Je, Rais Samia kutoa kauli ya "Mwanaume ni yule anayejiamini" ni kijembe Kwa Hayati Magufuli?

Je, Rais Samia kutoa kauli ya "Mwanaume ni yule anayejiamini" ni kijembe Kwa Hayati Magufuli?

Mkuu wewe nikisoma mada zako ambazo hazina mlengo wa kisiasa huwa uko vizuri sana na wajua mambo mengi, lakini unapomzungumzia jiwe yani nikama wajizima data. Hivi unajua kweli ujinga aliofanya kwenye nchi hii??
Hakufanya ujinga, nadhani wewe ndiye unayesoma mada zangu kwa mlengo wa kisiasa zaidi kuliko kuangalia ukweli wake. Watu wengi waliowahi kuishi nje ya Tanzania wanaojua jinsi serikali za wenzetu zinavyoendesha mambo yao ambazo ndizo baadaye huwa zinatupatia "misaada" wanakubaliana nami kuwa jiwe alikuwa anayoosha nchi. Lazima serikali iwe principled, siyo mambo ya kufurahisha vikundi vya watu bila kuwa na mwelekeo wowote.
 
Lakini Kuna tofauti kubwa kati ya kuisigina Katiba, alikokuwa anafanya Mwendazake na anakofanya Rais Samia.

Hayati Magufuli aliisigina Katiba, Kwa kulielekeza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi wa vyama vya upinzani nchini na Rais Samia, anachofanya ni kurekebisha makosa ya mtangulizi wake Kwa kuwaondolea kesi zote walizokuwa, wamebambikiziwa nazo
Shukrani sana Mkuu.
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Ni fumbo kwa mtangulizi wake... maana yake ni kuwa yy anajiamini ndo maana karuhusu mikutano ya kisiasa ...kama asingekuwa anajiamini bc mikutano ingeendelea kupigwa pin

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Hakufanya ujinga, nadhani wewe ndiye unayesoma mada zangu kwa mlengo wa kisiasa zaidi kuliko kuangalia ukweli wake. Watu wengi waliowahi kuishi nje ya Tanzania wanaojua jinsi serikali za wenzetu zinavyoendesha mambo yao ambazo ndizo baadaye huwa zinatupatia "misaada" wanakubaliana nami kuwa jiwe alikuwa anayoosha nchi. Lazima serikali iwe principled, siyo mambo ya kufurahisha vikundi vya watu bila kuwa na mwelekeo wowote.
Mkuu hata mimi nimeshakaa nchi zaidi ya saba japo sijatoka nje ya hili bara letu, lakini kunyoosha watu kwa kuwaua siyo sahihi. Ndiyo maana mpaka Watanzania wakamwombea kifo na akafa kweli. Yes nchi kuwa principled kwa hili uko sahihi kabisa lakini isiwe kwa kuiba pesa za watu ama kuwaua raia
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Yeye sio mwanaume kwa kauli hiyo kauli ni mfu kama aliitamka kumsafisha ila aliyemtangulia ndiye alikuwa mwanaume ndio maana anakiri kwa kuzunguka mbuyu " mwanaume ni yule anayejiamini" akifikiri na yeye ni mwanaume kumbe........................siasa mazingaombwe ya hadaa
 
Mkuu hata mimi nimeshakaa nchi zaidi ya saba japo sijatoka nje ya hili bara letu, lakini kunyoosha watu kwa kuwaua siyo sahihi. Ndiyo maana mpaka Watanzania wakamwombea kifo na akafa kweli. Yes nchi kuwa principled kwa hili uko sahihi kabisa lakini isiwe kwa kuiba pesa za watu ama kuwaua raia
Hakuna aliyewahi kutoa ushidi kuwa Magufuli aliuwa watu ili awachukue mali zao. Ni kwamba alibana watu wasitumie njia za mkato mkato kinyume cha sheria au kukwepa kodi. Hiyo ndiyo sababu ya watu waliozowea njia za mkatomkato kumchukia. Mwaka jana nimetumia muda mrefu sana Tabora, Mwanza na Dar sikuona kama watu wengi walikuwa wanamchukia kama inavyoandikwa hapa. In fact watu wengi sana walikuwa wanasikitioka kumkosa..
 
Rais Samia ametoa kauli yenye utata mkubwa, wakati wa ziara yake huko Usa River, Arusha, hapo majuzi.

Wakati akitoka kwenye semina elekezi ya viongozi waandamizi huko Arusha, alitoa kauli hii wakati anazungumzia ujio wa Godbless Lema, hapa nchini, kuwa "Mwanaume ni yule anayejiamini" na akaendelea keleza kuwa mwanasiasa huyo wa Chama Cha upinzani Cha Chadema, alimwomba kurudi nchini, lakini akaeleza wasiwasi wake kuwa anaogopa kurudi nchini, kutokana na kuhofia usalama wake, pia aliomba afutiwe kesi nyingi alizo ambazo amebambikiwa na Jeshi la Polisi nchini.

Ndipo Rais Samia, alimuhakikishia mwanasiasa huyo wa upinzani, kuwa aondoe wasiwasi na akamuhakikishia usalama wake na kumweleza kuwa anaweza kurudi nchini na kesi zote zilizoko mahalamani atazifuta.

Akeleza zaidi kuwa baada ya kurudi Mwanasiasa huyo wa upinzani, hakuna baya lolote lililomkuta.

Ndipo akatumbukiza kibwagizo hicho Cha "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Ndipo hapo ninapojiuliza, je hiyo kauli ni kijembe kwa Mwendazake?

Kwa kuwa ni katika utawala wake, Hayati Magufuli, ndipo wanasiasa wengi wa vyama vya upinzani, waliomba ukimbizi, nje ya nchi hii, wakiwemo, nikiwataja wachache, Tundu Lissu na Ezekia Wenje.

Kwa kuwa huyo mwanasiasa Lema, aliikimbia nchini mwaka 2020, wakati wa utawala wa Rais wa awamu ya 5, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye aliiendesha nchi kibabe Sana, bila kufuata Katiba ya nchi na ndiye aliyepiga marufuku mikutano yote ya vyama vya kisiasa ya vyama vya upinzani nchini.,na alikwenda mbele zaidi, Kwa kuliagiza Jeshi la Polisi, liwabambikie kesi viongozi hao wa upinzani, pale alipojisikia!

Ndipo hapo nimewaza Sana kuhusu kauli hiyo ya "Mwanaume ni yule anayejiamini"

Je alimlenga nani, kama siyo, Hayati Magufuli?

Kwa kuwa ndiye aliyekuwa akiyafanya hayo maovu yote, Kwa kutojiamini kwenye siasa.
Wacha porojo zako na kumhusisha Mhe. Rais. Jadilini story zenu kwa kufikiri kabla ya kuandika. Mhe. Rais anawezaje kumpiga kijembe Hayati? Kutwa ni porojo tu mara hivi mara vilee. Why hukufikiria labda asiyejiamini ni mwanasiasa aliyekimbia nchini kwa woga wa madeni? 🙏🙏🙏🙏
 
Hawezi kupiga marehem vijembe labda useme machawa ndio mmepigwa nyundo
 
Back
Top Bottom