Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
huna shombo unabwekabweka ndani ya geti 😀Ww ndio unajiliza, Mimi namwaga shombo tu kwa majizi ya kura.
bwekea njee bas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huna shombo unabwekabweka ndani ya geti 😀Ww ndio unajiliza, Mimi namwaga shombo tu kwa majizi ya kura.
uko sahihi, uko makini na uko chonjo mbaya sana, comradeBila CCM imara Tanzania itayumba.
ccm ni chama cha watu wote.kwa kweli hii ccm ya sasa ni dhaifu, wazee wake wapo ila kuna vijana wahuni wamewaamini chamani na kuwapa madaraka ila hao vijana wanakiharibu chama na kuwa dhaifu badala ya kuwa imara
Uhai wa CCM ndio usalama wa Tanzania
Ndani ya CCM kuna kitu kinaitwa kukubaliana bila hicho hakujawahi kuwa na ustawi. Mfano wana CCM walikubaliana Mzee Mwinyi awe Rais baada ya Nyerere
Kipindi cha Kiba Ben Akiba JK, Salim walikuwa na nguvu ila walikubaloana Ben aongoze. Ben alimpenda sana Sumayi ila wakakaa walikubaliana JK aongoze. JK nae alimpenda sana Membe amwachie kiti lakini walikaa wanakubaliana achukue JPM
Sasa JPM hayupo yuko Samia. Utaratibu wa kukubaliana usizarauliwe kwa kuwa ustawi wa CCM ndio maendeleo ya Tanzania. Kuna vitu vinaendelea inaonesha hamjakubaliana, ndio maana ups and down,
Namshauri Mama Samia akae na wakubwa wenzie wakubaliane amalize 30 kisha awape mtu wanayemtaka
Makundi hayana afya ya muda mrefu
unakutgemea weye right?
CCM ikifa Tanzania imekufa
Fuatilia mizizi ya CCM ndio uimara wa usalama na amani Tanzania
Vipi chadema nini kinaendelea naona mpo bize na mambo ya CCM.
Kiongozi anapimwa kwa KPIs
Rais Samia yuko above
Waseme kama hawajakubaliana sio kumpinga bila sababu
Nje ndio wapi boss, hii ni public domain, au unadhani ni chumbani?huna shombo unabwekabweka ndani ya geti 😀
bwekea njee bas
uko sahihi, uko makini na uko chonjo mbaya sana, comrade
Yes hicho ndicho.
bila ccm imara na madhubuti inchi itayumba....
kukubaliana kutofautiana ni Jambo zuri sana kwa mustakabali wa uimara na uhai wa Taasisi
Jamaa limeandika ugoro sana eti usalama wa TANZANIA upo mikononi mwa CCMNyuzi zingine bhana
"Bila CCM imara nchi itayumba!" Mwl. Julius Kambarage Nyerere (1995).
Bila CCM imara Tanzania itayumba.
Usalama na amani ya Tabzania ni bandia. Huwa hakuna usalama wala amani kwa watu wasio ja uhakika wa maisha.Fuatilia mizizi ya CCM ndio uimara wa usalama na amani Tanzania
Mwalimu alikuwa sahihi. CCM imara ni ile inayoongoza kwa kuzingatia haki. Siyo hii CCM matapeli isiyo na ushawishi, iliyobakia kupora kura kama njia ya kubakia madarakani. CCM ya sasa ni mkusanyiko wa wahuni na majambazi."Bila CCM imara nchi itayumba!" Mwl. Julius Kambarage Nyerere (1995).
Hizo scenario zote ulizoeleza hakukua na makubaliano kabisa!!Uhai wa CCM ndio usalama wa Tanzania
Ndani ya CCM kuna kitu kinaitwa kukubaliana bila hicho hakujawahi kuwa na ustawi. Mfano wana CCM walikubaliana Mzee Mwinyi awe Rais baada ya Nyerere
Kipindi cha Kiba Ben Akiba JK, Salim walikuwa na nguvu ila walikubaloana Ben aongoze. Ben alimpenda sana Sumayi ila wakakaa walikubaliana JK aongoze. JK nae alimpenda sana Membe amwachie kiti lakini walikaa wanakubaliana achukue JPM
Sasa JPM hayupo yuko Samia. Utaratibu wa kukubaliana usizarauliwe kwa kuwa ustawi wa CCM ndio maendeleo ya Tanzania. Kuna vitu vinaendelea inaonesha hamjakubaliana, ndio maana ups and down,
Namshauri Mama Samia akae na wakubwa wenzie wakubaliane amalize 30 kisha awape mtu wanayemtaka
Makundi hayana afya ya muda mrefu