Je, siku ya kwanza kutongoza/kutongozwa ilikuwaje?

Haha huna wa kumlaumu mzeiya
 
Nilijisikia Raha kinoma noma ..
..alikuwa rafiki yangu namfeel kinoma noma wakati tupo primary alikuwa anajua Sana hesabu Basi akawa ananifundisha wakati mwingine anaondoka na daftari zangu ..akirudisha anaweka na vikaratasi vya kopa kopaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Basi kamoyo kangu burudaani.. 😍tukamaliza shule yeye akaenda Soma mkoa Mimi nikabaki dar....formone ikapita akarudi likizo..siku hiyo akamtuma Dada wa kazi wetu ambaye alikuwa Kama Rafi kwangu na rafiki kwake ..akammwagia mahisia yake..nikajikuta navuungaa mwenyewe kumbe kamoyo kanasema alhamdulilah..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Basi ikawa ivyo tukawa wapenzi
 
So sweetie yan really love ..uli enjoy kiukweli
 
Asante mkuu , kwa mchango wako lakini tafadhali tukae kwenye ulichokiona siku yako ya kwanza kutongoza au kutongozwa ili uzi huu usije pigwa lock kwasababu wanazozijua moderators @matundizi umetisha bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nimekaa na rafiki zangu halafu mmoja wa rafiki yangu alikuwa na mdogo wake wakike tena hakuwa mbali na tulipo alikuwa anacheza huko na rafikizake.. mi nikaanza mtania jamaa namtaka dada yako,nampenda hivi na vile kumbe kulikuwa na kadogo kanasikia kajinga kale kakaondoka Kama kapo!,si kakaenda kumwaga umbea kwa yule mtoto!.. bandugu yule mtoto wa kike sijui alikuwa na ujasiri gani hakumuyeshimu hata kaka yake akaja pale mbele yetu jicho lote kwangu mtoto akashika kiuno mguu mmoja mbele mwengine nyuma mixer kunesanesa na ile kanga ya rede kiununi.. nilichambwa mimi! Yani nilichambwa Sana lile neno unikome sikuhiyo nililipatapata vilivyo!.. niliaibika mbele ya rafiki zangu mimi.. komamanga la watu sikutia hata neno uso ulinishuka ule mtaa niliacha kwenda takribani wiki kadhaa!.. kale kamanzi kalinitesa kisaikolojia nikawa naogopa hata kuaproach! Kajinga Sana kale.
 
Ko nje na huyo hujawai kupata dem mwingine....?
Au wote unawapata kwa mfumo huohuo....?
 
ukionana nae mkae umuombe msamaha[emoji16][emoji16] ikiwezekana mfariji kwa pole....ulimuumiza san mshkaji asee...
Najua nnachoongea..kilinikuta[emoji23]
 
malizia mkuu[emoji23]
 
Nimekumbuka mbali sana [emoji23][emoji23] shule za jinsia moja ziliniaribu sana ,
Tulikua tukifunga shule basi tunaenda kusoma tuition na washkaji angalau ata kubadilishana mawazo na watoto wa kike sasa kuna siku tuko pale tunasoma io tuition kuna madem tukaamua tuwafate ili tujuane walikua kama wanne ivi alaf sisi wa tatu tukagawana kila mtu ata mfata wa mwake ila tutaenda ki group maana na wao walikua marafiki pia , mda ukafika tukakumbushana kuwafata duh! Kufika pale tukawaambia kuwa sisi wote watatu tunawapenda na tumetoka kuwaelewa walichekaa sito sahau[emoji23][emoji23]
Ila mwisho wa siku kila mtu alipewa namba maana tulikua wachesh sana wakapenda kutembea na sisi ili wapate mawili matatu nakuwafurasisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ulifanikiwa?
 
Ko nje na huyo hujawai kupata dem mwingine....?
Au wote unawapata kwa mfumo huohuo....?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu siyo wote nawapatia kwa mtindo huo, lakini by the way mimi mademu niliowamega kwa kutongoza kwa mdomo wangu na sound zangu aisee hawazidi watano ila mademu wengi niliowamega huwa si kwa kuwatongoza, huwa tu nawafanya marafiki tunazoeana alafu mwisho siku tunajikuta tu tushakuwa wapenzi bila hata kutongozana 😁😁😁 nyie huwa mnaita kumega kimasiara, mfano ani unakutana na demu unamfanya rafiki tu vzuri mnadumu kwenye urafiki wenu baada ya mda kidogo unashangaa anaanza kukuita my, mara usipompigia siku ama kum txt kwa siku moja tu unashangaa kuzira anatuma txt kumbe hata hunipendi hunikumbuki siku nzima, sasa na mimi hapo najiuliza sasa huyu demu kwani nani kamwambia nampenda, mwisho wa siku naanza kutimiza anayotaka mfano kumkumbuka kumpigia sim hata mara 3 kwa siku, siku ingine namwita geto kimasiara na yeye anakuja kimasiara then naanza kumchezea mwili wake kimasiara na yeye analegea kimasiara na mm nakula game kimasiara then anarud kwao akiwa ameliwa kimasiara hivo hvo alafu kesho yake anamkaa na txt umeamkaje mme wangu na mimi naitikia kimasiara hvo hvo ndo ivo tunakuwa na mahusiano ya kimasiara masiara tu mwisho wa siku tunachaana kimasiara hivo hivo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ilikuwa mwaka gani mkuu?swali lina maana sana hili nijibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…