Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha yule jamaa ikuwa akitoa tamko moja la kibabe simbilisi wote kimyaaaa....Vijana wanatest mitambo baada ya mwamba kuondoka, yaani kwa takataka kama hii ilitakiwa sauti ya mwanamme inasikika kwenye redio au tv ikitamka maneno machache tu!.
Naendelea kukukumbusha, hata hao pants road pia ni wanaume wa darHuwezi sikia huo upuuzi Mikoa mingine...wanaume wa Dar mmelala sana.
Jamani hawa panya roadi wanatufanya tusilale kwa amani huku Dar hawa watoto wameshindakana wanatufanya tusiwe na amani kabisaView attachment 2208577
ni ujasiri wa ajabu sana kwa kweli[emoji2]Hivi unaanzaje kwanza kumuita msafisha kucha? Unaanzaje kupatana nae? Unawezaje?
Mkuu, hadi wewe na kitambi chote hicho ukachana mbuga! Sipati picha hiyo miguu [emoji23][emoji23]Jana usiku muda kama ya saa saba niko kb pub tegeta opposite na Kibo complex, sasa ile natoka nje nile fegi naona mapira mawili wazee kibao hadi wananing'nia nikshtuka sema nikakausha nikaendelea kula fegi yangu, wale wazee wakapaki mbele ya pub mmoja akashuka akaingia ndani nahisi alienda kuzima mziki ndani ya dk sifuri wale wazee walikurupuka kwenye yale magari wanapiga watu hovyo kila mtu anakimbilia anakojua tukakimbia hadi tegeta kbaoni ndio kuulizana kwani kuna nini bodaboda wakatuambia panya road wamezingua huko chini, ikabidi nibadilishe Kiwanja hadi bm pub wazohill, nimechukua bia yangu kabla haijafika nusu naona mziki unazimwa na taa pia kuuliza wakasema polisi wanapita viwanja vyote kuzima mziki wakidai kudhibiti panya road, kusema kweli polisi wamefeli kudhibiti hivyo vitoto wao wenyewe wanaviogopa.
Mikoani watu wengi hawana vipata na hawa rudi majumbani usiku mikoani ni tofauti na dar kwa uwingi wawatu na kipatoHuwezi sikia huo upuuzi Mikoa mingine...wanaume wa Dar mmelala sana.
MSINIJARIBU .Vijana wanatest mitambo baada ya mwamba kuondoka, yaani kwa takataka kama hii ilitakiwa sauti ya mwanamme inasikika kwenye redio au tv ikitamka maneno machache tu!.
Nijuacho mama anaupiga mwingi... ukiwa legelege na watendaji wako wanakua legelege...Jamani hawa panya roadi wanatufanya tusilale kwa amani huku Dar hawa watoto wameshindakana wanatufanya tusiwe na amani kabisa.
View attachment 2208577
View attachment 2208746
Rais jana anaongea NAOMBA MAMLAKA HUSIKA MFANYIE KAZI... unaomba?? Bullshit kabisa... yuko bize na royo tuaVijana wanatest mitambo baada ya mwamba kuondoka, yaani kwa takataka kama hii ilitakiwa sauti ya mwanamme inasikika kwenye redio au tv ikitamka maneno machache tu!.
wewe ukikutana na watoto 12 wa rika la miaka 15 mpaka 19 unatoboa? ACHA KUJI MWAMBAFAI
Bujibuji Simba Nyamaume akili yako imegota. Nadhani Mama ana hekima kabisa ya kujua huu ni mtego kwake toka kwa wabaya wake. Yaani wanamsikilizia tu. Kinatakiwa ni kuongea na hao vijana.Hatari sana, tusipo waua sisi, wao watatuua
Kazi ya police ni kuokota maiti na sio kupambana na panya road, mnashindwa vipi kuwamalizaKwanini tuna Serikali, polisi, jeshi, usalama wa taifa kuwalinda Watanzania wote?
Vijana 30 wasumbue na kusimamisha kipato, kazi, maduka ya watu shughuli zao. Wote inabidi wakae nyumbani.
Hatari sana, tusipo waua sisi, wao watatuua