2026 unaanza mchakato wa katba mpya upya.
maoni ya watanzania yatakusanywa kwa uswa, uwazi na weledi mkubwa sana, yatachakatwa kwa umahiri sana katika hatua mbalimbali mahususi za kisheria na hatimae katiba mpya ya waTanzani wote itapatikana, na Inshaalah itafanyika sherehe kubwa sana, siku ya kuanza kutumika.
hiyo ya fulani, sijui eti alikua nani bakini nayo kwaajili ya refference na accademic purposes kama inafaa...
😀 unanichekesha sana eti machafuko, hayo ufanya humu mtandaoni na kwako na ni hapohapo nyumbani tena ndani ya fensi. Huku inje wananchi wanfanya shughuli zao kwa bidii na vyombo vya ulinzi vikihakikisha amani...
hiyo ya mapinduzi ya jeshi la wokovu right?