Je, Shekilango na Urafiki ndio Stendi mpya za Mabasi yaendayo mikoani?

Je, Shekilango na Urafiki ndio Stendi mpya za Mabasi yaendayo mikoani?

Kwani mapato ya stand yanategemea abiria kulipia getini au. Kwani zile ofisi ndani ya stand watu wanakaa Bure. Kila bus ni lazima liingie stand na kulipia. Siyo urafiki na Shekilango Kuna ofisi za mabasi tu. Hata Mbagala, Chanika, Temeke zipo.
Mtoa mada naona ni mgeni hapa DAR hiyo ndiyo shida yake inamsumbua.
Sikuhizi kuna mabus yanaanzia Chanuka yanakuja gongolamboto yanapakia alafu yanaenda Mpaka mbezi hii yote ni kwasababu ya ushindani WA biashara
 
Stand ya Magufuli Mbezi ulikuwa ubunifu usiokuwa na tija. Kwenda kurundika mabasi zaidi ya 300 yanayotakiwa kuondoka kwenda mikoani kwa wakati mmoja ni kituko. Dsm inahitaji stendi nyingi kulingana na eneo ambako magari yanaelekea.

Hapo Mbezi kwenyewe kutafuta gari linalohusika upande ni vurugu na mbinde.

Watu hawasemi lakini Stendi ya Mbezi haina tija kwa wananchi. Labda makusanyo ya serikali tu. Ndio maana mwanzishaji three hii kaona eneo moja tu la ukusanyaji mapato.
sasa ya ubungo ilikywa tofayti?
 
Wewe inavyoonekana ni mhanga wa haya mabasi. Kuna ulichokiwa unapata sasa hupati. Senior saranga wa magufuli. Mengine yote ni umbeya tu. Ulitaka mabasi yalale stand ya magufuli? Kwako basi likifungua ofisi chanika basi lisipakie wala kushusha abiria ofisi ya chanika mpaka magufuli stand tu? Kalakabao!
Mabasi ya Abiria lazima yapakize abiria ktk Kituo cha Mabasi Magufuli, kinyume cha hapo ni uvunjifu wa sheria.
LATRA wanao wajibu wa kusimamia Sheria za usafirishaji wa abiria pamoja na mamlaka zingine.
tabia hii ikiachiwa italeta vurugu na itafikia mahala kila basi litajipakizia abiria wake mahala popote inpo jisikia.
maana ya kuwa na kituo cha Mabasi itakuwa hakuna tena.
Tafadhali Malaka husika zisimanie Sheria na Taratibu.
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Umasikini unakutesa
 
Wabongo ni moja ya watu maamuma sana...

Yaani ukimpa mfano, basi huufanya mfano kuwa habari kamili...

Kama unaishi Dar es salaam, fika maeneo tajwa kafanye utafiti, na kama unaishi Kigonsera huko endelea kusoma tu comments
We utakuwa abiria wa Ngorika maana sio kupanic hulo
 
Zilipaswa kuwa ofisi tuu sasa wamezigeuza stand kabisa. Money talk my brother
Nini maana ya ofisi Mtoa hoja ana wivu wa kijinga sana, fikiria MTU unakaa Sinza, Mwenge, Mburahati, Ubungo na kwingineko makampuni yanaamua kutoa huduma kwa wananchi kuwapunguzia Mzigo wa gharama za Bajaji, Taxii, Uber na kadhalika na kuwaingiza katikati ya Mji bila gharama ya Ziada!!! Yaani ndio utagundua waafrika no Kizazi cha laana!! Waheshimiwa Wabunge wa majimbo husika ndio muda wa kuonyesha mshikamano na hawa wenye Mabus!!
 
Naona watu hamna reference...

Mathalani, basi la Sauli halipiti stendi ya Mbezi, na linaanzia safari zake hapo Urafiki kwenye ofisi zake mbili...sijui kama unafahamu hili?

Likitoka hapo linaenda simama Kibanda cha Mkaa, baada ya hapo linaendelea zake kwenda mikoani huko
Sauli ana maBus mengi, huenda mojawapo la lililojaa likikiona chart imejaa halina wa kwa Magufuli linapitiliza, NI MAKOSA.
tukirudi kwenye Mada Mama Rais Samia alilaumu huu ukurupukaji wa Ujenzi bila kushirikisha wadau, akitoa mfano soko la Ndugai Dodoma halina wateja kwani lipo nje ya Mji na stand pia zimewekwa mbali zikihitaji nauli 2
Majaliwa karuhusu maBus kutembea usiku sasa ni salama kuliko kushushwa Mbezi usiku saa 6
 
Upo sahihi kabisa WAPIGA DEBE WANA COMMISSION yao Sasa wamenunua vyumba au ofisi wakitaka usiku wa manane tukagombanie kwao.
MaBus ya ABC ya Njombe,Singida Dodoma yanaanzia Manzese huduma zote zinapatikana hapo km vyoo safi, hotel, usafiri wa kwenda Guest km Kariakoo na utunzaji wa mizigo Sasa Nani aende Magufuli wakati tiketi za electronic zinapatikana hapo tena bei rahisi
Nini maana ya ofisi Mtoa hoja ana wivu wa kijinga sana, fikiria MTU unakaa Sinza, Mwenge, Mburahati, Ubungo na kwingineko makampuni yanaamua kutoa huduma kwa wananchi kuwapunguzia Mzigo wa gharama za Bajaji, Taxii, Uber na kadhalika na kuwaingiza katikati ya Mji bila gharama ya Ziada!!! Yaani ndio utagundua waafrika no Kizazi cha laana!! Waheshimiwa Wabunge wa majimbo husika ndio muda wa kuonyesha mshikamano na hawa wenye Mabus!!
 
Lazima sheria za jiji zifuatwe pamoja na kulinda mazingira.
 
Alichoandika mleta mada kina mantiki...

Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...

Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...

Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Unaweza nitajia bus moja tu ambalo haliingii stand ya mbezi?
 
Alichoandika mleta mada kina mantiki...

Kuna mabasi yanayoanza na kumalizia safari hapo Shekilango/Urafiki na hayafiki kabisa kwenye hiyo stendi mpya...

Abiria akihitajika kupanda basi, analazimika kwenda hapo Shekilango/Urafiki...

Ilianza kama utani hivi kwa New Force, Dar Lux na Kilimanjaro, lakini sasa hivi kuna makampuni si chini ya 15...
Nijuavyo mm pamoja na kuwa na ofs.apo lkn gari uwa zinapita stendi ya mbezi ila km hazipiti,gari zpo nyng,si lazima upande hzo.Panda gari nyngne....
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Kiongozi,
Kituo cha mabasi maana yake ni sehemu ya kupakia na kushusha Abiria na mali zao. Nafikiri mahali pa kuliweka basi baada ya kutimiza jukumu lake la msingi lina muhusu zaidi mmiliki.
Hivi umewahi kufikiri kuwa, kila mwenye basi Dar apeleke pale stand ya magufuli kusubiria ratiba au pengine lilalie pale unafikiri stand itaweza kuyabeba hata nusu?
Lakini ujue pia baada ya safari ndefu za mikoani, mabasi mengi hufanyiwa service ndogo ndogo na mengine service kubwa kulingana na hali ya basi ilivyo hivyo, stand haiwezi kufanywa garage
 
Roho mbaya tu..hao hupeleka kwenye gereji zao..ambapo gari hufanyiwa service kabla ya kuanza safari tena..sasa ulitaka service wafanyie mbezi mwisho stendi?

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom