Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

hata kama ni waisraeli ndo walijenga,.. miaka 4700 iliyopita walitumiaje nguvu zao tu kutengeneza matofali 2.3M yaliyotumika tujenga pyramid moja tu ?

kama walikua wengi walitumia miaka mingapi kufanya hivyo kwa pyramid moja ?

uchongaji wa matofali na upangiliaji, design, mipangilio ya chamer sehemu za kupita na kuingiza na kutoa hewa,
kui linganisha oyramid na true north na mambo mengine

waisraeli waliyajuaje, au hatakama. walilazimisjwa na kufanyishwa na waliokua wanajua je. hao walijuaje na walitumia vifaa gani kufikia precission ya namna hiyo


maana hata ukiwa na watu milioni moja wanajenha na hawana ujuzi watafikiaje precicion ya kua na eeror ya 0.01° ?

inaonyesha ujenzi ulifanyika na watu wenye ujuzi na sio watumwa tuu wasio ma ujuzi
1. Kwa ujumla design ilikuwa ni ya Wamisiri wenyewe
2. Waebrania wao walikuwa watumwa/vibarua werevu tu na wenye nguvu
3. Kuhusu waliwezaje nami natamani kujifunza.
4. Kwa ujimla nimechangia nilichosoma kama wewe, kwamba waliwezaje...hilo ni swali kwangu pia
 
Ilijengwa na Ibrahim na mwanae
Pyramid zima alama na kuna watu wamezikwa mle miongoninmwao wanafahamika katika historia

pyramid kuu limetengenezwa mwaajili ya Pharaoh Khufu

hivyo hivvyo kwa pyramids nyingine

pia utakutana na chambers nyingi ambazo pia kuna watu wamezikwa na wamekua mummified wengine hawajulikani ila maandishi na vitu wlivyozikwa navyo inaonyesha walikua viongozi wa dini, matajiri etc...
 
Hivyo best theory ni kuwa yalijengwa na jamii iliyoendelea pia wanahisi yalitumika kama vituo vya kusambaza umeme wa wireless, swali linakuja ni hao wa misri waliyopo sasa hivi au wale weusi waliopo sudan inasemekana ndio waliishi huko na walikuwa watawala
Walijenga wana waisrael ndugu zake Yusuf waliokuwa utumwani misri
 
Pyramid zima alama na kuna watu wamezikwa mle miongoninmwao wanafahamika katika historia

pyramid kuu limetengenezwa mwaajili ya Pharaoh Khufu

hivyo hivvyo kwa pyramids nyingine

pia utakutana na chambers nyingi ambazo pia kuna watu wamezikwa na wamekua mummified wengine hawajulikani ila maandishi na vitu wlivyozikwa navyo inaonyesha walikua viongozi wa dini, matajiri etc...
ila pyramid of giza huenda ilikuwa power source
 
hiyo
nayo ni theory yenye uzito zaidi, binadamu wa sasa ukitoa maendeleo yake ya kiteknolojia ya kugundua mawasiliano ya wireless, simu tv radio anabakiwa na nini ?

**** kila dalili kuonyesha watu wa kale walikua mbali kiasi cha sisi kutoweza kuwaelewa

View attachment 3250901

hii ni sanamu iliyojengwa miaka ya zamani japo haikujengwa na watu wa kale sana, ila ilijengwa kabla ya. maendeleo ya kiteknolojia na ilijengwa kwa kutumia mawe miaka ya 1800's

lakini sasahivi haiwezekani
Inatufaa nini ......
 
Waisraeli ndiyo wajenzi wa pyramid na walikaa utumwani Kwa miaka 400 wakijenga!!!
Nyie ndio mnaharibu historia kwa kuingiza mambo yenu yasio na uhakika, hao waisrael una ushahidi wowote waliwai kuwepo utumwan misri? Ushahidi wa kisayansi? Kihistoria? Basi hata mabaki+DNA hamna sasa mnalipi la kuthibitisha.

Anyway hayo majengo yalijengwa maelfu ya miaka kabla hata hizo dini zenu za mchongo hazijaundwa, namaanisha, kwa mujibu wa stories za biblia inaonesha dunia imekuwepo kwa miaka si zaidi ya 7000, wakati huo matukio halisi yanaprove kuwa jamii zilishakuwepo zaidi ya maelfu na mamilioni ya miaka.

Na hili liwafikie wale wanaodai kuna aliens sijui takataka gani zilikuja kutoka space zikagawa maarifa kwa wanadamu jambo ambalo si sahihi, maana hao aliens hawapo na hata ushahidi wa uwepo wao haupo zaidi zaidi stories za kutungwa na hao wazungu wanaojaribu kuuficha ukweli kwamba, kabla ya utumwa Afrika ndio ilikuwa sehemu pekee iliyostraarabika na kuendelea kwa kila aina ya technolojia ambazo baadhi waliiba na kudai wamegundua wao, na zile walizoshindwa kuiba wanasingizia aliens, badala ya kukubali na kuuthibitisha ukuu wa akili ya mtu mweusi kabla ya anguko lake kiakili, mpaka kiroho.

Pyramids na baadhi ya technology za zamani, hazikuja kwa bahati mbaya bali zilijengwa na watu na watu wenyewe ni black ambao Leo wanadharaulika kwamba hawana mchango wowote katika dunia, kumbe siri ni kuwa bila muafrika hakuna ambalo hao watu weupe wangefanya, vitu vingi walishaiba, na kuvifanya vyao, ubaya ni pale kizazi hiki cha sasa kimekengeuka kwa kuachana na taratibu za uafrika na kukumbatia hizo njia potofu za watu weupe kama vile dini, siasa na mifumo yao yote ya kimaisha.
 
Back
Top Bottom