Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
nilazima uhakiki ,unapohakiki hicho cheti unapata mhuri ,huo mhuri unakusaidi kuendelea na process zengine za kuomba mkopoSijaelewa jibu lako mkuu nipe mchanganuo..Nimeuliza zaidi ya swali moja na yote yanaweza kujibiwa kwa jibu la ndio