Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

Je, RITA wameshaanza kuhakiki vyeti vya kuzaliwa kwa wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?

Ukishalipia kuna sehemu itatokea chini Baada ya waiting for payment list ambayo ni paid applicants Yaan data zilizokuepo kwenye waiting for payment list zitahamia chini Baada ya kulipa hiyo hela yao..hapo utaweza ku view status yako hapo kwenye paid applicant
 
Ukishalipia kuna sehemu itatokea chini Baada ya waiting for payment list ambayo ni paid applicants Yaan data zilizokuepo kwenye waiting for payment list zitahamia chini Baada ya kulipa hiyo hela yao..hapo utaweza ku view status yako hapo kwenye paid applicant
Mimi nimeshamaliza hizo stage zote changamoto sijui naki download wapi baada ya kuwa kimeshakuwa certified siku ya tano leo naona kimya tu
 
Narudia tena changamka kaka .. na ukumbuke inachukua siku kumi kujibiwa .........

duh kweli kasheshe nikazani ni kwa siku tatu imezid sana wiki kama ilivyokuwa mwanzo kumbe 10days kbs inabd niwe mpole
Hivi mwisho una download kupitia wapi maana siku ya tano leo sioni chochote
 
Wakuu,kwa wenye uzoefu mana nimehakiki cheti changu tokea j4 iliyopita lakini hadi Leo hakuna majibu yoyote,tatzo ni mini hadi inachukua muda mrefu hivi?
 
Wakuu,kwa wenye uzoefu mana nimehakiki cheti changu tokea j4 iliyopita lakini hadi Leo hakuna majibu yoyote,tatzo ni mini hadi inachukua muda mrefu hivi?
 
Hivi mwisho una download kupitia wapi maana siku ya tano leo sioni chochote
Ukiingia kwenye Rita login,utaingiza username yako na password kama kimeshahakikiwa,utaona sehem imeandikwa [SUB]view attachment [/SUB] hapo hapo ukibonyeza kitajidownload
 
Wale wote wanaotaka kuomba mkopo (HESLB) Na wanaotaka kuomba vyuo mbali mbali.
- Nipo kuwasaidia wale wote wenye uhitaji wa ku apply mkopo na chuo. Au kuwaongoza hatua baada ya hatua jinsi ya ku apply.
- Vyote hivyo kuanzia mwanzo mpaka kukamilika nakufanyia kwa bei poa ya elfu tano tu (5,000/= tu)
- Huku nikikupatia na username pamoja na password zako kujihakikishia nilichofany na kuangalia account yko pale itakapohitajika.
- Huduma hii ni kwa wote/popote ulipo ndani ya Tanzania hii. Kila kitu kitaenda sawa. Maan nimepata maswali mengi kwa walio mikoani.
- Nitafute whatsapp au sms za kawaida kupitia namba hizi 0734131743.
- Vitu vyote vinavyohitajika wakati wa uombaji mkopo na chuo nitakueleza ukinitafuta kupitia namba izo apo.
NYOTE MNAKARIBISHWA
hivi walio maliza form 6 mwaka huu inakuaje kwenye maombi ya mkopo cheti cha form 6 kitahitajika? maana vinakua bado havija toka
 
Nimefikia hapa wakuu pdf file ya cheti changu nafanyaje ili niweze kuinsert hapo??
Screenshot_20200730-161056.jpg
 
ndio nimeanza kuomba mkopo nimejaza email na namba za simu lakini nikibonyeza get control number hamna jibu tatizo ni nini?
 
ndio nimeanza kuomba mkopo nimejaza email na namba za simu lakini nikibonyeza get control number hamna jibu tatizo ni nini?
Mkuu, hv ile copi ya cheti cjs 4M4 au diploma kiupload au uweka namba ya mtihani tu..?
 
Jamani msaada,hivi unapoweka email yako inayotumia na pass word yake inaleta wrong username or password ktk uhakiki birth certificate-RITA JE WAPI NAKOSEA NAOMBA MSAADA WENU?tunafanyeje ili kufungua account ya uhakiki kama una email tayari?
IMG_20200801_142910_6.jpg


phat_07
 
Hivi kuna mtu amaeshapata majibu ya uhakiki mm siku ya 12 leo naona kimya sioni popote pakupata hicho cheti
 
Sie tumetuma tar 23 bado mpaka Leo majibu.Tufanyeje?
 
Back
Top Bottom