Kwani wewe ulishiriki vipi katika hiyo mipango na taarifa ulizonazo ni zipi,na inaonyesha kama una uzalendo ndani yako,kwanini usipeleke taarifa ulizonazo mahalo husika.Ukisikiliza hotuba zake JPM kwa umakini sana, utagundua jinsi alivyokuwa anaiona hatari ya Kuuliwa. Hata mimi kwa uelewa wangu mdogo wa security nilikuwa nishaanza kunusa hiyo hatari ya kifo chake...
Acha kuwaza ujinga wewe jiwe kaondolewa na covid19 aliyokuwa akiita mafuaUkisikiliza hotuba zake JPM kwa umakini sana, utagundua jinsi alivyokuwa anaiona hatari ya Kuuliwa. Hata mimi kwa uelewa wangu mdogo wa security nilikuwa nishaanza kunusa hiyo hatari ya kifo chake..
Sasa hapo watu wa usalama wanalaumiwa kitu gani?Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator...
Hiyo ID yako tuMaswali lazima yawepo hasa pale panapotokea ombwe!
Katika utabibu mojawapo za haki ya mgonjwa ni pamoja na hiyari ya kupata Tiba.TISS wanamlinda vipi dhidi ya ugonjwa ambao yeye mwenyewe anasema haupo tumepiga maombi umeisha?
Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote, unaweza kumshauri lakini hauwezi kulazimisha.
Wataomdoka wao wanao ibeza korona maana na korona inakuwa kama inatumia mizimu kuwajua watu wanao idharau na kuibeza ndiyo inapita naoKama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi.
Kukamatwa siyo issue mbona wewe ulikamatwa na ukasoteshwa jera kwa utapeli?hata mimi nina wasi wasi Lisu kahusika, alijuaje rais anaumwa? akamatwe mara moja
Hahaaaa unamjua huyo vizuri??Kukamatwa siyo issue mbona wewe ulikamatwa na ukasoteshwa jera kwa utapeli?
Yaani hatuwezim kushangaa. Sasa wanataka kurudi kwa nguvu kuchukua raslimali zetu. Hatutakubali!Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator..
Na ni yeye ndiye aliyemuu kwa kushirikiana na mafisadi. Ila mjue Magufuli u=yu hai ndani ya mamilioni ya Watanzania!Ramli tu. Kwamba ni Lissu sasa kamuua Magu? Conspirancy hamuachi hata mlipotaka kumuua Lissu mara ya kwanza. Endeleeni mtufikishe kama taifa mnapopataka.
Kwa nini amuue?Na ni yeye ndiye aliyemuu kwa kushirikiana na mafisadi. Ila mjue Magufuli u=yu hai ndani ya mamilioni ya Watanzania!
Kwa hiyo mkuu, Sheria Za Musa ndizo zinatumika nchi hii??Na ni yeye ndiye aliyemuu kwa kushirikiana na mafisadi. Ila mjue Magufuli u=yu hai ndani ya mamilioni ya Watanzania!
Mkuu,Mimi naiangalia kwa namna nyingine.
Hii pacemaker ina life span na muda wake ukifika inatakiwa kubadilishwa. Je inawezekana madaktari wake walijisahau kuhusu muda wa kuibadilisha?
| Information Programmed on Pacemaker/Defibrillator | Yes | No | Depends on Hospitals |
| Client's Name | |||
| Name of Hospital | |||
| Name of Doctor | |||
| Serial Number of Pacemaker/Defibrillator | |||
| Date of Hospital Visit | |||
| Client ID | |||
| Dr. Phone Number | |||
| Software Version | |||
| Battery Life | |||
| Telemetry Status | |||
| Last Dr. Appointment | |||
| Heart Beat History | |||
| Episodes | |||
| Pacemaker Model | |||
| Age | |||
| SSN | |||
| Birth Date | |||
| Implanted Date | |||
| Notes-Could Be Anything |
Mamlaka za kiuchunguzi zianze na weweMagu kauliwa.. Na ili watu wasijue mama kawaweka watu wa Magu serikali ila Mwendazake kauliwa
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.
Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.
Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers
Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.
Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.
Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.
Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator. Bear in mind, Rais Magufuli amekuwa na hii pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. Why now?
Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.
Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.
Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.
Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).
Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?
Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.
Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.
Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!
Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!
Mission accomplished, the rest is history!
NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotak
After Kijazi and Maalim Death na kuumwa wa Dr.Mpango...tungefuata WHO protocal Late President and mawaziri wake walipaswa kuwa quarantine for 14 days na familia zao...mtiririko wapo nimeupenda unaonesha vema incubation period ya changamoto ya upumuaji....A TIMELINE & COUNTDOWN TO A SAD MARCH 17
FEBRUARY 2021
1 MON ---
2 TUE ---
3 WED ---
4 THU ---
5 FRI ---
6 SAT ---
7 SUN ---
8 MON ---
9 TUE ---
10 WED ---
11 THU --- Morogoro Market Officially Opened by JPM
12 FRI --- JPM Opens Hide Factory in Morogoro
13 SAT ---
14 SUN ---
15 MON ---
16 TUE ---
17 WED --- Death of Amb. Kijazi & VP Maalim Seif
18 THU ---
19 FRI --- JPM on Kijazi's Funeral at Karimjee DSM
20 SAT ---
21 SUN --- JPM Last Day in Church
22 MON ---
23 TUE ---
24 WED --- JPM at Kijazi Interchange & Magufuli International Bus Terminal Mbezi Louis
25 THU --- Kisutu Market Opened by JPM
26 FRI --- JPM at Kurasini: His Last Public Speech
27 SAT --- Dr. Bashiru Takes Oath of Office in Place of Late Amb. Kijazi. JPM's Last Public Appearance
28 SUN --- JPM Unusually Misses Church Service
MARCH 2021
1 MON ---
2 TUE ---
3 WED ---
4 THU ---
5 FRI ---
6 SAT --- Speculations Regarding JPM's Sickness Ensue
7 SUN --- JPM Misses Church for the 2ND TIME
8 MON ---
9 TUE ---
10 WED --- Speculations Rise that He Had Been Flown to Kenya for Treatment; Social Media Circulate Tarp-Covered Military Vehicles & Military Band
11 THU --- Speculations that He Had Been Flown to India
12 FRI --- PM in Njombe Says JPM is Well & Active in His Official Work as Usual
13 SAT ---
14 SUN --- JPM Misses Church for the 3RD TIME
15 MON --- VP Samia in Tanga
16 TUE ---
17 WED --- Official Devastating Announcement by the then VP Ms Samia