hapo.

Nyumba ya kwanza niliinunua miaka ya 90s kwa about 13M na sasa ina value ya 300.

Ila nyumba hiyo imetumika kwa mikopo benki kujenga hizo mbili.

Lakini nyumba zote hizo tatu zina bima, ni za urithi kwa watoto nikifa na pia ni baadhi ya assets nilizo nazo.
 
Nachoona mimi watu wanazungumzia nyumba za ndani ndani huko ambazo aziwaingizii chochote...mimi naipangisha nyumba yangu mikocheni dollar 1200X12= kwa mwaka ni over 30M Sasa Mtu aniambie sio asset nitamshangaa ikiwa niko na Iyo nyumba toka 2000
 
Miongoni mwa assets muhimu ni makazi ya uhakika wewe na familia yako. Nyumba kukulipa sio lazima iwe in terms of direct monetary earnings. Fikiria ungelipa kiasi gani kuisitiri familia yako sio tu kwa makazi lakini na kero nyingine za kupanga.
Hivi ndivyo wafanyakazi husikika wakidanganyana maofisini baada ya akili zao kukosa mwelekeo wa uwekezaji.
 

Watu humu wanazungumzia nyumba zao za madongo poromoka huko so kazi hata kuelewana nao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera sana nakubaliana na ww 100% kumbuka thamani ya nyumba baadhi ya maeneo tena yaliyo mengi DAR zina panda sana kuliko popote TZ na tena masoko yake kwa maana kodi inapanda hivyo hivyo, kwa hiyo ninacho kiongelea kwanko huwezi amini, lakini pia ukinipa mwaka halisi ulionunua hiyo nymb yako 90s 13m na sasa unaona imepanda hadi 300 mln je jiulize tu 13m ya 1992 ni sawa kweli na 13m 2016 ? kitaalam unaweza kuta hiyo 13m sasa ni sawa na 800 mln
kwa sababu ya mfumuko wa bei
 
Vitaje
 
Kwan thamani ya nyumba ndo itakuwa ile ile? Kwan ukiuza nyumba after 10yrs bado itakuwa milioni 80? Nyumba yaweza kuwa outdated kama baadhi ya nyumba pale kariakoo, lakin thaman ya kiwanja itaendelea kuwa kubwa daima. Kubali tu kuwa assumptions zako hazikuwa sahihi. Hatupo mahakamani ambapo ukikiri unafungwa.
 
Umejaribu kufafanua ila kuna sehemu inabidi nifafanue zaidi,
Kwanza nyumba Bado ni asset
Pili nyumba sio utajiri,
Tatu kuwa na nyumba ya kuishi ni bora zaidi kwa sababu unakuwa na sehemu tulivu zaidi ya kupangia mipango yako,
Nne nyumba unaweza kusema sio asset vipi kuhusu kiwanja?
 

Ni kweli kabisa tena kama kuna jamaa yangu mmoja alikuwa na nyumba Kurasini na si unajua lile eneo ni moja ya maeneo Prime?

Amekula 900M na sasa ni tajiri.

Yule alienunua ile nyumba amevunja na ameweka uwanja wa kuegesha malori na anakula vichwa kila siku, nipigie hesabu hapo malori 20 yalale usiku mmoja, yale malori ambao inabidi yalale kabla ya safari.

Hivi mkuu unafahamu kwamba kuna watu pale Kariakoo wanakula pesa sana kwa ajili ya uwezekaji?

Yaani kuna watu wana nyumba maeneo yale na wanachofanya wanaingia ubia na watu wengine wenye fedha halafu zile nyumba zinajengwa upya kwenye kiwanja kile kile na baada ya hapo wanagawana fedha za pango?

Wanachofanya wanakubaliana wanajenga maghorofa na wanagawana zile ghorofa.

Wengine wenye bahati zao waliuza nyumba (viwanja) hapo maeneo ya Kariakoo na kuhamia huko kwingine na ile fedha imejenga nyumba hata nne?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…