Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Tusichoelewa ni kuwa watu wakale walikuwa werevu zaidi kuliko waliofuatia,
1.walichonga milima na kufanya makazi ( sisi tuna homeless kila nchi)

2.Mkulima alikuwa anapanda matunda na anapiga hesabu kujua siku ya kuvuna, na hakosei ( sisi majobless hadi wasomi)

N.k
Jamaa walikuwa ni noma sanaaa hasa Kwenye kupiga hesabu za Majira ya mwaka
 
hiyo
Tusichoelewa ni kuwa watu wakale walikuwa werevu zaidi kuliko waliofuatia,
1.walichonga milima na kufanya makazi ( sisi tuna homeless kila nchi)

2.Mkulima alikuwa anapanda matunda na anapiga hesabu kujua siku ya kuvuna, na hakosei ( sisi majobless hadi wasomi)

N.k
nayo ni theory yenye uzito zaidi, binadamu wa sasa ukitoa maendeleo yake ya kiteknolojia ya kugundua mawasiliano ya wireless, simu tv radio anabakiwa na nini ?

**** kila dalili kuonyesha watu wa kale walikua mbali kiasi cha sisi kutoweza kuwaelewa

1740458687346.jpg


hii ni sanamu iliyojengwa miaka ya zamani japo haikujengwa na watu wa kale sana, ila ilijengwa kabla ya. maendeleo ya kiteknolojia na ilijengwa kwa kutumia mawe miaka ya 1800's

lakini sasahivi haiwezekani
 
Walikuwa utumwani wanapigishwa kazi kama punda
ni sawa kwakua ni moja ya theory pia ila pyramid zimejengwa kwankutumia skills za engineering za hali ya juu sana ambazo hata sasa ni ngumu bado kufanya tena walichofanya

ujenzi wa piramidi unaonyesha zilijengwa na watu wenye maarifa na ulitumia ujuzi zaidi kuliko nguvu
 
hii ni kweli Dr. Zaganza
Tusichoelewa ni kuwa watu wakale walikuwa werevu zaidi kuliko waliofuatia,
1.walichonga milima na kufanya makazi ( sisi tuna homeless kila nchi)

2.Mkulima alikuwa anapanda matunda na anapiga hesabu kujua siku ya kuvuna, na hakosei ( sisi majobless hadi wasomi)

N.k

Tusichoelewa ni kuwa watu wakale walikuwa werevu zaidi kuliko waliofuatia,
1.walichonga milima na kufanya makazi ( sisi tuna homeless kila nchi)

2.Mkulima alikuwa anapanda matunda na anapiga hesabu kujua siku ya kuvuna, na hakosei ( sisi majobless hadi wasomi)

N.k
kwenye kuchonga milima inaonyesha wazi walikua na uwezo kwenye art kutuzidi lakini pia bado hatujui waliwezaje kuchoka milima na sanamu kubwa kiasi cha kushangaza na je walitumia mbinu na vifaa gani kufanya ambavyo sisi bado hatujui ? na kwanini sisi hatujui mbinu walizotumia ingawa wao waliishibkabla yetu at tecnolojiabyao ilipotea ?

1740564464426.jpg

moja ya uchongaji wao wa mawe inaonyesha wazi kua walikua na vifaa ambavyo sisi tume vi-underate,

kutokana na uelewa wa sasa kifaa gani cha kale kinaweza kukata jiwe namna hii ? inaonyesha walikua na vifaa advanced kuliko tunavyo imagine
 
Angalia series ya kitafiti ya Ancient Aliens ina majibu kwa baadhi ya maswali yako.

Soma pia kitabu cha Chariots of the Gods cha Daniken. Kitabu hiki ndicho kilifungua mjadala wa kina kuhusu maajabu haya ya kale. Kuna mengi ambayo ama hatuyajui au tumefichwa makusudi. Hata leo hii na mawinchi yetu ya kila aina bado ni shida kubwa kupandisha jiwe la tani 80 mpaka ghorofa ya 80 huko. Wao waliwezaje? Na mawe hayo yamechongwa na kukatwa kama walitumia laser au teknolojia nyingine ambayo hatuijui!
 
Angalia series ya kitafiti ya Ancient Aliens ina majibu kwa baadhi ya maswali yako.

Soma pia kitabu cha Chariots of the Gods cha Daniken. Kitabu hiki ndicho kilifungua mjadala wa kina kuhusu maajabu haya ya kale. Kuna mengi ambayo ama hatuyajui au tumefichwa makusudi. Hata leo hii na mawinchi yetu ya kila aina bado ni shida kubwa kupandisha jiwe la tani 80 mpaka ghorofa ya 80 huko. Wao waliwezaje? Na mawe hayo yamechongwa na kukatwa kama walitumia laser au teknolojia nyingine ambayo hatuijui!
[/QUOTE]
swala la alliens au gods ni theoretical sana, kwanini hatutaki kuamini ilijengwa na watu kabisa

kuishikwao miaka mingi iliyopita haimaanishi tumewashinda kilakitu,

tofauti na Egypt kuna civilization nyingi zimeacha maswali mengi hadi kujenga miji underground


imagine mjinuna chukua watu elfu 20 lakini upo underground


wa Egypt walifanya mummification na miili waliyoifanyia mummification imekua preserved hadi leo

je kila kitu tulifanyiwa na alliens ?
 
Angalia series ya kitafiti ya Ancient Aliens ina majibu kwa baadhi ya maswali yako.

Soma pia kitabu cha Chariots of the Gods cha Daniken. Kitabu hiki ndicho kilifungua mjadala wa kina kuhusu maajabu haya ya kale. Kuna mengi ambayo ama hatuyajui au tumefichwa makusudi. Hata leo hii na mawinchi yetu ya kila aina bado ni shida kubwa kupandisha jiwe la tani 80 mpaka ghorofa ya 80 huko. Wao waliwezaje? Na mawe hayo yamechongwa na kukatwa kama walitumia laser au teknolojia nyingine ambayo hatuijui!
swala la alliens au gods ni theoretical sana, kwanini hatutaki kuamini ilijengwa na watu kabisa

kuishikwao miaka mingi iliyopita haimaanishi tumewashinda kilakitu,

tofauti na Egypt kuna civilization nyingi zimeacha maswali mengi hadi kujenga miji underground


imagine mjinuna chukua watu elfu 20 lakini upo underground


wa Egypt walifanya mummification na miili waliyoifanyia mummification imekua preserved hadi leo

je kila kitu tulifanyiwa na alliens ?
[/QUOTE]
Shimba ya Buyenze
 
swala la alliens au gods ni theoretical sana, kwanini hatutaki kuamini ilijengwa na watu kabisa

kuishikwao miaka mingi iliyopita haimaanishi tumewashinda kilakitu,

tofauti na Egypt kuna civilization nyingi zimeacha maswali mengi hadi kujenga miji underground


imagine mjinuna chukua watu elfu 20 lakini upo underground


wa Egypt walifanya mummification na miili waliyoifanyia mummification imekua preserved hadi leo

je kila kitu tulifanyiwa na alliens ?
Sijaelewa hasa hoja yako kuu ni ipi. Labda ukifafanua vizuri nitaelewa 🙏🏿
 
Sijaelewa hasa hoja yako kuu ni ipi. Labda ukifafanua vizuri nitaelewa 🙏🏿
namaanisha watu wakale wamefanya mambo makubwa pia sio tu pyramid

wamefanya mummification - hii ni namna ya kuhifadhi mwili wa binadamu pale anapokifabilinuweze kudumu kwa maelfu ya miaka

mumies - miili ya wa misri iliyohifadiwa hivyo ipo hadi leo ma xarbon 14 inaonyesha hao watu waliishi hadi miaka elf5 ( maana yake walipokufa miaka elf5 iliyopita miili ilihifadhiwa na sasa tunaweza tukaiona)

je alliens walikuja kutusaidia kufanya mummification? mbona wenyewe hawajifanyia au hawafi ?


mummification, sugery, ujuzi wa mambo ya anga, uchongaji wa hali ya juu ( ambao hata saivi ni ngumu )

mambo yaliyofanyika miaka hiyo ni mengi mno yanakosa majibu namna gani waliweza kufanya ?

je alliens waliishi muda wote huo na kufanya yote ? mabaki yao yako wapi ingali historia na mabaki yaliyopo ni ya binadamu ?
 
Hao wajenzi wa hayo mapyramid walikuwa binadamu wa ajabu kabisa.
Ukisoma kitabu cha HEBREW HISTORY.....inaeleza kuwa wajukuu wa Yakobo ndio walijenga wakiwa chini ya utumwa, baada miaka mingi kupita tangu Yusufu wa Yakobo kufa/kufariki, ndipo alipokuja Farao asiyejua umuhimu wa Yusufu, akawatumikisha kwa utumwa mzito wakubeba mawe ya kujengea hayo Mapiramid
 
namaanisha watu wakale wamefanya mambo makubwa pia sio tu pyramid

wamefanya mummification - hii ni namna ya kuhifadhi mwili wa binadamu pale anapokifabilinuweze kudumu kwa maelfu ya miaka

mumies - miili ya wa misri iliyohifadiwa hivyo ipo hadi leo ma xarbon 14 inaonyesha hao watu waliishi hadi miaka elf5 ( maana yake walipokufa miaka elf5 iliyopita miili ilihifadhiwa na sasa tunaweza tukaiona)

je alliens walikuja kutusaidia kufanya mummification? mbona wenyewe hawajifanyia au hawafi ?


mummification, sugery, ujuzi wa mambo ya anga, uchongaji wa hali ya juu ( ambao hata saivi ni ngumu )

mambo yaliyofanyika miaka hiyo ni mengi mno yanakosa majibu namna gani waliweza kufanya ?

je alliens waliishi muda wote huo na kufanya yote ? mabaki yao yako wapi ingali historia na mabaki yaliyopo ni ya binadamu ?
Sawa mkuu 🙏🏿
 
Ukisoma kitabu cha HEBREW HISTORY.....inaeleza kuwa wajukuu wa Yakobo ndio walijenga wakiwa chini ya utumwa, baada miaka mingi kupita tangu Yusufu wa Yakobo kufa/kufariki, ndipo alipokuja Farao asiyejua umuhimu wa Yusufu, akawatumikisha kwa utumwa mzito wakubeba mawe ya kujengea hayo Mapiramid
hata kama ni waisraeli ndo walijenga,.. miaka 4700 iliyopita walitumiaje nguvu zao tu kutengeneza matofali 2.3M yaliyotumika tujenga pyramid moja tu ?

kama walikua wengi walitumia miaka mingapi kufanya hivyo kwa pyramid moja ?

uchongaji wa matofali na upangiliaji, design, mipangilio ya chamer sehemu za kupita na kuingiza na kutoa hewa,
kui linganisha oyramid na true north na mambo mengine

waisraeli waliyajuaje, au hatakama. walilazimisjwa na kufanyishwa na waliokua wanajua je. hao walijuaje na walitumia vifaa gani kufikia precission ya namna hiyo


maana hata ukiwa na watu milioni moja wanajenha na hawana ujuzi watafikiaje precicion ya kua na eeror ya 0.01° ?

inaonyesha ujenzi ulifanyika na watu wenye ujuzi na sio watumwa tuu wasio ma ujuzi
 
Back
Top Bottom