KISUNZU YP
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 114
- 37
Ukirejeshewa Ukakidownload unakitumia wapi na wakati gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hili tatizo la kulog in RITA unalisolve vipi, mi inanigomea kulogin.Wakuu,kwa wenye uzoefu mana nimehakiki cheti changu tokea j4 iliyopita lakini hadi Leo hakuna majibu yoyote,tatzo ni mini hadi inachukua muda mrefu hivi?
Leo wamefanikiwa kunitumia. Kuna hii inshu nyingne hivi hapa kwa kamishina wa viapo si naenda kwa wakili tu inatosha kwenye fomu ya bodi ya mikopoMbona wanarejesha mkuu..?
Mimi imechukua siku 12Mliofanikiwa kupata mrejesho imechukua siku ngapi?, mdogo wangu ametuma maombi RITA wiki ya pili sasa bado hakuna feedback yoyote
siku 7 hadi 8Mliofanikiwa kupata mrejesho imechukua siku ngapi?, mdogo wangu ametuma maombi RITA wiki ya pili sasa bado hakuna feedback yoyote
ndio mkuuHivi ni lazima uhakiki ndo uombe mkopo?? au kama umesajili cheti kipya muda huu inakua haina haja ya kuhakiki tena?? anaefahamu anijuze
kinahitajika cheti cha form four,form six ikiitajikihivi walio maliza form 6 mwaka huu inakuaje kwenye maombi ya mkopo cheti cha form 6 kitahitajika? maana vinakua bado havija toka
ndio lazima kuhakikiHivi Kuna ulazima wa kuhakiki cheti ? Maana majina yangu yote yapo sawa
ndio mkuuVipi kuhusu mtoto aliyefiwa baba yake.. Unatakiwa kutuma vyeti vyote viwili yaani cha huyo mtoto cha kuzaliwa pamoja na cheti cha kifo cha baba yake au unatuma tuu cha kuzaliwa.
kinakuwa na mhuriUkisha verify unajuaje Kama kimekua verified?
ndio mkuuLeo wamefanikiwa kunitumia. Kuna hii inshu nyingne hivi hapa kwa kamishina wa viapo si naenda kwa wakili tu inatosha kwenye fomu ya bodi ya mikopo
Upo mwaka wa ngapiKaribuni [emoji310] wadau, boom na loans kwa sanaah tyuuuh, vimbweta na madesa.
Sijaelewa jibu lako mkuu nipe mchanganuo..Nimeuliza zaidi ya swali moja na yote yanaweza kujibiwa kwa jibu la ndiondio mkuu