Je, Rais Samia kutoa kauli ya "Mwanaume ni yule anayejiamini" ni kijembe Kwa Hayati Magufuli?

Je, Rais Samia kutoa kauli ya "Mwanaume ni yule anayejiamini" ni kijembe Kwa Hayati Magufuli?

hahahahahaba ni Jf tuu ndio unaweza kukuta mada kama hii! Yani uwambie watu unakuja kuwaadithia adithi ya “Magufuli ajiamini” lazima wakucheke hata Samia mwenyewe anajua hilo bila kumsahau Mbowe…wote waliufyata mtu pekee ambaye alikuwa anakwenda sambamba na Magufuli ni Lissu pekee wengine wote ni kuufyata kama mbuzi😂😂😂😂
 
Mareem alikuwa hajiamini katika kushindanisha hoja ndomana hakutaka hata ushauri toka kwa wenye maarifa bali alitumia mabavu mengi na akili kidogo! Hakujiamini maskini, aliamini kwenye kutumia cheo alichobahatisha
 
Kama ni hivyo basi na yeye ni mwoga..kwanini arushe vijembe kwa mtu aliyekufa?? Mleta mada ACHA ramli za uchonganishi
 
Hebu jaribuni kumwacha huyu mtu apuumzike basi na yeye anafamilia huku alikoacha! si busara kumuhusisha Rais na Magufuli kwa wakati huu.
Hebu tuishi leo tunaweza kusonga mbele kuliko kuwainulia hasira na visasi kila kukicha vya hawa Watanganyika ambao kila kukicha wanaporwa kila kitu chao zikiwemo ajira na raslimali walizojaliwa na MWENYEZI MUNGU na madalali wanasimamia ni kati ya watu tuliowaamini na kuwapa madaraka
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Mkuu masuala mengine yapotee! Ikiwa kila suala (hoja) unataka tukutane hapa tulijadili hata lile dogo kama hili "haipendezi". Lete HOJA mzito tuzijadili kwa faida ya Nchi.
Lema aliondoka Nchini kutokana na mazingira yaliyokuwepo wakati huo akaona inamlazimu kuusalimisha uhai wake. Bwana Mbowe, Mwenyekiti wa CHADEMA, inawezekana na yeye alibanwa vilivyo lakini ndio Kiongozi Mkuu wa chama kinacho lengwa ili kisiwepo katika ardhi ya TZ; ana kiachaje na yeye ndie Jemedari Mkuu. Mwengine ni wewe na mimi wenye majina butu humu JF tunachangia hoja kwa kificho, haya kuna walionunuliwa na kupewa vyeo na wengine hawa wa "19 members" Haya wewe kwa mtazamo wako nani "MWANAUME ANAYEJIAMINI"
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Kwani magufuli ndo alihamia huko kanada
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Mwanaume aliyeogopa mikutano ya siasa ni mwanaume wa ajabu sana.
 
Then akavuna Tril 199
😅😅
Mwamba aliyesimama kidete dhidi ya makampuni ya madini yaliyokuwa yakituibia mchana kweupe utasema alikuwa hajiamini?
Mabeberu waliposema tujifungie wakati wa covid19 mwamba akagoma; hivi unataka kujiamini gani kuzidi hapo? Wewe unaweza kuwagomea mabeberu kweli?
 
Linapokuja swala la kulinda madaraka hakuna anayejiamini.

Hata yeye alimpa za uso Ndugai ,pole pole, lukuvi na prof. Kabudi.

Kalemani nae akala buyu.

Wote hao ni woga tu.

Sisi wenyewe hapa tunaandika tu lakini tunasali yasije tukuta siku moja.
Ila jpm woga ulizidi kiwango. Akajikuta anataka vyombo vyote vimsaidie
 
hiyo haina mantiki yoyote kuhusu jpm mtoa mada umeipachika kwa nguvu tu ili usikie watu wasio kuwa na akili wakimchambua jpm, mh samia alikuwa anamaanisha lema kuwa anajiamini alipoambiwa arudi asiwe na hofu akarudi sio
lissu
 
Lakini Kuna tofauti kubwa kati ya kuisigina Katiba, alikokuwa anafanya Mwendazake na anakofanya Rais Samia.

Hayati Magufuli aliisigina Katiba, Kwa kulielekeza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi wa vyama vya upinzani nchini na Rais Samia, anachofanya ni kurekebisha makosa ya mtangulizi wake Kwa kuwaondolea kesi zote walizokuwa, wamebambikiziwa nazo
Kufuru aliyofanya jpm itabaki kwenye historia
 
Mwamba aliyesimama kidete dhidi ya makampuni ya madini yaliyokuwa yakituibia mchana kweupe utasema alikuwa hajiamini?
Mabeberu waliposema tujifungie wakati wa covid19 mwamba akagoma; hivi unataka kujiamini gani kuzidi hapo? Wewe unaweza kuwagomea mabeberu kweli?
Ukiacha tu kujiamini alikuwa na msimamo kitu ambacho wengi hawana
 
Kuwa makini na maneno yako nisijelazimika kufungulia mchwa na nguchiro!
 
Watu wasiojiamini ni wale wanaotoa maamuzi halafu wanasikilizia maamuzi yao yatapokelewaje, lakini jiwe alikuwa anaota uamuzi anaouamini na alikuwa anausimamia.
View attachment 2546640

Jiwe hakubahatika, kwani alikuwa ni msomi mwenye nafasi zake: B.Sc, M.Sc, Ph.D. Digrii zake hazikuwa za mgawo bali ni zile zinazotambulika duniani kote; angeweza kwenda kufanya kazi sehemu yoyote duniani bila shaka yoyote. Kabla ya kugombea urais alikuwa waziri kwa zaidi ya miaka 20. Hiyo siyo bahati kwani aligombea dhidi ya wengine na tayari alikuwa anajulikana ni mtu wa namna gani. Wenye bahati ni wale ambao wanapata madaraka from nowehere bila kutegemea wakiwa hata hawajulikani.
Mkuu wewe nikisoma mada zako ambazo hazina mlengo wa kisiasa huwa uko vizuri sana na wajua mambo mengi, lakini unapomzungumzia jiwe yani nikama wajizima data. Hivi unajua kweli ujinga aliofanya kwenye nchi hii??
 
Back
Top Bottom