Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

Je, Panya Road wamewashinda? Wamerudi kwa kasi ya kutisha sana

wewe ukikutana na watoto 12 wa rika la miaka 15 mpaka 19 unatoboa? ACHA KUJI MWAMBAFAI
Sio kujimwambafai.
Tayari mmeshajua kuna tatizo. Tatizo lenyewe ni kundi la watoto. Kwanini msitokee vijana nanyi mkaunda kikundi cha kukabiliana nao!?
Au mkuu wakija home wakamtaka shem utakaa pembeni ukiangalia mke akidhuriwa kisa wana mapanga?

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Unataka kuvunja haki za binadamu wewe hebu muwaache na muwakamate msije kuvunja haki za binadamu kama serikali ya awamu ya tano
Kwani wao wanalinda haki za binadamu?
Hizo haki za binadamu tuwaachie ulimwengu wa kwanza kwani walishavuka ishu za panya road

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa yangu anaishi Makubuli anasema hawa watu wamerudi kwa kasi kubwa,ari na guvu kubwa sana. Wanaweza pora nyumba mpaka 20 kwa usiku mmoja. Ni vijana wa umri wa miaka 12-30 wanakuwa wengi wakiwa na mapanga ,visu ,magongo na bisibisi. Kiukweli wameuteka mji wa Dar es Salaam. Nadhani kwa hiki kipindi ambacho polisi wapo mapumziko tutapata shida sana. Mpaka wakimaliza likizo Polisi hali itakuwa tete. Tuuombe Mungu sana.

Serikali yetu sikivu yenye kutujali na kutupenda je bado hamjapewa hizi habari? yaani kuna watu washavamiw ana kudhuriwa zaidi ya mara tatu na wakiepeleka taarifa polisi wanawaambia "wewe siyo mtu wa kwanza kushambuliwa na hao vibaka andika maelezo tutafuatilia" inaishia hapo. imekuwa ni jambo la kawaida na polisi haw aamabo tunawalipa mshahara wanaonekana kutoshtushwa kabisa na jambo hili. tunaomba serikali kwa kweli iingilie kati suala hili kwa ajili ya usalama wa wapiga kura wake na wachangia kodi.

Jamani sisi wananchi wote tukiuliwa nchini wakabaki panya road penye yao ninyi viongozi nani atawachangia kodi ambayo ndiyo inawasaidia kuzunguka nchini kwenye helkopta kuhamasisha anuani za makazi? au kwenda kuzinduliwa huko Ulaya na Marekani? Tumsaidie Rais wetu jamani mbona kama kila kitu mmemuachia yeye tu. yeye uzinduzi , yeye kusafiri kujielezea, yeye kila kitu ninyi mnafanya nini?
Nyumba 20.Mmekaa mnasubiri wawaingilie wakate mapanga.
 
Walikuwepi kiboko msheli, wakaja komando yosso, wakaja panya road kisha changa usile. Sasa wamerudi komando yoso tena.

ila polisi watawanyoosha tu. Swala la muda.
 
Back
Top Bottom