Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Hapo mwisho kabla ya To be continued pananifikirisha
 
Mbona Benificial alisharudi kitambo, na aliporudi aka-perform 'Cheka Tu' akielezea aliyoyaona USA...
 
Kwaiyo, Wewe Unakataa hawezi Kushitakiwa ICC? Tupe sababu zako

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwq hata kuargue maana aliyeleta habari amebaka tasnia. Mimi nilidhani angeiondoa, tofaauti na hapo atafuye mtu amuandikie halafu ndio great thinkers tutilike. Hakuna alichoanzika cha kufanya ni argue zaidi ya ramri tu!
 
Mbona Benificial alisharudi kitambo, na aliporudi aka-perform 'Cheka Tu' akielezea aliyoyaona USA...
Labda karudi Tena maana naonaga anatupia toka huko .
Siku hizi unaandika wapi hadithi zako?
Nilikua nazisomaga kwenye Thisday
 
Marekani sio mwanachama wa ICC na hajihusishi kabisa nayo.
 
Mnapata wapi ujasiri wa kujadili mambo magumu wakati leo TEAM YA WANANCHI iko uwanjan kutoa ladha kwa watz
 
Wamchukue na Mo Dewji akawe shahid wa kesi za kutekana.
 
Uzi umekaa kama swali ili kutoa mwanya mkubwa wa member kuujadili, kwa hiyo kama lipo unalolijua unaweza kujadili bila kumshambulia mleta mada kama huna kaa kimya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimehitimisha kuwa wewe ni mjinga na una personal hatred na Mshana Jr. Umeambiwa Mara chungu nzima toa wewe ufafanuzi maana hoja ya Mshana iko kwenye msingi endelevu tujadili uwezekano huo, badala yake unakomaa na upuuzi wako kuwa yeye ni mjuaji.
Usianzishe ligi usizoziweza wewe kijana, acha tupeane maujuzi na kama mleta mada kuna mahali hakuelewa ataelewa, ebo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…