Je, sheria inaruhusu kumuua mtuhumiwa wa ujambazi asiye na silaha anayewakimbia Polisi?

Too deep [emoji1666]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unaifungulia mahakama ipi ama fhe hague.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mtuhumiwa ameshageuka jambazi tena? Hivi maana ya mtuhumiwa ni nini? Na hata kama ni jambazi, adhabu ya kukimbia ni kifo? kwa hukumu ya mahakama ipi?
Ndugu yangu siku hizi kudai haki hakuna tena
Kesi ya mwisho ni ile ya wale Ndugu ya Madini kule Mahenge waliopelekwa Mabwepande na kina Bageni, Zombe akatoka.
Hawa jamaa wakishakutoa Kituoni uende ukawaoneshe ulipoficha mali wewe sali na aga Nduguzo kwani hurudi, na wakikushusha usiwaachie eti ukimbie wewe lala na mmojawao tu
 
Siku hizi hakuna hivyo vitu mzee, nkikuulza last time umeona mtu kashikwa kiivo utarefer story za nyuma. Mazingira yako na kampan yako ndo vtaelezea tabia yko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukimbia kwake, ndio kumemfanya agongwe risasi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna nchi 1 hapo jirani wao ukizingua na ukibaka wako wanakugonga risasi chap chap.

Majuzi kuna dada wa kibanda cha simu(mawakala wa pesa) alikua anarudisha mwavuli wake na stuli yake pale ambapo hua anauhifadhi siku zote baada ya kazi,vibaka wawili wakamlia timingi kwenye uchochoro wakambamiza kichwa ukutani na kumpiga mateke ya tumboni(kumbuka huyo dada ana mtoto wa miezi 10) then wakachukua simu zake 2 na hela zote.

Kumbe walipokua wanafanyia hilo tukio kuna cctv camera ina rekodi,mwandishi wa habari mmoja akaituma hio video kwenye a/c yake ya twitter akawatag police na wengine wanaohusika na mambo hayo.

Baada ya siku 1 police wakasema wamefanya uchunguzi wao katika hao wawili kuna mmoja hua ana matukio ya kuwekwa jela na kutoka na kurudia ushenzi wake,mwingine ni mpya anafundishwa kazi na huyo kibaka mkongwe.

Walichokifanya police wakawalia timing hao vibaka wawili wakawakamata ,then wakawapeleka kwenye shamba la migomba wakampigisha magoti yule kibaka mzoefu then wakam miminia risasi za kutosha huku wakisema (ali resist arrest) ingawa police wanasema ukweli ni kwamba kibaka huyo ha fit kuishi kwenye jamii ya waastarabu na angetaka hayo mambo za haki za binadamu asingemuumiza yule dada na kutaka kumpora haki yake ya kuishi,huyu kibaka mpya ndio wamemuonyesha kwny vyombo vya habari na atapelekwa mahakamani soon.

Hivi ndivyo namna ambavyo hua wana solve inshu za ujambazi au vibaka,na matukio hayo nchini mwao ni machache sana au kama hayapo kabisaa.

Kibaka mpya ndio huyo hapo chini:
 
Polisi ashindwe kumkimbiza mtuhumiwa mwenye pingu mikononi kwa nyuma?
Anaweza asishindwe ila hajamua kumkimbiza na hata ninge kuwa mm nitoke jasho wakati nimeshika manati ya mzungu chap unakula ya mguu mengine tutajua huko mbele kwa mbele, je kama mtuhimiwa anawavunta kwenye mtego watajuaje? Tusitetee upande mmoja tuangalie na upande wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
F
Serviceman unajikuta unajua kuongea enh!
Piga tukio kisha wakutie mikononi, wakuchukue ukawaoneshe ulipoficha mazaga afu ujaribu kuwakimbia uone!
Wakiacha kupambana na majambazi muwaseme vibaya kuwa mnawapigia simu kuhusu tukio la ujambazi kisha wanadelay kuja au hawaji kabisa, wakiua jambazi mlilokuwa mnalilalamikia mnaanza tena kuwasema vibaya!
F*ck u niggers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…