Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Sasa tani 80 mzee hakuna winchi walizibebaje!hizo tofari jiulize hata kama hao watu wazamani walikuwa zaidi ya mwanamalundi wajipange kumi hawawezi nyanyua!Maswali ni mengi!
happ ndo maswali yalipo walitumia nini kubeba pyramid imetumia hayo matofali zaidi ya milioni 2.3 yakiwa yana uzito unao range kuazia tani 2 hadi tani 80

tani 80 ni uzito mkubwa sana ila wameyajengea na yamenyooshwa vizuri kabisa kwa vipimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…