Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.
Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk
Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.
Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.
Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?
Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.
Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?
Jr[emoji3481]
Mshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
Aliyeleta huo uharo ndo aseme kilichomfanya atoe hayo maelezo ili sisi great thinkers tumuone kweli anajua kuhusu hicho alichoandika. Kama hajui akiri hapa kwamba amedandia treni kwa mbele tuokoe jahazi hapa, tumuondolee hii aibu!Hili ndo jibu la Jinsi ICC ina-operate????
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.
Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk
Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.
Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.
Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?
Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.
Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?
Jr™️
Naona umetia timu, bado Wanaserengeti watatu sijawaona hapa. Salary Slip, The Missle of the Nation na Return of Undertaker.Nimehitimisha kuwa wewe ni mjinga na una personal hatred na Mshana Jr. Umeambiwa Mara chungu nzima toa wewe ufafanuzi maana hoja ya Mshana iko kwenye msingi endelevu tujadili uwezekano huo, badala yake unakomaa na upuuzi wako kuwa yeye ni mjuaji.
Usianzishe ligi usizoziweza wewe kijana, acha tupeane maujuzi na kama mleta mada kuna mahali hakuelewa ataelewa, ebo!
Hakuna mwenye hadhi yako hapo! Wewe umeingilia mada kuivuruga ona sasa badala ya alichokileta mtoa mada kujadiliwa watu wanakujadili upumbavu wako.Naona umetia timu, bado Wanaserengeti watatu sijawaona hapa. Salary Slip, The Missle of the Nation na Return of Undertaker.
Huyu mtu akiri kwanza kwamba hajui chochote kuhusu mambo haya na alichokiandika ni upupu wa kiwango Cha SGR, halafu nitawaelekeza na niwaonyesha alivo POPOMA katika uwanja huu wa mambo ya INTERNATIONAL CRIMINAL LAW.
Doh [emoji1787] kwamba dogo anampaka mavi dingi ila dingi kakomaa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni baba yangu asiyeshindwa kamwe.View attachment 1350751
Hakuna mwenye hadhi yako hapo! Wewe umeingilia mada kuivuruga ona sasa badala ya alichokileta mtoa mada kujadiliwa watu wanakujadili upumbavu wako.
Kama umeona Mshana hajui sema ujuacho kaa pembeni watu wakijadili sio unarudia rudia ujinga
Acha mboyoyo mingi we dogo wa llb sio chareges ni charges. Afu kama kweli unaielewa ICC tupe modus operandi yake wewe unayeijua kuliko mshana!Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!
Mleta maada alipaswa adadavue, ndio maana nikwakwambia ni Ngumbalu wa hizi mambo by just looking on what he just wrote!
Wamesema wana credible information.. Hivyo wakitakiwa kutoa ushahidi hawatasita
Jr[emoji769]
MmmhMshana Jr,
Mnavyoishobokea ICC, wakati inaonyesha wazi hamjui chochote kuhusu Mahakama hii and how it oparate. Kwa ulichoandika ni wazi we ni Mbumbumbu wa ICC! Hujui chochote!
Asante counsel, ndo atajua hajui ***** zake huyu dogo. Ndo kwanzaa anasoma jurisprudence 3rd year anataka kutuvimbia humu!It seems wewe ndiyo mbumbumbu mkuu. soma Rome statute especially Article 7 ambayo imetaja makosa 11 ambayo yakitokea Mahakama ya ICC ina mamlaka ya kusilikiliza kesi kutokana na makosa hayo.
Kosa mojawapo ni "Enforced disappearance of persons" means the arrest, detention or abduction of persons by, or with the authorization, support or acquiescence of, a State or a political organization, followed by a refusal to acknowledge that deprivation of freedom or to give information on the fate or whereabouts of those persons, with the intention of removing them from the protection of the law for a prolonged period of time.
Hapana. Lambda kuwa shahidi wa marekani mbele ya viongozi wa dunia. Marekani sio mwanachama wa ICC na kesi zake hapeleki huko.Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.
Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.
Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk
Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.
Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.
Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?
Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.
Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?
Jr™️
Amejifunza tayari.Asante counsel, ndo atajua hajui ***** zake huyu dogo. Ndo kwanzaa anasoma jurisprudence 3rd year anataka kutuvimbia humu!
Sent using Rocket Propelled Grenade
Kwa sababu ameandika upupu humu ndani na amei offend hii noble profession, nimeshasema kama yupo tayari aseme asaidiwe. Lakini akome kudandia mambo makubwa na magumu ambayo hana uwezo nayo. abaki huko huko kwenye vizizi na matunguli!Acha mboyoyo mingi we dogo wa llb sio chareges ni charges. Afu kama kweli unaielewa ICC tupe modus operandi yake wewe unayeijua kuliko mshana!
Sent using Rocket Propelled Grenade