Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

.
ROMA+PICHA.jpeg


Jr[emoji769]
 
Mi nahisi alienda kumwaga upupu kuhusu Makonda ni ROMA mkatoriki.Napo ni poa tu kwa sababu MAKONDA alijiona ana mamlaka makubwa mno.
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.

Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.

Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk

Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.

Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.

Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?

Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.

Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?

Jr[emoji3481]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndo jibu la Jinsi ICC ina-operate????
Aliyeleta huo uharo ndo aseme kilichomfanya atoe hayo maelezo ili sisi great thinkers tumuone kweli anajua kuhusu hicho alichoandika. Kama hajui akiri hapa kwamba amedandia treni kwa mbele tuokoe jahazi hapa, tumuondolee hii aibu!
 
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.

Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.

Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk

Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.

Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.

Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?

Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.

Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?

Jr™️

Hao marekani wenyewe hawataki kwenda huko ICC, sasa watampeleka nani wakati wao hawataki kupelekwa?
 
Nimehitimisha kuwa wewe ni mjinga na una personal hatred na Mshana Jr. Umeambiwa Mara chungu nzima toa wewe ufafanuzi maana hoja ya Mshana iko kwenye msingi endelevu tujadili uwezekano huo, badala yake unakomaa na upuuzi wako kuwa yeye ni mjuaji.
Usianzishe ligi usizoziweza wewe kijana, acha tupeane maujuzi na kama mleta mada kuna mahali hakuelewa ataelewa, ebo!
Naona umetia timu, bado Wanaserengeti watatu sijawaona hapa. Salary Slip, The Missle of the Nation na Return of Undertaker.
Huyu mtu akiri kwanza kwamba hajui chochote kuhusu mambo haya na alichokiandika ni upupu wa kiwango Cha SGR, halafu nitawaelekeza na niwaonyesha alivo POPOMA katika uwanja huu wa mambo ya INTERNATIONAL CRIMINAL LAW.
 
Wamesema wana credible information.. Hivyo wakitakiwa kutoa ushahidi hawatasita
Hao marekani wenyewe hawataki kwenda huko ICC, sasa watampeleka nani wakati wao hawataki kupelekwa?

Jr[emoji769]
 
Naona umetia timu, bado Wanaserengeti watatu sijawaona hapa. Salary Slip, The Missle of the Nation na Return of Undertaker.
Huyu mtu akiri kwanza kwamba hajui chochote kuhusu mambo haya na alichokiandika ni upupu wa kiwango Cha SGR, halafu nitawaelekeza na niwaonyesha alivo POPOMA katika uwanja huu wa mambo ya INTERNATIONAL CRIMINAL LAW.
Hakuna mwenye hadhi yako hapo! Wewe umeingilia mada kuivuruga ona sasa badala ya alichokileta mtoa mada kujadiliwa watu wanakujadili upumbavu wako.
Kama umeona Mshana hajui sema ujuacho kaa pembeni watu wakijadili sio unarudia rudia ujinga
 
Chakaza wapuuzi huwa hawajibiwi ukimjibu anapata mzuka... Ukimpotezea anajiona mpumbavu zaidi na kukosa cha kuandika...
Hakuna mwenye hadhi yako hapo! Wewe umeingilia mada kuivuruga ona sasa badala ya alichokileta mtoa mada kujadiliwa watu wanakujadili upumbavu wako.
Kama umeona Mshana hajui sema ujuacho kaa pembeni watu wakijadili sio unarudia rudia ujinga

Jr[emoji769]
 
Absolutely yes! Ili kutenda haki alipaswa kusema how Roma anaweza kuwa shahidi angainst whom and under which chareges na kwa misingi ipi? Sasa kuropoka tu bila hata kujua ABC ya ICC huo nao ni uzwazwa!
Mleta maada alipaswa adadavue, ndio maana nikwakwambia ni Ngumbalu wa hizi mambo by just looking on what he just wrote!
Acha mboyoyo mingi we dogo wa llb sio chareges ni charges. Afu kama kweli unaielewa ICC tupe modus operandi yake wewe unayeijua kuliko mshana!

Sent using Rocket Propelled Grenade
 
Wamesema wana credible information.. Hivyo wakitakiwa kutoa ushahidi hawatasita

Jr[emoji769]

Hujajibu swali, mbona wao kushitakiwa huko hawataki mpaka wanampiga ban mkuu wa ICC kuingia marekani? Kwa hiyo wao ni miungu wengine shetani sio, wao madhambi wanayofanyia nchi zingine wanaona ni sawasawa,. Waanze kwanza wao washitakiwe kama hawana makosa si watashinda.
 
It seems wewe ndiyo mbumbumbu mkuu. soma Rome statute especially Article 7 ambayo imetaja makosa 11 ambayo yakitokea Mahakama ya ICC ina mamlaka ya kusilikiliza kesi kutokana na makosa hayo.
Kosa mojawapo ni "Enforced disappearance of persons" means the arrest, detention or abduction of persons by, or with the authorization, support or acquiescence of, a State or a political organization, followed by a refusal to acknowledge that deprivation of freedom or to give information on the fate or whereabouts of those persons, with the intention of removing them from the protection of the law for a prolonged period of time.
Asante counsel, ndo atajua hajui ***** zake huyu dogo. Ndo kwanzaa anasoma jurisprudence 3rd year anataka kutuvimbia humu!

Sent using Rocket Propelled Grenade
 
Nimeshangazwa na hadhi ya ukimbizi aliyopewa Roma Mkatoliki nchini Marekani. Hii pengine inatokana na kule kukamatwa kwake na wale WASIOJULIKANA kisha katika hali ya kushangaza sana na kwa muda uliopangwa Roma akapatikana akiwa hoi majeruhi na majeraha ya kuteswa.

Baada ya kupata nafuu majeraha yale ya mwili aliongea kilichompata. Lakini kukiwa na kila dalili kwamba alificha ama aliogopa kuongea mengi. Kutoka hapo Roma hakuwa sawa tena kama zamani. Kuna mzimu ulikuwa unamuandama.

Nusu ya pili ya mwaka jana 2019 Marekani na washirika wake wakaanza kutoa maangalizo na matamko kuhusiana na hali ya kuzorota kwa haki za binadamu, usalama na uhuru wa kutoa maoni. Ni katika kipindi hicho Roma alitimkia Marekani na hatimaye vikafuatia vikwazo kwa baadhi ya viongozi kusafiri na kuingia marekani sambamba na kunyimwa misaada na mikopo nk

Kwenye taarifa ya Marekani hawakumung'unya maneno walimtaja kiongozi mmoja kama wa kwanza kuwekewa kikwazo cha kusafiri Marekani.

Ni kiongozi huyo huyo aliyeahidi kupatikana kwa Roma ndani ya muda fulani naye pia akapatikana kweli. Kiongozi huyo ana lundo la tuhuma za kuteka. Waliotekwa na kupotea ni wengi. Ni Roma na wachache wamebahatika kutekwa na kurudi hai.

Kwenye taarifa ya Marekani wameweka wazi kuwa vikwazo ni hatua za mwanzo tuu.. Kwa maana hiyo hatua zaidi zinafuata. Je ni hatua gani hizo? Je ni mashtaka ICC?

Kama ni mashtaka ICC, Maana yake kutahitajika ushahidi usio acha shaka na mashahidi pia. Roma ni mhanga wa kutekwa na Marekani kaenda kama mkimbizi.

Huyu anaweza kuwa shahidi muhimu sana, hivyo kuepuka kudhurika ama kutishwa asitoe ushahidi pengine ndio maana kakimbiziwa mbali aje kumkaanga mtu. Wengine ni Msaidizi wa Membe na Msaidizi wa Zitto wako wapi hawa?

Jr™️
Hapana. Lambda kuwa shahidi wa marekani mbele ya viongozi wa dunia. Marekani sio mwanachama wa ICC na kesi zake hapeleki huko.
 
Acha mboyoyo mingi we dogo wa llb sio chareges ni charges. Afu kama kweli unaielewa ICC tupe modus operandi yake wewe unayeijua kuliko mshana!

Sent using Rocket Propelled Grenade
Kwa sababu ameandika upupu humu ndani na amei offend hii noble profession, nimeshasema kama yupo tayari aseme asaidiwe. Lakini akome kudandia mambo makubwa na magumu ambayo hana uwezo nayo. abaki huko huko kwenye vizizi na matunguli!
 
Back
Top Bottom