Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Je, sifa anazopewa Kafulila zina ukweli wowote?

Unadhani Mbowe angekataa 3bn in terms of $?

Eti hizi ni mbwembwe,

CHADRMA Mnavyotafuna ruzuku kweli mnaweza mrudishe chenji ya 2bn😂
CAG kila mwaka anakuta HESABU ziko intact 🤣😅🤣😅
 
Hivi alimaliza ile BBA yake ya evening pale udbs?maana miaka karibu 8 alikua anasotea first degree tu
 
Hivi alimaliza ile BBA yake ya evening pale udbs?maana miaka karibu 8 alikua anasotea first degree tu
Tunashukuru kama unatambua kuwa alikuwa UDSM na anafanya BBA ila ninachojua ana MBA Sasa sijui kama amepata MBA bila kupata BBA
 
Jielekeze Kwenye mjadala SIO kweli Kila anayeandika hapa kuhusu Kafulila ni Chawa wa kafulila
Fungua macho, huyu mleta uzi huu ni zaidi ya 10 wa kumpamba kafulila, zote ziko hapahapa jf
 
Kafulila anahangaika sana kuji promote

Mamlaka husika ziwe makini naye

Muda wa ukamishna ukiisha Raisi ampumzishe

Ni kama haridhiki na post aliyonayo na kufanyia kazi

Kutwa miyowe yake humu ndani

Ukamishna ukiisha muda

Mwacheni mtaani
 
Mzee kuwa makini sio kucheka Cheka hovyo Kafulila sio type yenu
Kafulila ni mpuuzi flani tu, mwenye tamaa,ndo maana a anawatuma nyie wajinga kuja kufanya promotion.

Ni mtu wa kawaida sana ila mroho wa madaraka, asiyeridhika 🤔🤔😅😅
 
Back
Top Bottom