Tanzanite..Ally's sidhani kama yanaijua stendi ya magu
Kwani ukipanda bus kwenda mbezi si lazima uende hapo mbezi?Alichoandika mleta mada kina mantiki...
Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...
Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...
Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Mgeni akishuka na yeye anaendeleza na ulabu.Kama Kilimanjaro Express wameturahisishia sana pale Shekilango. Ni yaani unasubiri mgeni wako huku unakunywa safari lager ya baridi kwenye bar yao ya palepale.
Wenye mabasi hawana uhuru wa kupita au kutopita stendi ya MbeziSawa, hao watakuwa wanafanya vyema...
Kuna mabasi yanayotokea pale Urafiki (sina haja ya kuyataja), breki ya kwanza huwa Kibanda cha Mkaa ambapo ndio itapakia abiria waliopaswa kupandia Mbezi Terminal, baada ya hapo ni safari kwenda mkoa...
Hiyo stendi bubu ya Urafiki/Shekilango iliasisiwa na makampuni machache wakati ule stendi kuu ikiwa Ubungo, na lengo lao lilikuwa ni kusaidia abiria wao kwa kuwapa huduma na mazingira mazuri wakiiga mifano ya wakongwe kama Scandinavia, Fresh ya Shamba...
Acha ujinga!Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Paragraph yako ya kwanza ule ulikuwa mradi wa watu kupiga pesaAhlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Hoja ya mapato ni ya kipuuzi kwa sababu abiria wa mabasi ya masafa, ambayo ndio yenye ofisi huko Urafiki na Shekilango, hukata tiketi kabla ya safari, na hukatia kwenye ofisi za mabasi ambazo ziko huko Shekilango na hata kwenye stendi ya Magufuli. Kwa hiyo wanapoenda stendi ya Magufuli kwa ajili ya kupanda basi hawalipi pesa yote stendi!Hoja ya mtoa maada imejikita kwenye mapato yani anaamanisha hivi abiria wote wanaopanda basi kwa mfano wakiingia kupitia stand gate watalipia mia tatu kwa kila moja lakini wakija wakiwa kwenye bus hawatolipia badala bus ndo litalipa kiasi cha fedha ambacho ni pungufu ya kila ambacho wangelipa mtu moja moja pale gatini , hoja nyingine ya wadau humu ni umbali kwa kweli nikubaliane nao tu kuwa kuiweke stand nje mji iikuwa ni maumivu mengine kwa wasafiri wanaotoka pemebzoni mwa mji abiria anatola mashariki anilifuata basi magharibi kwakweli ni usumbufu bora serikali ingefanya namna stand ikakaa katikati ya jiji ili.kutoa fursa kwa abaria wote wanaotoka pembezoni kufika kwa urahisi .
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
1. Mabasi pale Urafiki yamepanga kwenye Kota za kiwanda cha Urafiki inamaana Serikali inapata mapato pia
2. Hili litasaidia Serikali kukusanya Data ya tabia za watu wake ni kitu gani hawapendi kwenye miradi ya maendeleo.
3. Wateja wanapenda Shekilango zaidi kuliko Mbezi.
4. Tupo kwenye Ubebari tuache kufikiri kijamaa less regulations ni kitu kizuri kwenye biashara.
5. Tupo 2022 Mteja now hataki shida that why Taxi inakufata nyumbani, unaletewa bidhaa nyumbani.
Tuwasaidie Wafanyabiashara wetu.
Halipiti standi kwa sababu hakuna abiria wake huko, kwa nini lipoteze muda.Naona watu hamna reference...
Mathalani, basi la Sauli halipiti stendi ya Mbezi, na linaanzia safari zake hapo Urafiki kwenye ofisi zake mbili...sijui kama unafahamu hili?
Likitoka hapo linaenda simama Kibanda cha Mkaa, baada ya hapo linaendelea zake kwenda mikoani huko
hamna shida wanaolipanda watajua pa.kulipataNaona watu hamna reference...
Mathalani, basi la Sauli halipiti stendi ya Mbezi, na linaanzia safari zake hapo Urafiki kwenye ofisi zake mbili...sijui kama unafahamu hili?
Likitoka hapo linaenda simama Kibanda cha Mkaa, baada ya hapo linaendelea zake kwenda mikoani huko
Khaa Sasa achomoe Nini mweekama inauma chomoa then ofisi ziwe wapi
bonge la pointkitu gani hawapendi kwenye miradi ya maendeleo
Acha umbea na roho mbaya wewe.Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal