Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
TUMBILI haaminikiUnadhani Mbowe angekataa 3bn in terms of $?
Eti hizi ni mbwembwe,
CHADRMA Mnavyotafuna ruzuku kweli mnaweza mrudishe chenji ya 2bn😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUMBILI haaminikiUnadhani Mbowe angekataa 3bn in terms of $?
Eti hizi ni mbwembwe,
CHADRMA Mnavyotafuna ruzuku kweli mnaweza mrudishe chenji ya 2bn😂
TUMBILI atapata taabu sana na hizi thread 🧵 za KUPIMA UPEPONaona unaandika na kujijibu😂😂
Ila CHADEMA shida sana
Fake ni ya ziada zaidi ya ile inayojulikana😂😂😂 SASA Jf nani hatumii fake I'd?
Au hufahamu maana ya fake I'd?
Acheni ujinga wenu wa kuleta thread za TUMBILI, Hana maajabu 🤣🤣😅Tabu unapata wewe kupambana na mtu ambae hana time na chochote na sijui ata kama humu Jf anaingia
TUMBILI ni boya na mroho wa madaraka, mwambie aende Kwao Burundi 🤣😅Wewe unaaminika kwa lipi?
Understand beyond the visible meaning, tumia akili zako za KUVUKIA BARABARA 😅🤣😅 utaelewaSasa Mimi najulikana kama nani hapa?😂
KIFUPI TUMBILI haaminiki,kumpromote ni kupoteza muda 😅😅Naona unaandika na kujijibu😂😂
Ila CHADEMA shida sana
CAG kila mwaka anakuta HESABU ziko intact 🤣😅🤣😅Unadhani Mbowe angekataa 3bn in terms of $?
Eti hizi ni mbwembwe,
CHADRMA Mnavyotafuna ruzuku kweli mnaweza mrudishe chenji ya 2bn😂
Tunashukuru kama unatambua kuwa alikuwa UDSM na anafanya BBA ila ninachojua ana MBA Sasa sijui kama amepata MBA bila kupata BBAHivi alimaliza ile BBA yake ya evening pale udbs?maana miaka karibu 8 alikua anasotea first degree tu
Fungua macho, huyu mleta uzi huu ni zaidi ya 10 wa kumpamba kafulila, zote ziko hapahapa jfJielekeze Kwenye mjadala SIO kweli Kila anayeandika hapa kuhusu Kafulila ni Chawa wa kafulila
Kafulila ni mpuuzi flani tu, mwenye tamaa,ndo maana a anawatuma nyie wajinga kuja kufanya promotion.Mzee kuwa makini sio kucheka Cheka hovyo Kafulila sio type yenu