Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

MAMBO ni hivi[emoji91][emoji91][emoji91]na hao viumbe uwasikie KWA jirani tu
Screenshot_20220502-152213.jpg
 
Msiwape hype sana hao watoto... Nguvu itakayotumika kuwakabili itawafanya mrudi tena hapa kulia lia na kutia huruma kwamba geshi ra polisi linatumia nguvu kubwa sana.

Mjue mnatumika tu hapa, ili kuwasafishia njia waanze kuwafyeka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ni fedheha kwa jeshi letu la polisi lililokuwa well trained kwa ulinzi wa Raia kuruhusu hizi Gangs kuendelea ku run the town
 
Jana usiku muda kama ya saa saba niko kb pub tegeta opposite na Kibo complex, sasa ile natoka nje nile fegi naona mapira mawili wazee kibao hadi wananing'nia nikshtuka sema nikakausha nikaendelea kula fegi yangu, wale wazee wakapaki mbele ya pub mmoja akashuka akaingia ndani nahisi alienda kuzima mziki ndani ya dk sifuri wale wazee walikurupuka kwenye yale magari wanapiga watu hovyo kila mtu anakimbilia anakojua tukakimbia hadi tegeta kbaoni ndio kuulizana kwani kuna nini bodaboda wakatuambia panya road wamezingua huko chini, ikabidi nibadilishe Kiwanja hadi bm pub wazohill, nimechukua bia yangu kabla haijafika nusu naona mziki unazimwa na taa pia kuuliza wakasema polisi wanapita viwanja vyote kuzima mziki wakidai kudhibiti panya road, kusema kweli polisi wamefeli kudhibiti hivyo vitoto wao wenyewe wanaviogopa.
Mkuu, hadi wewe na kitambi chote hicho ukachana mbuga! Sipati picha hiyo miguu [emoji23][emoji23]
 
Vijana wanatest mitambo baada ya mwamba kuondoka, yaani kwa takataka kama hii ilitakiwa sauti ya mwanamme inasikika kwenye redio au tv ikitamka maneno machache tu!.
Rais jana anaongea NAOMBA MAMLAKA HUSIKA MFANYIE KAZI... unaomba?? Bullshit kabisa... yuko bize na royo tua
 
Kwanini tuna Serikali, polisi, jeshi, usalama wa taifa kuwalinda Watanzania wote?

Vijana 30 wasumbue na kusimamisha kipato, kazi, maduka ya watu shughuli zao. Wote inabidi wakae nyumbani.
Kazi ya police ni kuokota maiti na sio kupambana na panya road, mnashindwa vipi kuwamaliza
 
Back
Top Bottom