Je, safari hii CCM hamjakubaliana?

Je, safari hii CCM hamjakubaliana?

Samahani kukuambia hivi lakini utakua umevuta bangi iliyo changanywa na mavi ya ngurue 😡😡 yani bila hata aibu unaandika eti uhai wa ccm ndio usalama wa Tanzania hizo ni akili taka taka au matope kabisa 😡😡😡
Bila CCM imara tanzania ni sawa na Burundi tuishukuru sana CCM
 
2026 unaanza mchakato wa katba mpya upya.

maoni ya watanzania yatakusanywa kwa uswa, uwazi na weledi mkubwa sana, yatachakatwa kwa umahiri sana katika hatua mbalimbali mahususi za kisheria na hatimae katiba mpya ya waTanzani wote itapatikana, na Inshaalah itafanyika sherehe kubwa sana, siku ya kuanza kutumika.

hiyo ya fulani, sijui eti alikua nani bakini nayo kwaajili ya refference na accademic purposes kama inafaa...

😀 unanichekesha sana eti machafuko, hayo ufanya humu mtandaoni na kwako na ni hapohapo nyumbani tena ndani ya fensi. Huku inje wananchi wanfanya shughuli zao kwa bidii na vyombo vya ulinzi vikihakikisha amani...

hiyo ya mapinduzi ya jeshi la wokovu right?
KATIBA mpya ni kabla ya Uchaguzi 2025.
 
CCM Ina utamaduni wa kuwalea vijana na Kisha kuwakasimu madaraka muda unapofika. Pia CCM Ina tabia ya kwenda na wakati yenyewe pamoja na viongozi wake ndio maana ipo madarakani Jana, Leo na kesho. Madam vijana wameaminiwa na chama basi jua wameiva.
hao vijana nakuambia chama kitawafia mikononi, siasa za nchi zimebadilika, ni suala la muda tu chama hicho kusambaratika na wanachama wake kukimbilia vyama vingine kuendeleza siasa zao
 
hao vijana nakuambia chama kitawafia mikononi, siasa za nchi zimebadilika, ni suala la muda tu chama hicho kusambaratika na wanachama wake kukimbilia vyama vingine kuendeleza siasa zao
1992-1997: Mwinyi CCM itamfia mikononi mwake. Hola!!!
1997-2007: Mkapa CCM itamfia mikononi mwake. Hola!!!
2007-2017: Kikwete CCM (Kujivua gamba) itamfia mikononi mwake. Hola!!!
2017-2021: Magufuli CCM itamfia mikononi mwake maana haijui. Hola!
Updates: Mama anawaamini vijana CCM itamfia mikononi mwake.
NGOJA TUSUBIRI TUONE!!!
 
Uhai wa CCM ndio usalama wa Tanzania

Ndani ya CCM kuna kitu kinaitwa kukubaliana bila hicho hakujawahi kuwa na ustawi. Mfano wana CCM walikubaliana Mzee Mwinyi awe Rais baada ya Nyerere

Kipindi cha Kiba Ben Akiba JK, Salim walikuwa na nguvu ila walikubaloana Ben aongoze. Ben alimpenda sana Sumayi ila wakakaa walikubaliana JK aongoze. JK nae alimpenda sana Membe amwachie kiti lakini walikaa wanakubaliana achukue JPM

Sasa JPM hayupo yuko Samia. Utaratibu wa kukubaliana usizarauliwe kwa kuwa ustawi wa CCM ndio maendeleo ya Tanzania. Kuna vitu vinaendelea inaonesha hamjakubaliana, ndio maana ups and down,

Namshauri Mama Samia akae na wakubwa wenzie wakubaliane amalize 30 kisha awape mtu wanayemtaka

Makundi hayana afya ya muda mrefu
Vyama vya upinzani mpo katika mstari mzuri mpaka sasa ccm 0 nyie 10 ,kuweni makini na mamluki toka ccm , Bwana awewapa kibali kikubwa sana
 
Back
Top Bottom