mWenge mwenge unafanya kaz yake mkuu 🤣🤣🤣Ujinga wetu unajidhihirisha pale umeme unapokata from saa kumi na mbili asubuhi ukirudi jioni tunapiga kelele huooooooo!!! Kama mazombi!
Watoto nao utasikiaa huoooooooo!
Mtaa wa pili huooooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mWenge mwenge unafanya kaz yake mkuu 🤣🤣🤣Ujinga wetu unajidhihirisha pale umeme unapokata from saa kumi na mbili asubuhi ukirudi jioni tunapiga kelele huooooooo!!! Kama mazombi!
Watoto nao utasikiaa huoooooooo!
Mtaa wa pili huooooo
Cha msingi ni kujiridhisha kwamba alieteuliwa baada ya ukomo wa cheo chake vipi atakua ofisin huko kama BaroziNawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Kama hajatenguliwa inamaana nchi ina DGs wawili?Nimejibu hilo swala na hakuna barua ya utenguzi(Kama unayo nionyeshe) ila kuna barua ya uteuzi so Nafikiri tusifungwe Sana na utetezi tukashindwa kujibu hoja....Unafikiri Jibu simple kama lako Nape alipoulizwa jana twitter hakuwa nalo si angejibu tu simple kwamba alitenguliwa akawa sio tena DG ila alijibu kuwa sheria ilirekebishwa...
Nchi haiendeshwi kwa mapenzi binafsi bali sheria.Rais amewekewa mitego mingi sana na watu anaowapenda mno.
Nchi haina DG wawili hilo lilikuwa ni swali kwa muhusika anionyeshe mahali alipotenguliwa ila haikuna DG wa TISS wawiliKama hajatenguliwa inamaana nchi ina DGs wawili?
Je sheria inaruhusu wawe wawili?
😀😀😀 Mkuu nimepokea marekebisho uko sahihi kabisa na nimefurahi sana Japo sio mara zote Articles inatumika kwenye Ktiba tu but mostly hutumika hivyo....
Japo kuziweka kwa pamoja ilikuwaa ni Typo
Hoja yako uliijenga kwa kutaka alieuliza swali kama hilo kuleta barua ya utenguzi. Kwa kusema iletwe barua ya utenguzi unamaanisha hajatenguliwa.Nchi haina DG wawili hilo lilikuwa ni swali kwa muhusika anionyeshe mahali alipotenguliwa ila haikuna DG wa TISS wawili
Hujui sheria weweNawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿
Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake).
Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya Wakurugenzi wa TISS kwa kipindi kifupi cha miaka mitano Ambapo mpaka sasa Wakurugenzi wapatao 3 tayari wamekwisha badilishwa, Na wengi wakahoji kuhusu Usalama wa Taarifa za kiulinzi za nchi na Kusema Huko TISS kuna siri gani Inayofanya kubadilishwa kwa Wakurugenzi mara kwa mara?.
Lakini Hilo sio swala kubwa Sana,kubwa ni kwamba Mama kwa kumteua Rt.DG kuwa Balozi, amepingana na sheria Ya usalama wa Taifa iliyopitishwa na Bunge mwaka July,2023 kifungu cha 6(6) Ambayo inatoa marufuku kwa Mkurugenzi wa TISS kuchaguliwa kushika nyadhifa yoyote ya kiutumishi katika sector yoyote ya Umma au nyadhifa yoyote ya kisiasa.
Au ilipotungwa sheria hiyo ilikuwa Tamu sehemu ya mamlaka ya TISS ila sehemu ya upande wa utawala haikuonekana?
Huwezi kukiona kwa sababu macho yako tayari yana bias na pia hujui kutafsir Sheria so sikulaumu hebu soma hiyo 7 (d) kwenye marekebisho ya (6) au pia hupaoniHoja yako uliijenga kwa kutaka alieuliza swali kama hilo kuleta barua ya utenguzi. Kwa kusema iletwe barua ya utenguzi unamaanisha hajatenguliwa.
Na nimeweka mswada wa hiyo sheria hapo juu.
Nimeangalia kifungu unachotumia kujenga hoja yako sijakiona.
Hebu pitia ili nawe ujiridhishe.
Nimekuwekea Screenshot so naomba unaweza kuchangia kukifafanuaNimeangalia kifungu anachojengea hoja alieleta hii mada lakini sijakiona. Atakaekiona atuwekee hapa wakuu
Mama ni neno lenye heshima linalodhihirisha Heshima kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke mwenye umri Mkubwa kumzidi au mpaka na hilo swala Niwaite BAKITA au nimuita Sigara akufundishe.....
Kwa mfano kwa Wazungu huitana Ma'am (Au madam) kwa kiswahili Mama...
miss ,Mr,Mrs na mengineyo hizo ni prefix za heshima nenda ujifunze boss
kingine...
Sio unakela ni Unakera...
Kifupi watu kumuita Rais Samia mama haijaanza leo akiwa Rais imeanza Tangu akiwa katika Harakat za kugombea akiwa makamu wa Urais wa Jiwe kama utarejea kumbukumbu zako vizuri Kipindi cha kampeni na sio hapo tu kama una umri mkubwa utagundua kuwa ilianza zamani tangu akiwa waziri na hata alivyokuwa katika bunge la katiba so I think kam huna heshima basi baki nayo mimi mtu yyte ambaye nampea heshima hata kama kanizidi miaka mitano mbele bila kujali Hadhi yke ya pesa awe maskini au Tajiri humpa heshima hiyo
Duh!!! Kwamba ofisi ya mwanasheria Mkuu wa serikali imelala fofofoo!
Uko sahihi kabisa mkuu Hakuna mahala nimesema najua Sheria au mimi ni nguli wa sheria ila nilichoandika nimeuliza swali kuwa je Rais amevunja sheria ....Ndo maana nikaleta kwenu Wabobezi Ma Mogul wa sheria ili mnipe muongozo kwa facts lakiniHujui sheria wewe
Si amemtengua kama DG ndio akamteua kuwa balozi, labda kama Sheria hiyo inasema hata kama akitenguliwa wadhifa huo.
Once ukishakuwa spy master you will alwayz be spy master ni kama CDF tu huwez kuniambia eti kwakuwa CDF ametenguliwa bhasi hana nguvu kijeshi hiyo sahau....
Ndo walivyokudanganja Hivyo kuwa General wa kijeshi huwa anabaki anarudi kuwa raia wa kawaida baada ya kustaafu 😀😀😀😀CDF akishastaafu nguvu zake na mamlaka kijeshi zinaishia hapo.
Anabaki na Uzalendo, ushawishi, uzoefu na ujuzi wa mambo muhimu ya roho ya nchi. Na mtumishi mtiifu kwa nchi yake sio mtu.
Hahaa, mkuu naona umekasirika sana, duh!Nafikiri ndiye Rais anayeongoza watu wajinga zaidi Duniani kwa sasa
Inauma lakini hatuna namna. Ukweli mchungu.Rais wa Tanzania yupo juu ya sheria. Hata akiamua leo kijazi intechange ibomolewe inabomolewa tu.
Nafikiri ndiye Rais anayeongoza watu wajinga zaidi Duniani kwa sasa.