Je, Shekilango na Urafiki ndio Stendi mpya za Mabasi yaendayo mikoani?

Je, Shekilango na Urafiki ndio Stendi mpya za Mabasi yaendayo mikoani?

Roho mbaya tu..hao hupeleka kwenye gereji zao..ambapo gari hufanyiwa service kabla ya kuanza safari tena..sasa ulitaka service wafanyie mbezi mwisho stendi?

#MaendeleoHayanaChama
Na pia kwenye ofisi zao kuna mizigo ya wasafiri inakuwa imehifadhiwa pale huwezi kuchukua mizigo na abiria walioamua kuja hapo kuwaacha!! Aliyetoa hii mada atakiwa ana matatizo ya afya ya akili
 
Asante mpiga debe umesikia, kaanga ksranga na choma mihogo uuze utapata hela nzuri kuliko kupiga debe.
Mwite mpiga debe tu. Mamlaka inatoa ushauri mfanyie kazi unaleta utani na dharau. Ngoja lifanyiwe kazi halafu uendelee kumwita mpiga debe.

Kusudi la kujengwa hiyo stendi lilikuwa lipi. Tafakari ukishirikisha ubongo wako!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stendi ziko kila mahali siku hizi ukikaa temeke unapitiwa fresh,ukiwa Chanika unapitiwa fresh tu huko mbezi hatuendi.
 
Ngoja nikuulize swali mleta mada gari zikitoka shekilango na urafiki zinaingia stendi au haziingii na zikitoka mikoani zinaingia stendi au haziingii ? Huu uzi umeuleta kishabiki sana
 
unafiki tu.mbona Magufuli stend wanaenda na kushusha na wanaondeda mjin wanawasaidia vituo vya mmbele jiji kubwa unataka kila kitu kirundikane sehem moja kama mikoani?
kwa dar hilo haliwezekan uache kwenda kwa Agents kukata tiket ufunge safar mpka stend.mfano unakaa Kigambon so uende had mbez wakat agemts wapo?
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal

Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
basi linafika kibaha mnaambiwa abiria wanaoenda mbagala mnaweza kubaki tu humuhumu maana basi litaingia stendi ya mbezi ila safari yake itaishia chamanzi ........nakweli watu tunabaki tunakuja kushukia mtaani kwetu au pengine mlangoni kwako ,hapo ubaya uko wapi mkuu
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Acha ujinga tuko kwenye karne ya uchumi huria. Watu hawaendi mbezi sababu ni stendi ya makomeo tu, lazima uangalie na mambo mengine
 
Ukiangalia hoja kwa undani ni wivu tu unamsumbua mleta hoja
Siyo wivu bali inaonekana ana maslahi na stendi ya Magufuli eg ana biashara hivyo anataka watu wasongamane pale ili awapige vizuri. Huu ni ujinga. Tatizo la serikali zetu zinafanya mambo bila kushirikisha wananchi. Ni ujinga wa hali ya juu kuweka msongamano mkubwa sehemu moja eti ni stendi huku wasafiri wakipata tabu.
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Sio hapo tu. Siku hizi kuna bus zinaanzia Chanika, Mbagala nk
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Mfanyabiashara yeyote, huwa anawaza kusogeza huduma kwa wateja wake, hata serikali ina mlengo huo huo wa kusogeza huduma kwa wananchi, vinginevyo TRA,Mahakama, hospitali, Kituo cha Polisi, mabenki n.k vyote hivyo vingekua ni sehem moja tu mkoa mzima, tungeona kungekua na mabalaa ya kutosha hizo huduma ambavyo zingekua. Imagine wote hao wange waza kama ulivyo waza wewe

Bado principles za demand and supply zina apply hapo... wateja wangi wapo nje ya mbezi (wapo scatterd) na kuna makampuni zaidi ya Buku yote yanafanya kazi hiyo hiyo kwa ushindani wa hali ya juu mpaka yameamua kujiongeza kuwafuata wateja walipo, tuwashukuru sana, vinginevyo biashara hizo zitakufa. Watu wakianza kupanda private cars zinazo anzia jiran na wanako kaa kutakua na biashara ya mabasi? Tuwaze kwa akili...Kila mtu anaangalia wepesi wa upande wake, abiria na mwenye basi.

Ni roho mbaya na akili ya kipumbavu tuu, kutaka kila kitu kianzie mbezi na kiishie mbezi. Watu wamejaa kigamboni, Mbagala Chamazi Mvuti, Mbweni Bunju B, Mwananyamala Msasani, na kwingineko...wote hao unataka waamke saa 8 usiku kukimbizana na maboda boda kwenda mbezi kusumbuliwa na wapigadebe??

Viongozi wetu walitaliwa wawaze kwa akili kubwa sana, mji kama dar unao kua kila siku unatakiwa kuwa na stand zaidi ya moja na stendi zote ziwe huru kwa mabasi yote kuchagua kwenda kupakia na kushusha abiria depending na route zao, na hiyo italeta chachu hata ya ukuaji wa makampuni ya mabasi ambapo nayo kwa nature ya mazingira na katika kuongeza kipato yatalazimika kuwa na mabasi mengi ili yawepo kila ilipo stand kwa kurahisisha huduma kwa wateja, na itapunguza kero, kama mabasi ya kwenda sehem yoyote yanapatikana jirani na alipo mteja.

Mtu wa mbagala anaenda mbeya asipate tabu wakijengewa stand kubwa saana pale mwembe yanga kuna tatizo gani??? ule uwanja pale umekaa tu wahuni wanavutia bangi na kucheza mpira, Serikali iweke stand pale itawasaidia wananchi wa maeneo yote kuanzia temeke, kigamboni mpaka chanika. Uwanja wa mpira watafute sehem nyingine uwanja wa mpira ni mita 100 tuu mpaka 200.

Nimeizungumzia sana mbagala, kigambon mpaka chanika kwasababu ndo wahanga wengi wapo, maskini na huko ni mbali sana na ilipo stand ya Magufuli..

Hiyo stand ya mbez haina msaada wala nini acha watu wajitafutie wepesi wao wa maisha. inakera sana umetoka safari ndefu mfano Mwanza, Mbeya unaingia mbezi saa tatu usiku hadi saa saba usiku halafu unako enda ni Chamazi, Mbagala na mabasi yaishie mbezi.
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Kwani wewe unaishi wapi? Isije kuwa unaishi Kibanda cha mkaa unawaonea gele wanaosafiri mikoani wanaanzia Safari zao Shekilango na sehemu nyingine kama Gongolamboto, Mbagala n.k
 
Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Kwani mabasi yakipakia hapo Urafiki hayaingii stendi ya Magufuri? Ukiwa na tiketi ya kusafiria siku hiyo pale getini unapita bure sijui mnalijua hilo.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] anajikuta matawi na anapanda Luwinzo[emoji1787][emoji1787] wakati wenye pesa zao wanaenda zao airport
Afu shemela, ujuwe hata huko airport nako wana matabaka. Kuna LUWINZO zao pia.... We kila siku ATR42/72 au DASH8, au zile za zamani FOKAFIFTY.. au vile vya watu watano to Mafia na si dream liner to Dubai..!!!!
 
Kakatwe mbeneki huko

Zambia tu hapo kila kampuni ina bus park yake, uganda kila kampuni ina bus park yake pamoja na kua na bus park kubwa za kitaifa bado unaishi kwenye giza, maisha ya kibiashara yanataka wewe mfanyabiashara urahisishe biashara yako na wateja wako ndio maana kuna kitu kinaitwa delivery siku hizi zamani hakikuepo.
 
Back
Top Bottom